Mada: Fahamu mbinu mbalimbali zinazoweza kukuwezesha kupata mtoto wa kiume

Mwanamke ana mbegu(Chromosomes) za aina moja ambazo ni XX wakati mwanaume anazo za aina mbili ambazo ni XY, wakati mwanaume anatoa mbegu kwenda kwa mwanamke X na Y hutoka kwa pamoja lakini X ndiyo huwa na spidi zaidi kuliko Y. Kwahiyo kama mbegu hizo za mwanaume X ndiyo itatangulia kurutubisha yai basi utapata muungano wa X ya mwanaume na X ya mwanamke na kufanya XX na hivyo mtoto atakuwa wa kike. Ikiwa wakati wa urutubishaji Y ndiyo itawahi kurutubisha yai basi utapata muungano wa XY na hivyo utapata mtoto wa kiume.

Sasa kama nilivyosema katika X na Y za mwanaume X ndiyo huwa na spidi zaidi kuliko Y, sasa ili kuiongezea spidi Y ni lazima mwanaume ujiandae ikibidi hata mwezi mmoja kabla, ule vizuri, ufanye mazoezi ya kutosha na usifanye hilo tendo mara nyingi ili uwe na nguvu za kutosha kuifanya Y iizidi nguvu X. Hii ndiyo sababu watoto wengi wanaozaliwa ni wa kike kwa sababu wanaume wengi wanamatatizo ya nguvu hasa miaka ya hivi karibuni.

Sasa wakati mwanaume anafanya urutubishaji mbegu zake hutoka spidi kubwa na ndefu kulitafuta yai kwenye mirija yake, sasa kwanini tunashauri iwe ni karibu na siku za mwanamke? Ni kwa sababu yai la mwanamke mpaka kufikia kupevuka na kupasuka huwa linasafiri taratibu na siku 1 au masaa kadhaa kabla ya hedhi yai huwa karibu kabisa na mlango hivyo kuzipunguzia mbegu za mwanaume zisisafiri umbali mrefu kulifikia yai na hivyo kuongeza uwezekano wa Y kutochoka njiani kabla ya kupitwa na X.

Maelezo mengi lakini unampotosha mtu wa watu,kama hujui sema sijui.
Y inasipidi naturally kwa kwaajili ya mtoto wa kiume afanye mchezo siku ya 13-14 ya mwanamke itakuwa imefika kwenye yai kabla ya x na kufunga mlango kazi kwisha
 
Maelezo mengi lakini unampotosha mtu wa watu,kama hujui sema sijui.
Y inasipidi naturally kwa kwaajili ya mtoto wa kiume afanye mchezo siku ya 13-14 ya mwanamke itakuwa imefika kwenye yai kabla ya x na kufunga mlango kazi kwisha

Hata sijaelewa umeandika nini.

[h=3]Abstract[/h]A combination of flow cytometric sperm sorting of X and Y chromosome-bearing sperm (X and Y sperm) and computer-assisted sperm analysis (CASA) for measuring sperm motility allows assessment of motion parameters in the two populations. Bull sperm were separated into X and Y populations by flow cytometry following staining with the DNA-binding dye Hoechst 33,342. The motion parameters differed depending on sperm concentration. Decreasing sperm concentration resulted in higher velocities and straighter trajectories. The concentrations of control (stained-unsorted and unstained-unsorted) and flow-sorted sperm were therefore adjusted to similar numbers (5 x 10(6) sperm per milliliter).

Samples of sorted X and Y sperm and control sperm were transferred to prewarmed slides on a heated stage (37 degrees C) and their motion video recorded for 2 min using a magnification of x 100 and a high-resolution camera. The sperm analysis was carried out on a Hobson Sperm Tracker (HST) using HST 7 software. The following motion parameters were measured: curvilinear, straight-line, and average path velocity; mean angular displacement (MAD); beat cross-frequency; amplitude of lateral head displacement; linearity (LIN); and straightness of path (STR).

Sperm movement was unaffected by staining with Hoechst 33,342, excitation by ultraviolet (UV) light, or the physical process of cell sorting. Significant differences were seen between X and Y sperm for MAD, LIN, and STR. No difference was observed for the other parameters. The results indicate that in a simple salts solution, Y bull sperm do not swim faster than X sperm but may be distinguished from X sperm on the basis of LIN and STR.
 
Wakuu madktari wa JF, Mzizimkavu na wadau wote mliomo humu jamvini naomba mnifahamishe namna ya kupata mtoto wa kiume kwani nasikia kuna njia ambayo ikitumika mtoto wa kiume anapatikana.

Natambua kuwa mtoto yeyote akizaliwa upendo, hali ya kujali na furaha ni ileile bila kujali jinsia yake, lakini kama ingewezekana basi wengi tungependa kuwa na mchanganyiko wa jinsia...namna gani basi utafanikisha hilo ndio mbinde!

Kupata mtoto wa kiume inategemea zaidi familia zenu ninyi wawili, kwa maana kuwa kwenu kuna wanaume na wanawake kiasi gani hali kadhalika upande wa familia ya mume wako, ikiwa wanawake ni wengi zaidi kwenu na kwa mumeo pia wadada wengi basi utazaa watoto wakike tu au wengi (inategemea unataka kuzaa wangapi).

Lakini kama kwao mumeo wanawake wengi na kwenu wanaume wengi basi mtoto wa kiume kupatikana ni rahisi zaidi, ila ikiwa kwa mumeo kuna wanaume wengi na kwenu wanawake wengi bado uwezekano wa wewe kuzaa wa kike tu au wengi ni mkubwa.

Hivyo basi, ili kupata mtoto wa kiume inategemea zaidi na upande wako wewe mwanamke, nikiwa na maana kwenu kuna wanaume wangapi kwa maana ya wajomba, kaka zako, baba wakubwa na wadogo n.k. (ila binamu hawahesabiki).

Nini cha kufanya kupata mtoto wa kiume.
Kuna njia kuu mbili nizijuazo mimi ambazo zinaweza kusababisha wanandoa kupata mtoto wa kiume na njia hizo ni zile za Kisasa/Kitaalamu na asilia....nitafafanua kidogo asilia ambayo ndio naijua zaidi na ile ya kitaalamu ni straight foward.....lakini kabla napenda ufahamu yafuatayo;-

(1)-Mbegu zinazosababisha mtoto wa kiume hutoka haraka na kwa speed kubwa sana ili kuungana na Yai vilevile hufa haraka (hufa ndani ya masaa 3 ya mwanzo).

(2)-Mbegu zisababishazo mtoto wa kike hujivuuuta sana (maringo ya wanawake yanaanza b4 hata hatujawa viumbe kha! hihihihi) na hubaki hai kwa zaidi ya masaa 72 (zaidi ya siku tatu).

(3)-Bao zito na lenye afya ndio muhimu kusababisha mtoto wa kiume (mlishe mumeo lishe bora).

Hivyo basi ili kufanikisha hili unapaswa kutegea siku ambazo wewe unajua yai lako limepevuka na linasubiri kurutubishwa na mbegu ya kiume. Ukingonoka kwenye siku hatari kuliko zote ni wazi kuwa zile mbegu za jinsia ya kiume zitakuwa za kwanza kurutubisha yai na kufanya mimba ambayo itakuwa ya mtoto wa kiume. Hii ni njia asilia.

Njia ya kisasa ni ile ya kitaalam kuchukua yai lako na kuchagua mbegu za kiume tu kutoka kwa mumeo nakurutubia manualy (nje ya mwili wako) kisha wanakupandikiza, yaani wanakuwekea mimba (yai na mbegu walizounganisha) kwenye Womb (mji wa mimba) na hapo kunakuwa na uhakika wa kuzaa sio tu mtoto wa kiume bali wanaweza kuwa mapacha 2-3 wa kiume.....inaghalimu mamilioni ya shilingi though.

Kidokezo; imni ya kujaribu mpaka upate mtoto wa kike au kiume bila kuzingatia kwenu mkoje intrms of jinsia sio njema kwani mtajikuta mnazaa watoto ambao hamtaeza kuwamudu.

Natumaini maelezo yangu na ya wachangiaji wengine yatakuwa yamekusaidia kwa namna moja au nyingine, kwa niamba yao basi twawatakia kila lililo jema na Mungu afanikishe matakwa yenu kwa mapenzi yake
 

Attachments

  • 1395206535122.jpg
    1395206535122.jpg
    16 KB · Views: 294
Natambua kuwa mtoto yeyote akizaliwa upendo, hali ya kujali na furaha ni ileile bila kujali jinsia yake, lakini kama ingewezekana basi wengi tungependa kuwa na mchanganyiko wa jinsia...namna gani basi utafanikisha hilo ndio mbinde!

Kupata mtoto wa kiume inategemea zaidi familia zenu ninyi wawili, kwa maana kuwa kwenu kuna wanaume na wanawake kiasi gani hali kadhalika upande wa familia ya mume wako, ikiwa wanawake ni wengi zaidi kwenu na kwa mumeo pia wadada wengi basi utazaa watoto wakike tu au wengi (inategemea unataka kuzaa wangapi).

Lakini kama kwao mumeo wanawake wengi na kwenu wanaume wengi basi mtoto wa kiume kupatikana ni rahisi zaidi, ila ikiwa kwa mumeo kuna wanaume wengi na kwenu wanawake wengi bado uwezekano wa wewe kuzaa wa kike tu au wengi ni mkubwa.

Hivyo basi, ili kupata mtoto wa kiume inategemea zaidi na upande wako wewe mwanamke, nikiwa na maana kwenu kuna wanaume wangapi kwa maana ya wajomba, kaka zako, baba wakubwa na wadogo n.k. (ila binamu hawahesabiki).

Nini cha kufanya kupata mtoto wa kiume.
Kuna njia kuu mbili nizijuazo mimi ambazo zinaweza kusababisha wanandoa kupata mtoto wa kiume na njia hizo ni zile za Kisasa/Kitaalamu na asilia....nitafafanua kidogo asilia ambayo ndio naijua zaidi na ile ya kitaalamu ni straight foward.....lakini kabla napenda ufahamu yafuatayo;-

(1)-Mbegu zinazosababisha mtoto wa kiume hutoka haraka na kwa speed kubwa sana ili kuungana na Yai vilevile hufa haraka (hufa ndani ya masaa 3 ya mwanzo).

(2)-Mbegu zisababishazo mtoto wa kike hujivuuuta sana (maringo ya wanawake yanaanza b4 hata hatujawa viumbe kha! hihihihi) na hubaki hai kwa zaidi ya masaa 72 (zaidi ya siku tatu).

(3)-Bao zito na lenye afya ndio muhimu kusababisha mtoto wa kiume (mlishe mumeo lishe bora).

Hivyo basi ili kufanikisha hili unapaswa kutegea siku ambazo wewe unajua yai lako limepevuka na linasubiri kurutubishwa na mbegu ya kiume. Ukingonoka kwenye siku hatari kuliko zote ni wazi kuwa zile mbegu za jinsia ya kiume zitakuwa za kwanza kurutubisha yai na kufanya mimba ambayo itakuwa ya mtoto wa kiume. Hii ni njia asilia.

Njia ya kisasa ni ile ya kitaalam kuchukua yai lako na kuchagua mbegu za kiume tu kutoka kwa mumeo nakurutubia manualy (nje ya mwili wako) kisha wanakupandikiza, yaani wanakuwekea mimba (yai na mbegu walizounganisha) kwenye Womb (mji wa mimba) na hapo kunakuwa na uhakika wa kuzaa sio tu mtoto wa kiume bali wanaweza kuwa mapacha 2-3 wa kiume.....inaghalimu mamilioni ya shilingi though.

Kidokezo; imni ya kujaribu mpaka upate mtoto wa kike au kiume bila kuzingatia kwenu mkoje intrms of jinsia sio njema kwani mtajikuta mnazaa watoto ambao hamtaeza kuwamudu.

Natumaini maelezo yangu na ya wachangiaji wengine yatakuwa yamekusaidia kwa namna moja au nyingine, kwa niamba yao basi twawatakia kila lililo jema na Mungu afanikishe matakwa yenu kwa mapenzi yake

Umeeleza sawasawa na kwa ufasha sana, shida sijui atajuaje kuwa hilo ndo jibu sahihi maana naona kulishwa matango mwitu na baadhi ya wachangiaji waliotangulia.
 
Wakuu madktari wa JF, Mzizimkavu na wadau wote mliomo humu jamvini naomba mnifahamishe namna ya kupata mtoto wa kiume kwani nasikia kuna njia ambayo ikitumika mtoto wa kiume anapatikana.
Mkuu kwanza inatakiwa mwezi mmoja kabla uwe unakula vyakula vyenye asili ya alkaline yaani wewe pamoja na mkeo. Kwa sababu mbegu ya kiume inayotoa dume yaani "y" wakati unafanya mapenzi kama kuna acidity nyingi itakufa. Hivyo cha kwanza kabisa wewe na mkeo muwe mnafanya mpango mzuri wa diet. Pili, inatakiwa tendo la ndoa lifanywe at least masaa matatu au ikiwezekana mapema kabla yai la mwanamke halijatoka kwenye ovari kwasababu wanasema "sperm y" huwa zina life span ndogo sana lakini zinakimbia kwa kasi sana. Endapo ukifanya tendo la ndoa leo halafu mkeo akatoa yai kesho hapo ujue hizo manii y zitakua zishakufa kitambo... in principle hayo ni mojawapo ya mambo ya kuwa nayo makini.......
 
aiseeee inatokea umepata mtoto wa kiume na haujui process zake loo! kumbeeee
 
Naomba nikurekebishe hapo nilipo bold, kwa wanawake wenye mzunguko mfupi (Short cycle) 21 days anaweza kupata mimba wakati wa hedhi,
Pia yai la mwanamke linakuwa viable for only 18-24 hrs, and not up to 48 hrs. ila mbegu ya kiume inaweza kuwa hai kwa masaa 72

Mbegu ya kike ndio inakaa hayo masaa 72 lakini ya kiume inakaa nusu ya hapo.
 
Mbegu ya kike ndio inakaa hayo masaa 72 lakini ya kiume inakaa nusu ya hapo.

Khaa! Hiyo ni kwa reference ya vitabu vipi? Samahan, I'm talking this with 100% confidence, hizo alternative medicine/assumption zitawapotosha. look nipe reference
 
Last edited by a moderator:
jambo wakuu. Jamani mwenzenu natamani sana mtoto wa kiume. Naelewa mtoto ni zawadi kwa Mungu na ntampokea yeyote kwa shukrani lakini napenda tu kupata mtoto wa kwanza wa kiume.
Nimefatilia ushauri humu kuwa natakiwa kucheza game siku ya 14 na ndo kesho.
Hebu wataalam niongezeeni maujanja mengine hapa ili kuongeza posibility ya kutupia kitu cha kiume. Tukumbuke kuwa siku yenyewe ya 14 ndo kesho hivyo muda hasa wa kupokea ushauri na mbinu nyingine ni sasa hasa juu ya mkao, chakula, muda muafaka na kila njia jaman ili tu nitupie mtoto wa kiume
 
Muumbaji umempa nafasi katika uumbaji unaokusudia kushiriki?

ukisoma post angu utaelewa muumba nimempa nafasi kiasi kikubwa sana na nimesema wazi kuwa mtoto ni mtoto na ntampokea kwa shukrani yeyote ajaye
 
ukisoma post angu utaelewa muumba nimempa nafasi kiasi kikubwa sana na nimesema wazi kuwa mtoto ni mtoto na ntampokea kwa shukrani yeyote ajaye

Haya mshukuru Mungu ya kuwa umeshampata huyo mtoto wa kiume, nenda kamshughulikie mkeo vizuri. :couch2:
 
mh mi naona kwakua ni mtoto wa kwanza mwachie Mungu akuchagulie mwenyewe atakaekuja mshukuru Mungu.we unachagua ndugu wakat wapo ambao wanatafuta hata alie taahira tu bas ajulikane ana mtoto? ni desire yako lakin angalao.mtoto wa pili ndo ungepanga maana saiv hujui hata kama mkeo huyu kizaz anacho ama hana we ushaanza kelele unataka wa kiume?looh katubu na umwambie Mungu kama nilivyozaliwa mimi naomba nitimize ahadi yako ya kuzaa pia, naomba unipe mtoto mwenye afya njema aliyeumbwa kwa mfano wako ili awe lango la baraka kwenye maisha yangu na sio laana.
kwangu huo ndo ushauri na ndiyo cha kupanga ingawaje mlishapanga tayari!
 
Back
Top Bottom