Mada: Fahamu mbinu mbalimbali zinazoweza kukuwezesha kupata mtoto wa kiume

siku ya tatu yai la kike linakua halina nguvu hivyo yai la kiume ndio lina tawala usichanganye imani na sayansi ni sawa na maji na mafuta

Sasa siku ya tatu si bado chekundu chekundu? Hayo maji maji meupe utayaina vipi
 
mi wakiume nimesahau kuweka nukta hapo kuna mtu kaniuliza nina maana ya breed au bleed nikamwambia ni hedhi basi

Basi kama wewe ni wakiume mkeo kakudanganya, angalia huyo mtoto anaweza kuwa si wako.
 
Pengine labda anamanisha baada ya kumaliza bleed kama ni siku tano unaanza kuhesabu tena moja mpaka 3 ambapo pia bado sio siku ya mtoto wakiume. Omba kufundishwa mdogo wangu acha kubaka mada usizozijua.
 
sasa nyie endeleeni kubisha wakati mimi mwenzenu naongeza vidume nyumbani kwangu
 
Post zingine ziwe zinafutwa kabla hazijatufikia ,maana zitaharibu hata haka ka uelewa ketu!!
 
siku ya tatu yai la kike linakua halina nguvu hivyo yai la kiume ndio lina tawala usichanganye imani na sayansi ni sawa na maji na mafuta
ndugu jaribu kuwa makini unasema siku ya tatu yai la kike linakua halina nguvu hivyo yai la kiume ndio lina tawala ,wewe unafikiri yanatoka mayai mangapi kwa mwzi mmoja ,sikia ndugu ni yai moja tu na ni mara chache yakapevuka mayai mawili kwa mwezi mmoja .
 
siku ya tatu yai la kike linakua halina nguvu hivyo yai la kiume ndio lina tawala usichanganye imani na sayansi ni sawa na maji na mafuta

Kwi kwi kwi wewe kiboko kweli cjawahi sikia yai la kike na yai la kiume mirembe kamata mtu yenu hiyo imetorokea huku JF
 
Navyoelewa mimi kwa wale wenye mzunguka mfupi, siku ya 12 na 13 baada ya hedhi na wenye mzunguko mrefu ni siku ya 14 na 15 baada ya hedhi kidume kinaweza patikana. Ila mwanaume ni vizuri apige mbao yenye mbegu za kutosha
 
siku ya tatu yai la kike linakua halina nguvu hivyo yai la kiume ndio lina tawala usichanganye imani na sayansi ni sawa na maji na mafuta

hamna kitu kama ichi kaka yai la mwanamke ni la kike mwanaume ndo ana me na ke alafu hamna siku me zinakua active zaidi yake sema ke na me zinatofautiana mikia na life span ambapo ute mzito unafever 'me' sperms to reach the egg and fertilize it faster dan 'ke' sperms.hongera kwa kua na more me sperms dan Ke.
 
Wakuu madktari wa JF, Mzizimkavu na wadau wote mliomo humu jamvini naomba mnifahamishe namna ya kupata mtoto wa kiume kwani nasikia kuna njia ambayo ikitumika mtoto wa kiume anapatikana.
 
Kwanza inabidi siku hiyo uwe na nguvu za kiume za kutosha, Pili unatakiwa uvizie masaa kadhaa kabla hajaanza siku zake kwakuwa siku hiyo yai lake huwa lipo karibu kabisa
 
Kwanza inabidi siku hiyo uwe na nguvu za kiume za kutosha, Pili unatakiwa uvizie masaa kadhaa kabla hajaanza siku zake kwakuwa siku hiyo yai lake huwa lipo karibu kabisa

ni masaa kabla yai halijatoka(yani hajavujisha damu) au kabla ya cku zake. Sikuelewi embu nifafanulie kidogo
 
Kuna thread nyingi sana zilizofafanua suala lako vizuri jaribu kusearch humu.
 
Kwanza inabidi siku hiyo uwe na nguvu za kiume za kutosha, Pili unatakiwa uvizie masaa kadhaa kabla hajaanza siku zake kwakuwa siku hiyo yai lake huwa lipo karibu kabisa

Sawa,nimependa jibu lako kutokana na urahisi wake ktk kutendeka...nilijua itakuwa complex! lakini mimi nataka kuelewa zaidi,kwahiyo yani hapo kinacho sababisha mtoto awe wa kiume ni kuwa na nguvu nyingi za kiume (explanation required) na kufanya tendo masaa machache kabla ya zile siku ambazo anapata mimba? ningependa kueleweshwa zaidi mkuu.
 
Kwanza inabidi siku hiyo uwe na nguvu za kiume za kutosha, Pili unatakiwa uvizie masaa kadhaa kabla hajaanza siku zake kwakuwa siku hiyo yai lake huwa lipo karibu kabisa

Wewe ndio umempoteza kabisa.
Mtoto wa kiume anapatikqna iwapo tu utakutana na mwenzako uliyemuamini Siku ya Mwisho katika Ovalution.
Mf----
Kama Mzunguko wa Mpenzi wako ni siku 22/
Ina maana siku yake ya Ovalution ni siku ya nane mpaka kumi kutoka Period.

So.
Kama unataka mtoto wa kiume inabidi ulale na mwenzako siku ya kumi,kwani yai la kike yaan (xx) litakua halina nguvu sana, Kwa hiyo mtu mume hutoa mbegu za aina ya (xy).
hivyo mbegu y husafiri haraka na kujinasa na x hapo mtoto wa kiume anaweza kutungwa.
Na kama ni mtoto wa kike ni siku ya (8)

NB:
Sio wanawake wote wenye mzunguko wa siku 22/ Hutofautiana kati ya mwanamke na mwanamke.

Kwa yoyote yule ambaye unaujua mzunguko wa mwenzako unahesabu siku kumi na tano kurudi nyuma then ongeza mbili hii ndio siku ya mtoto wa kiume.
 
Back
Top Bottom