Mcheza Karate
JF-Expert Member
- Jun 30, 2011
- 690
- 350
Wengi huita uchawi, ulozi, ushirikina. Una majina mengi sana. Ni sayansi ya kiafrika na ya kufikirika zaidi kama hujawahi kukutana nayo.
Wengi huwa wanajiuliza, inawezekana vipi mtu akamwona mchawi huku yeye si mchawi? Ni rahisi sana.
Ni elimu kama ilivyo na ktk jitihada zangu za kusaka maarifa nikakutana nayo nchi moja kaskazini mashariki mwa Afrika nikaelezwa mbinu hii.
chukua limao 7, na sindano 7 za kushonea nguo, hapo unakuwa umemaliza.
Unachukua limao unachoma kwa sindano ila sindano isizame, na iache usichomoe.
Fanya hivyo ktk limao zote 7, kisha tupa limao zote zenye sindano uwanjani/sehemu yoyote ya wazi.
Hapo kila mchawi atakayekatiza anga hizo utamwona akiwa uchi na ana macho manne hata kama uchawi kauacha nyumbani
"kutafuta maarifa hakuna mwisho".
Wengi huwa wanajiuliza, inawezekana vipi mtu akamwona mchawi huku yeye si mchawi? Ni rahisi sana.
Ni elimu kama ilivyo na ktk jitihada zangu za kusaka maarifa nikakutana nayo nchi moja kaskazini mashariki mwa Afrika nikaelezwa mbinu hii.
chukua limao 7, na sindano 7 za kushonea nguo, hapo unakuwa umemaliza.
Unachukua limao unachoma kwa sindano ila sindano isizame, na iache usichomoe.
Fanya hivyo ktk limao zote 7, kisha tupa limao zote zenye sindano uwanjani/sehemu yoyote ya wazi.
Hapo kila mchawi atakayekatiza anga hizo utamwona akiwa uchi na ana macho manne hata kama uchawi kauacha nyumbani
"kutafuta maarifa hakuna mwisho".