UncleBen
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 9,598
- 11,993
Haha bila shaka wewe ndie utakae onekana na wachawi sasaMkuu Mimi Limao nimekosa nimetumia ndimu ya unga.
Haha bila shaka wewe ndie utakae onekana na wachawi sasaMkuu Mimi Limao nimekosa nimetumia ndimu ya unga.
Utupe mshindo nyuma tafadharingoja nijaribu nione
Kichwa tu...haina mabega hiyoKichwa tu
Dah, mpaka na wewe ni mwanafunzi aiseeee??Hapa mimi nami ni mwanafunzi
mshana heshma yako kaka!Hapa mimi nami ni mwanafunzi
Dah, mpaka na wewe ni mwanafunzi aiseeee??
Ningetegemea ushushe nondo na mie nikajaribu leo hii maarifa
Hii elimu ni pana na kamwe huwezi kuijua yote..nitakapojaribu na kupata matokeo husika nitakuja na mrejeshomshana heshma yako kaka!
Mpwa m ntajaribu ntakuja NA matokeoHii elimu ni pana na kamwe huwezi kuijua yote..nitakapojaribu na kupata matokeo husika nitakuja na mrejesho
Mkuu mbona hiyo kazi ndogo tuu. Mtafute mtu kutoka kabila moja dogo sana linaitwa "MUarusha chini". Atakumalizia shida zako. Utamkuta kagandia hapo hapo ila, huruhusiwi kumdhuru, unampikia ugali, ale ashibe aende kwao. Baada ya siku 3 utaona atakachofanzwa.
Wapo humu humu wewe endelea kubisha utajikua upo shambani msoga umeshika jembe au upo juu ya paa la bati yako umelala......kubali kataa uchawi upo na ukibisha sema suuuuuuuuUchawi haupo acheni upotoshaji.
Hatari sana.....Nimecheka sana ,North Korea wanagombana na dunia kwa kupeleka satellite kwenye orbit kumbe kuna njia mbadala ya kutumia Limao ,haki ya mama waafrika tuna safari ndefu sana
Yaani hizi imani za kishirikina zimetukaa sana, sijui tutaacha lini.Afadhali hilo, huko Tukuyu kuna kijana aliuwawa kwa sababu wanaamini mazao yake yanastawi vizuri kwa sababu anatumia uchawi.
Kutokana na bidii yake alifanikiwa kujenga nyumba hapo Kijijini, balaa likamfuata, wakamuua.