Jinsi ya kupata GPA kali, kuepuka supplementary na jinsi ya kutodisco chuoni.

Kiny

JF-Expert Member
Sep 3, 2012
289
57
Ndugu zangu wote waliopata mkopo na wale waliokosa kwanza kabisa nipende kwa pamoja sote tumshukuru Mwenyezi Mungu kwani ana mipango na sisi wanadamu aijalishi umepata mkopo au la. Basi ndugu zangu bila kuwachosha nilete yangu yalo moyoni na atakayeweza kunipa mawazo, maoni na msaada mwingine naomba atupie hapa. Mimi ni kijana niliyezaliwa katika kijiji kidogo nikiwa mtoto wa 17 kati ya watoto 30 wa baba yangu nikimaanisha kuwa kuna wakubwa zangu wasio na uwezo mzuri kiuchumi 16 na wadogo zangu ambao pengine wananitegemea 12. Kutokana na hali hiyo ya familia niliamua kukimbilia kutafuta elimu ambayo itakuwa ni mkombozi kwangu na hata familia na jamii kwa ujumla. Basi kwa neema ya Mungu nilifanikiwa kufaulu kidato cha nne kwa kupata dalaja la kwanza (16 ) na baadae kujiunga kidato cha tano na cha sita nikafaulu kwa dalaja la kwanza (9) basi kama ilivyo furaha ya wengi hata mimi mwenzenu mimefanikiwa kuchaguliwa Bachelor of science in nursing university of Dodoma na kupata mkopo 4,032,500/= lakini baada ya kusikia kuwa mtu anapopata GPA kali mfano 5 inakuwa ni lahisi kutoka kielimu na pengine kubakizwa chuoni kuwa tutorial lecturer nimekuja kwenu wa jf na great thinkers muweze kunipa/kutupa mawazo au ushauri sisi sote ili kuepukana na supplementary, kuto disco na hatimae kupata GPA kali hili kuweza kukomboa familia kama yangu na zaidi kupata elimu ambayo itakuwa ya manufaa kwa jamii na wala si elimu ya kukariri ukizingatiwa nitadili na afya ya binadamu. ASANTE KWA KUNISIKILIZA , NAKARIBISHA MAWAZO/ Ushauri WENU.
 
cha muhimu soma kwa malengo na utambue kilichokuleta chuo na aliekwambia kna kubakzwa chuo si ivo lazima uombe kule si mring kaka
 
Udhuria mapindi, jisomee, fanya kaz zote unazopew na lectr (coz work) afu gonga fresh matest na pepa ya mwisho..
Bhaaaaaaaaaaaaaac
 
Kihalali:
Fanya assignents vizuri.
Usipitwe na quiz hata yenye max1,uwe unajizoeza kusoma kwa uelewa lecturer anapofundisha somo fulani. Uwe unapunguza mzigo wa notes ambazo hazijasomwa ,kwa kupitia kidogo kidogo na siyo 'fayatingisha' karibu na mtihani. Kikubwa ni uelewa..na kupangilia muda wako na ratiba yako vizuri. Na yote yanawezekana ukimtanguliza mbele 'MUNGU MWAMINIFU',kwa Kila jambo,katika Masomo na Maisha yako.
 
Ndugu zangu wote waliopata mkopo na wale waliokosa kwanza kabisa nipende kwa pamoja sote tumshukuru Mwenyezi Mungu kwani ana mipango na sisi wanadamu aijalishi umepata mkopo au la. Basi ndugu zangu bila kuwachosha nilete yangu yalo moyoni na atakayeweza kunipa mawazo, maoni na msaada mwingine naomba atupie hapa. Mimi ni kijana niliyezaliwa katika kijiji kidogo nikiwa mtoto wa 17 kati ya watoto 30 wa baba yangu nikimaanisha kuwa kuna wakubwa zangu wasio na uwezo mzuri kiuchumi 16 na wadogo zangu ambao pengine wananitegemea 12. Kutokana na hali hiyo ya familia niliamua kukimbilia kutafuta elimu ambayo itakuwa ni mkombozi kwangu na hata familia na jamii kwa ujumla. Basi kwa neema ya Mungu nilifanikiwa kufaulu kidato cha nne kwa kupata dalaja la kwanza (16 ) na baadae kujiunga kidato cha tano na cha sita nikafaulu kwa dalaja la kwanza (9) basi kama ilivyo furaha ya wengi hata mimi mwenzenu mimefanikiwa kuchaguliwa Bachelor of science in nursing university of Dodoma na kupata mkopo 4,032,500/= lakini baada ya kusikia kuwa mtu anapopata GPA kali mfano 5 inakuwa ni lahisi kutoka kielimu na pengine kubakizwa chuoni kuwa assistance lecturer nimekuja kwenu wa jf na great thinkers muweze kunipa/kutupa mawazo au ushauri sisi sote ili kuepukana na supplementary, kuto disco na hatimae kupata GPA kali hili kuweza kukomboa familia kama yangu na zaidi kupata elimu ambayo itakuwa ya manufaa kwa jamii na wala si elimu ya kukariri ukizingatiwa nitadili na afya ya binadamu. ASANTE KWA KUNISIKILIZA , NAKARIBISHA MAWAZO/ Ushauri WENU.
Rule 1: Go do what you are supposed to do, not what you want to do.
Rule 2: Rule 1 shall always prevail, mutatis mutandis!

Ahsante, masomo mema.
 
Bro kwanza hongera kwa kutambua umuhimu wa elimu alihal familia yako kuwa na msingi mbaya wa elimu,kaka pili ni kwamba degree moja hauwez kuwa asst.lecturer coz huyu lzm awe na masters, bt degree ni tutorial,tatu hili upige gpa safi
1,zingatia vipind vyote
2,piga qnz zote
3,soma kwa kuelewa cyo kukariri
4,achana na maEVA/HAWA
5,control boom isikuchanganye
6,mwombe Mungu
7,jenga mazingira rafik kwa wanachuo wenzako.
 
Watoto Wengi mliomaliza high school mkienda chuo mnachachawa na mabinti; tofauti na Huko Nyuma uhuru chuoni Ni mkubwa, Mabibi if Ur not smart will make you fail.


Ndugu zangu wote waliopata mkopo na wale waliokosa kwanza kabisa nipende kwa pamoja sote tumshukuru Mwenyezi Mungu kwani ana mipango na sisi wanadamu aijalishi umepata mkopo au la. Basi ndugu zangu bila kuwachosha nilete yangu yalo moyoni na atakayeweza kunipa mawazo, maoni na msaada mwingine naomba atupie hapa. Mimi ni kijana niliyezaliwa katika kijiji kidogo nikiwa mtoto wa 17 kati ya watoto 30 wa baba yangu nikimaanisha kuwa kuna wakubwa zangu wasio na uwezo mzuri kiuchumi 16 na wadogo zangu ambao pengine wananitegemea 12. Kutokana na hali hiyo ya familia niliamua kukimbilia kutafuta elimu ambayo itakuwa ni mkombozi kwangu na hata familia na jamii kwa ujumla. Basi kwa neema ya Mungu nilifanikiwa kufaulu kidato cha nne kwa kupata dalaja la kwanza (16 ) na baadae kujiunga kidato cha tano na cha sita nikafaulu kwa dalaja la kwanza (9) basi kama ilivyo furaha ya wengi hata mimi mwenzenu mimefanikiwa kuchaguliwa Bachelor of science in nursing university of Dodoma na kupata mkopo 4,032,500/= lakini baada ya kusikia kuwa mtu anapopata GPA kali mfano 5 inakuwa ni lahisi kutoka kielimu na pengine kubakizwa chuoni kuwa assistance lecturer nimekuja kwenu wa jf na great thinkers muweze kunipa/kutupa mawazo au ushauri sisi sote ili kuepukana na supplementary, kuto disco na hatimae kupata GPA kali hili kuweza kukomboa familia kama yangu na zaidi kupata elimu ambayo itakuwa ya manufaa kwa jamii na wala si elimu ya kukariri ukizingatiwa nitadili na afya ya binadamu. ASANTE KWA KUNISIKILIZA , NAKARIBISHA MAWAZO/ Ushauri WENU.
 
Kihalali:
Fanya assignents vizuri.
Usipitwe na quiz hata yenye max1,uwe unajizoeza kusoma kwa uelewa lecturer anapofundisha somo fulani. Uwe unapunguza mzigo wa notes ambazo hazijasomwa ,kwa kupitia kidogo kidogo na siyo 'fayatingisha' karibu na mtihani. Kikubwa ni uelewa..na kupangilia muda wako na ratiba yako vizuri. Na yote yanawezekana ukimtanguliza mbele 'MUNGU MWAMINIFU',kwa Kila jambo,katika Masomo na Maisha yako.

Huu ushauri mzuri sana ndugu...nimepata kitu na mimi hapo
 
Bro kwanza hongera kwa kutambua umuhimu wa elimu alihal familia yako kuwa na msingi mbaya wa elimu,kaka pili ni kwamba degree moja hauwez kuwa asst.lecturer coz huyu lzm awe na masters, bt degree ni tutorial,tatu hili upige gpa safi
1,zingatia vipind vyote
2,piga qnz zote
3,soma kwa kuelewa cyo kukariri
4,achana na maEVA/HAWA
5,control boom isikuchanganye
6,mwombe Mungu
7,jenga mazingira rafik kwa wanachuo wenzako.

kaka asante sana iyo tutorial ndo nimechanganya na assistance ki ukweli ushauri wako mzuri sana ingewezekana ningeprint page lakini naomba unisaidia hapo namba 5. Kuhusu boo control maana huku nyumbani familia nzima wanafanya sherehe wakisema boom likiwa linaingia natuma hata laki 250 kwa ajili ya wadogo zangu huku wakisisitiza kuwa health related fields zote huwa wanaongezewa hata motisha je kwa wale wazoefu inawezekana nikajibana vip ili niweze kusatisfy pande zote nyumbani na mi mwenyewe.
 
Kijana kutoa 250,000 hakuwezi kukufanya ushindwe kusoma chuo. la msingi tambua hali uliokua nayo then usifuate makuu hapo chuoni. Jitambue ww umetoka familia gani. Kumbuka hiyo hela ni ya kusomea sio kununulia i pad kama wengine familia bora wafanyavyo. Kama c mtu wa starehe hiyo pesa itakuwezesha tu kumaliza chuo vizuri. Kuhusu GPA kijana soma sana then uwe unaelewa mambo vizuri. Chuoni sio kama elimu ya F4 na F6 ambako mtihani wa muhimu upo mmoja tu ule wa taifa, then baada ya miaka 4 na 2. Huku kila mwez lazma ukumbane na mtihani kama sio assignment na mengineyo, hivyo vyote hurekodiwa ili upate GPA nzuri.

Mwisho mwombe sana Mungu akusaidie 7bu walimu wengine wanakuaga na MAPEPO ya kuwapa makarai C wanafunzi. Hivyo kuvunja ndoto za WANAFUNZI ktk GPA. Ni hayo tu, MUNGU AWASAIDIE NYOTE MFAULU.
 
Back
Top Bottom