njoo nikufunze kumtuliza mume, hata akienda huko asimtamani jirani yako. Paka akishiba huwaacha panya wapite. Mshibishe mumeo.
Leo tutalijua jiji kha???.............
Hivi naweza kushiba kweli?
jamani kwani leo kuna mashindano ya thread????????
Mod mbona hamjatuambia????
Leo tutalijua jiji kha???.............
Zote hizo mamboyako super siye wengine missionary position kwishakazi
Umeona eeh, wavivu wa kusoma wanapita tu sehemu kama hizi :A S 39:
Wajanja tunasoma na tunapata elimu ya bure....Umeona eeh, wavivu wa kusoma wanapita tu sehemu kama hizi :A S 39:
Jam,ani kuna dada kaniuliza ananiambia mumewe anagongwa nimsaidiaje??