Jinsi ya kununua vitu eBay

Kwa uzoefu wangu nilioupata kuhusu ebay kwa hapa bongo tatizo la kwanza ni jinsi ya kufanya malipo kwa paypal.
Mimi nilikuwa na kadi ya kawaida ya nbc nikaambiwa lazima niwe na visa, na baada ya kupata visa bado nilitakiwa nijirejista na mlolongo mrefu nikachemka.
ilibidi nimtumie mdogo wangu kwa western union poland kisha akaziingiza ktk acc yake akafanya malipo ndio mzigo ukatumwa kuja bongo ukitokea hong kong,ilikuwa ni lcd screen+tools ya sonyericsson, sikutozwa kodi.
Swala la kutuma afrika au wapi ni swala la seller mwenyewe, na maranyingi ktk description wanaeleza kabisa kama wanatuma word wide au sehemu flani tu,
Matatizo ya afrika ni kuwa posta zetu wanaweza kuiba mzigo.
Swala la kodi nadhani linategemeana na ukubwa wa kitu.
Pia naona kunavitu wapo cheap sana mfano hiyo lcd touch screen nilienda kwa wahindi posta pei yao ilikua 150,000 wakati mimi nimeinunua ebay dola 10 plus dola 2 ya usafiri na mzigo ulifika ndani ya wiki mbili
 
mie nimeshop saana ebay kuanzia electronics, nguo, viatu, nk, hata saa hii mizigo yangu mingine ipo njiani, kama mtu upo bize na mambo ya kwenda madukani inasaidia sana halafu vitu vingi vinapatikana humo so its very easy to get and shop as well.mie huwa natumia VISA card ya baclays..wauzaji ni wengi na from different countries, ila uwe makini na kitu unachoagiza maana apart from computer accessories na vile vingine, bidhaa *zingine lazima ulipie custom tax na VAT so inabidi uje before kuorder, juzi eti nimeagiza IPAD ikapitia posta wakaniambia nilipe VAT wee nilikomaa nao hadi nikapewa bila kulipia sijui walijua sijui sheria za nchi ama vipi... .ila online shopping inaweza kukufanya uwe addicted hahaha so be careful*
 
Muda mrefu nimekuwa nikifikiria kufungua duka dar! la kuwasaidia wadau kununua na kuuza vitu kwenye Ebay!! Nina account ya Ebay UK na nafahamiana na watu wanaoleta mizigo bongo!! so Mdau kama unataka naweza kukusaidia ila nitaweka commision ya 25%; usafiri + ushuru juu yako!!

25% ya bei ya kitu anachonunua au nini? Kama ni kwenye bei ya kitu anachonunua wewe unaona itakuwa rahisi mtu kutumia hiyo huduma yako kweli? hatari hiyo mkuu!!!
 
mie nimeshop saana ebay kuanzia electronics, nguo, viatu, nk, hata saa hii mizigo yangu mingine ipo njiani, kama mtu upo bize na mambo ya kwenda madukani inasaidia sana halafu vitu vingi vinapatikana humo so its very easy to get and shop as well.mie huwa natumia VISA card ya baclays..wauzaji ni wengi na from different countries, ila uwe makini na kitu unachoagiza maana apart from computer accessories na vile vingine, bidhaa *zingine lazima ulipie custom tax na VAT so inabidi uje before kuorder, juzi eti nimeagiza IPAD ikapitia posta wakaniambia nilipe VAT wee nilikomaa nao hadi nikapewa bila kulipia sijui walijua sijui sheria za nchi ama vipi... .ila online shopping inaweza kukufanya uwe addicted hahaha so be careful*

Naomba nijulishe nitatumia vipi hii card yangu yenye Visa.Hata mimi ningependa kufanya transactions kwa kutumia hii card ya VISA ya Stanbic or CRDB.
 
Kwa uzoefu wangu nilioupata kuhusu ebay kwa hapa bongo tatizo la kwanza ni jinsi ya kufanya malipo kwa paypal.

Mimi nilikuwa na kadi ya kawaida ya nbc nikaambiwa lazima niwe na visa, na baada ya kupata visa bado nilitakiwa nijirejista na mlolongo mrefu nikachemka.
ilibidi nimtumie mdogo wangu kwa western union poland kisha akaziingiza ktk acc yake akafanya malipo ndio mzigo ukatumwa kuja bongo ukitokea hong kong,ilikuwa ni lcd screen+tools ya sonyericsson, sikutozwa kodi.
Swala la kutuma afrika au wapi ni swala la seller mwenyewe, na maranyingi ktk description wanaeleza kabisa kama wanatuma word wide au sehemu flani tu,
Matatizo ya afrika ni kuwa posta zetu wanaweza kuiba mzigo.
Swala la kodi nadhani linategemeana na ukubwa wa kitu.
Pia naona kunavitu wapo cheap sana mfano hiyo lcd touch screen nilienda kwa wahindi posta pei yao ilikua 150,000 wakati mimi nimeinunua ebay dola 10 plus dola 2 ya usafiri na mzigo ulifika ndani ya wiki mbili

Paulss,nipe mwongozo mkuu nataka nunua simu,sunglasses na perfume online,mwongozo plz
 
mie nimeshop saana ebay kuanzia electronics, nguo, viatu, nk, hata saa hii mizigo yangu mingine ipo njiani, kama mtu upo bize na mambo ya kwenda madukani inasaidia sana halafu vitu vingi vinapatikana humo so its very easy to get and shop as well.mie huwa natumia VISA card ya baclays..wauzaji ni wengi na from different countries, ila uwe makini na kitu unachoagiza maana apart from computer accessories na vile vingine, bidhaa *zingine lazima ulipie custom tax na VAT so inabidi uje before kuorder, juzi eti nimeagiza IPAD ikapitia posta wakaniambia nilipe VAT wee nilikomaa nao hadi nikapewa bila kulipia sijui walijua sijui sheria za nchi ama vipi... .ila online shopping inaweza kukufanya uwe addicted hahaha so be careful*

nasikia wengi hawaship to Tanzania je ni kweli? hebu nisaidie mkuu mi nataka nunua simu,perfumes na sunglasses,pia nguo. namba mwongozo mamii
 
Wapo wanaoship Worldwide na wanaoship katika specific countries kama Canada na USA. Kikubwa unatakiwa uangalie ukiwa umeclick, seller huwa anaweka wazi kama anaship worldwide au la. Ni rahisi tu

Sent from my BlackBerry 9930 using JamiiForums
 
Kwa aliyeko Arusha anayefahamu au alishafanya kununua vitu ebay please naomba tuwasiliane
 
mie nimeshop saana ebay kuanzia electronics, nguo, viatu, nk, hata saa hii mizigo yangu mingine ipo njiani, kama mtu upo bize na mambo ya kwenda madukani inasaidia sana halafu vitu vingi vinapatikana humo so its very easy to get and shop as well.mie huwa natumia VISA card ya baclays..wauzaji ni wengi na from different countries, ila uwe makini na kitu unachoagiza maana apart from computer accessories na vile vingine, bidhaa *zingine lazima ulipie custom tax na VAT so inabidi uje before kuorder, juzi eti nimeagiza IPAD ikapitia posta wakaniambia nilipe VAT wee nilikomaa nao hadi nikapewa bila kulipia sijui walijua sijui sheria za nchi ama vipi... .ila online shopping inaweza kukufanya uwe addicted hahaha so be careful*

Naomba tuwasiliane please
 
nimefanya purchase pia
kwenye Ebay na Amazon. ila mara nyingi nanunua electronics gadget. hapa nilipo nasuiria Saa ya mkononi, i bought it like 3 days ago. nimenunulia E bay
 
mie nimeshop saana ebay kuanzia electronics, nguo, viatu, nk, hata saa hii mizigo yangu mingine ipo njiani, kama mtu upo bize na mambo ya kwenda madukani inasaidia sana halafu vitu vingi vinapatikana humo so its very easy to get and shop as well.mie huwa natumia VISA card ya baclays..wauzaji ni wengi na from different countries, ila uwe makini na kitu unachoagiza maana apart from computer accessories na vile vingine, bidhaa *zingine lazima ulipie custom tax na VAT so inabidi uje before kuorder, juzi eti nimeagiza IPAD ikapitia posta wakaniambia nilipe VAT wee nilikomaa nao hadi nikapewa bila kulipia sijui walijua sijui sheria za nchi ama vipi... .ila online shopping inaweza kukufanya uwe addicted hahaha so be careful*

Mkuu mama dunia.....naomba muongozo namna ya kujiunga paypal na swala zima la ebay namba zangu hizi....0655090000....natanguliza shukrani kwako.
 
samahani sana naona hii topic ni ya miaka tele lakini kwa upande wangu nimejiunga huku mwezi huu na ni mwaka huu, shida yangu kubwa ninaomba kupata usaidizi kwa wenye uzoefu wa kununua vitu online, mimi ninahitaji kufanya shopping kwa ajili ya harusi yangu itakuwa august mwaka huu, nahitaji viatu na gauni tuu. na tayari nimeshaviona kwenye Tidebuy au Tideshop naomba anayeweza kunisaidia tafadhali awe mwaminifu, sijawahi kufasiri kwenda nchi ya nje na sitaki gauni za hapa maana zinafanana fanana ninaomba anayefahamu ani pm tafadhali
 
kwa yoyote anaetaka kununua vitu online, awasiliane nami kwenye 0688 941 186, ni serious. Karibuni tutakuwa na ofisi yetu hapa mjini, ni wa kweli na waaminifu, na nakuhakikishia kuwa hatutozi gharama zaidi ya unayoiona hapo online. Sisi tuna charges zetu ambazo zinaanzia shilingi elfu kumi, so ukinunua chochote chini ya laki tatu sisi tutakutumia mpaka hapa, na utatulipa shilingi elfu kumi tu. Wasiliana nami kama uko serious.
 
1. Find an item.
Enter keywords into the search box located at the top of any page, or browse through our list of categories on the home page.

2.
Learn about the item you found.
Read the item description carefully. If you have any questions about the item, you can find answers by clicking the Ask a question link.

3.
Review the seller's Feedback.
View the seller's business reputation by looking at his or her Feedback score, and read the comments left by previous buyers to be sure that this is a seller you feel you can trust.

4.
Bid or Buy It Now.
Check the item page to see what purchase options are available. You can either place a bid on an item or purchase it instantly using Buy It Now. Remember, all bids are active until the listing ends. If you win or click the Buy It Now button, you're obligated to complete the transaction.

5. Pay for the item.
After you've won or bought the item, send your payment to the seller within 3 days. To pay with one of the electronic payment methods offered by the seller, click the Pay Now button in the listing or email notification If you're picking up the item, you can pay by any method the seller accepts (including cash).

Important:

Be sure to pay using one of the methods specified by the seller.

Checks, money orders, and bank wire transfers aren't allowed for most purchases. Exceptions include vehicles, business and industrial equipment, real estate, items in the Adult Only category, and local pickup. For specifics about payment methods, see our accepted payments policy.
 
Nimeamini kweli JF kuna wakali.Nimefungua account www.paypal.com na iko verified tayari kwali walishakata $1.95 kupitia account yangu ya dola CRDB na four security code nimeiweka paypal imekubali.Nimeshafungua account pia Amazon.Nilihitaji address ya kutumia USA nimeenda MyUS.com - #1 International Shipping, Mail and Package Forwarding Service - MyUS.com nimefanya reqistration kwa kutumia aacount yangu ya dola CRDB wamekata $27 na wameshanipatia address ya USA.Kwa maana hiyo basi nitanunua mzigo na kuuelekeza MyUS na wao ndio watawajibika kukagua mzigo na kunitumia hapa Dar kupitia Fedex,DHL au wengineo nitakaopendelea.Ukihitaji maelekezo zaidi tuwasiliane. +255 784 505171.Nawashukuru waliotoa mwanganza na kuniwezesha kufanikisha hili.Long live JF
 
toka nipigwe changa hela yangu kipindi kile iPhone 4s ndo zinatoka huwez kunishawishi kufanya manunuzi ebay ama amazon.Hela yng bora ningeenda kutumbua na shemej yangu calabash pub angeniona young kibopa
 
Back
Top Bottom