King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
Hongera sana kaka.
Nakutakia kila la kheri, I will say a prayer for you in a few minutes to come. Mungu akusimamie ndoto zako. Ushauri uliopewa umetosha. Usisahau ulikotoka, zingatia kila mtu ametoka kwao ana anajua kaandaliwa nini. Usiige tembo kunya, utapasuka msamba.
Nakutakia kila la kheri, I will say a prayer for you in a few minutes to come. Mungu akusimamie ndoto zako. Ushauri uliopewa umetosha. Usisahau ulikotoka, zingatia kila mtu ametoka kwao ana anajua kaandaliwa nini. Usiige tembo kunya, utapasuka msamba.