Duduwasha
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,703
- 3,653
Feki kivipi? Mkate ni Ngano,Kuna Nyama,onion,hoho,salad,Tomatoes na vitu vingu iweje iwe ni fake? wacha propaganda za kuwafanya watu wasinenepe kupita kiasi kwa junk food.... haya makitu yapo juu hata uweke kampeni dunia nzima watu hawatoacha kula maana kuna full vitamin mule wanga na kadhalikaMkuu Duduwasha Junk food Vyakula feki hivyooooooooooooooooo