dottoz
JF-Expert Member
- Jan 29, 2012
- 1,510
- 868
- Thread starter
- #21
Kuwafahamu inakuwa ngumu kidogo maana wa siku hizi wanapretend ile mbaya. Ila kitu cha kwanza kwako wewe unatakiwa uondoe fikra za kimatamanio ili ujiweke kwenye position ya kumchunguza.
Kuwa kama wewe usiigize halafu uone anakuchukuliaje
Wanawake waliowengi wanaangalia kipato cha mwanaume sasa hapo angalia sana. Muangalie siku akikuomba pesa halafu ukamwambia sina angalia reaction yake, ukiona anakuuliza utapata lini pesa basi kula kona mapema huyo hakufai.
Angalia anavyojali mambo yako sio wewe kila siku kujali mambo yake
Mengine baadae ngoja wengine waje
kwa kweli huyu binti nimekaa naye hajawahi kabsa kuniomba hela kwan anajua kabsa mimi ni mwanafunzi na yeye pia ni mwanafunzi kwahyo kumpa hela ni uamuzi wangu 2 ndivyo anavyosema yeye,na pia aliwahi ckia maneno flan hv kuwa mimi nimetoka na wasichana wawili 2po nao jiran kuckia hvyo alizima cmu wiki nzma hakutaka m2 yeyote ampigie simu hapo kisa mimi kuckia kuwa nimefanya mapenzi na hao mabinti,hapo nikaamua kufanya jitihada zangu zote ili kuongea naye bahati nzuri nikampata nikaongea nae kwenye cmu ya dada yake kumuuliza kwann hapatkan kwenye cmu yake akaniambia ni wewe ndiye uliyefanya mpaka nizme cmu kwa kuckia kuwa umefanya mapenz na hao nikamwambia ucckilze maneno ya wa2,bac demu akafunga safari kutoka dar mpaka mwanza hapo kisa mimi ili 2ongee naye vzuri"akasema kuwa nimekuja mwanza kwa ajili yako"na akaniuliza swali hli"hv ni ki2 gan ambacho mimi cna mpaka ukaamua kutoka na hao wasichana?ama ni k2 gan wao wanacho ambacho mimi cna?".ni kwel huyu msichana ana mapenzi ya dhati kwangu?