Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,235
Mke wa raisi,huu unaonekana ni wa AZAM,mbaya hata haunogi kabisaaaa.Ugali ni dona bwana!hahahah
yaani mmenikumbusha ugali oops
pale kwa mamaangu mzazi -- tunakula ugali na mlenda( nsoga) aaah unashuka kama nini unashushia na Togwa jamani
kule tabora -Ugali na Mswalu akina nyie mpo
Ugali na Kisamvu ,matembele ,kimanshia sijui nimepatia spelling