Jinsi ya kumjua msichana mwenye mapenzi ya dhati na ya kweli!

dottoz

JF-Expert Member
Jan 29, 2012
1,510
868
Nahtaji namna ya kumjua msichana mwenye mapenz ya dhati kwa ampendaye.
 
Basi utakuwa na mtihani mgumu kweli............
Kipimo unacho mpimia ndicho atakacho kupimia.

Mpende mmoja tu nae atakupenda kweli kweli,...........
ni rahisi sana kwa wadada kujifunza kupenda kuliko wanaume.
Just fall with one.
 
Kuwafahamu inakuwa ngumu kidogo maana wa siku hizi wanapretend ile mbaya. Ila kitu cha kwanza kwako wewe unatakiwa uondoe fikra za kimatamanio ili ujiweke kwenye position ya kumchunguza.

Kuwa kama wewe usiigize halafu uone anakuchukuliaje
Wanawake waliowengi wanaangalia kipato cha mwanaume sasa hapo angalia sana. Muangalie siku akikuomba pesa halafu ukamwambia sina angalia reaction yake, ukiona anakuuliza utapata lini pesa basi kula kona mapema huyo hakufai.
Angalia anavyojali mambo yako sio wewe kila siku kujali mambo yake

Mengine baadae ngoja wengine waje
 
Kuwafahamu inakuwa ngumu kidogo maana wa siku hizi wanapretend ile mbaya. Ila kitu cha kwanza kwako wewe unatakiwa uondoe fikra za kimatamanio ili ujiweke kwenye position ya kumchunguza.

Kuwa kama wewe usiigize halafu uone anakuchukuliaje
Wanawake waliowengi wanaangalia kipato cha mwanaume sasa hapo angalia sana. Muangalie siku akikuomba pesa halafu ukamwambia sina angalia reaction yake, ukiona anakuuliza utapata lini pesa basi kula kona mapema huyo hakufai.
Angalia anavyojali mambo yako sio wewe kila siku kujali mambo yake

Mengine baadae ngoja wengine waje

Nimeipenda sana sura yako aiseee.
 
Anza wewe kumpenda kwa dhati, then angalia respond yake ya mapenzi kwako.
 
Kuwafahamu inakuwa ngumu kidogo maana wa siku hizi wanapretend ile mbaya. Ila kitu cha kwanza kwako wewe unatakiwa uondoe fikra za kimatamanio ili ujiweke kwenye position ya kumchunguza.

Kuwa kama wewe usiigize halafu uone anakuchukuliaje
Wanawake waliowengi wanaangalia kipato cha mwanaume sasa hapo angalia sana. Muangalie siku akikuomba pesa halafu ukamwambia sina angalia reaction yake, ukiona anakuuliza utapata lini pesa basi kula kona mapema huyo hakufai.
Angalia anavyojali mambo yako sio wewe kila siku kujali mambo yake

Mengine baadae ngoja wengine waje
hiyo avatar yako,inanitisha
 
  • Thanks
Reactions: BAK
inategemea na wewe jinsi ulivyokutana nae nikimaanisha wakati unamtongoza, je ulitanguliza pesa? maana wanaume wengi wamekuwa wakitanguliza pesa pindi wanapowaitaji wasichana isitoshe wanawake wengi wapo kipesa zaid.


SASA KWA WALE WENYE WANAWAKE PINDI HAWANA KIPATO NA WANAWAKE WAMEWAKUBALI
endapo mwanamke amekuwa na wewe ktk mapenzi na hauna kipato kizuri,, sasa huyu kumtambua kama anakupenda utamtambua kupitia maongezi yake unapokuwa naye,, pia utamtambua kupitia ktk jamii je anakuchukuliaje? nikimaanisha je anakuwa huru kuongozana na wewe barabarani? IF YES basi jua huyo anakupenda,, sbb mwanamke asiyekupenda hawezi kuwa huru kuongozana na wewe.
pia utamtambua kupitia mawasiliano nikimaanisha simu,, sio siri mawasiliano ya simu ni muhimu sana kwa wapendanao,,, yani je huyo mwanamke huwa anakupigia simu kwa siku angalau hata mara 3? IF YES basi jua huyo anakupenda,,,,hicho ni kiwango cha chini inawezekana ikawa ni zaidi ya hapo..ingawa ilo atuliangalii sana lkn inaweza kukusaidia kutambua
sbb kwa mwanamke asiyekupenda inawezekana asikupigie simu kabisa na ukimuuliza anakuwa mkali sana na atakujibu ovyo.
NA USIONE AJABU AKIIONA SIMU YAKO UNAMPIGIA ANAKASIRIKA.. naukitaka ujue hilo jaribu siku kujibanza sehemu aliyopo mwandani wako alafu mpigie simu huku unamuona lkn hakikisha yeye hakuoni alafu uone respond yake kwenye call yako.

pia utamtambua pindi upatapo matatizo,, ata share nawewe kwaukaribu zaid akikufariji,, ataumia nawewe.

pia unapokuwa ktk mkusanyiko wa watu au kwenye shughuli fulani endapo ikatokea umekosea kitu fulani iwe kwa kuongea au kutenda basi mwanamke huyu atasubiri muondoke maeneo yale ndipo atakukoksoa,, basi jua huyo anakupenda...
LKN kwamwanamke asiyekupenda wala hasubiri muondoke bali atakukosoa hapohapo mbele za hao watu nakukudharirisha maana haoni tabu maana hana mpango na wewe

pia mwanamke huyu siku zote humweka mwanaume wake juu kwa kumsifia kwa watu hata kama ni vya uongo,, yani mpaka mwanaume anajiona yeye ndo yeye na mwenye fahari mbele za watu sbb mke au galfriend wake anamuinua,,,, LAKINI mwanamke asiyekupenda yeye mda wowote usipokaa vizuri hashindwi kukukosoa hata mbele zawatu ilimradi tu

SASA KWA WALE WANAUME WENYE WANAWAKE PINDI WAWAPO NA KIPATO KIZURI PESA
kumtambua mwanamke kuwa anakupenda pindi unapokuwa nakipato kizuri, utamtambua kwenye matumizi yake yaani je matumizi yake ni ya kimaendeleo?? IF YES basi jua huyo anakupenda,,, sbb kwa mwanamke asiyekupenda matumizi yake yatakuwa ya kujifikiria yeye tu na sio yenu wote kwa maendeleo..

pia utamtambua kupitia outing zenu yaani je huwa anakusaidia kulipa gharama za matumizi yenu baadhi ya siku? IF YES jua anakupenda,, sababu mwanamke yeyote ampendaye mpenzi wake na aliyeumbika na haya atamwambia mpenzi wake kwa utaratibu, (''darling usijali leo nitalipa mimi'') yaani haijalishi mwanaume wake ni tajiri kiasi gan mwanamke huyu yupo tayari kusaidiana gharama na mpenzi wake.

pia utamtambua pindi upatapo shida sbb unapokuwa na shida mwanamke akupendaye ataumia na wewe kwakukufariji LAKINI mwanamke asiyekupenda wala hawezi kushtuka juu yatatizo lako tena utamgundua tu maana pindi unapomuelezea matatizo yako yeye atakuwa anakujibu shortcut ilimradi umalize maelezo yako maana unam-boa.

ANGALIZO: ANGALIZO: ANGALIZO: ANGALIZO: ANGALIZO: ANGALIZO: ANGALIZO:
watu wanajidanganya kuwa ukiwa na mwanamke wakati hauna kipato basi mwanamke huyo atakuwa na mapenzi ya dhati,, mimi nakanusha sio kweli sababu kuna mwanamke mwingine anakuwa na wewe pasipokuwa nakipato sababu amekosa mwanaume wa chaguo lake ivyo yupo kwako amejiegesha tu sbb amekosa mwanaume lkn ikitokea kampata tu basa atakuacha solemba.. isitoshe mwingine mpaka anaolewa nawewe lkn hakupendi kabisa sasa mwisho wa yote atakuwa ana cheat kwenye ndoa yenu sbb kwako amejiegesha tu aitwe mke wa mtu. ivyo kuwa mwangalifu ktk hilo.

pia wapo wanawake ambao hata ukimtangulizia pesa bado yeye atakupenda kwa dhati tu ata ikitokea umefilisika kabisa mwanamke huyu yeye anaendelea kukupenda kwa dhati kwa shida na raha ingawa hawa ni wachache sana kwa dunia ya sasa.. cha msingi fuata hayo niliyoeleza hapo juu yatakusaidia.


NAKUPA ASSIGNMENT NENDA KAMTANGAZIE SHIDA HUYO UMPENDAYE ULIYENAYE MWAMBIE HAUNA PESA KABISA YANI PRETEND UMEFILISIKA THEN UTAONA RESPOND YAKE,,SASA HAPO NDIPO UTAGUNDUA MAPENZI YA DHATI KAMA YAPO AU HAYAPO.


ZAIDI YA YOTE MSHIRIKISHE MUNGU KUMPATA YULE AKUPENDAYE KWADHATI NA WEWE UMPENDE KWA DHATI,,, USITUMIE NGUVU ZAKO MWENYEWE
 
Anza wewe kumpenda kwa dhati, then angalia respond yake ya mapenzi kwako.

Mara nyingi wanaume ndo tunaanza kupenda tena kwa dhati,Baadae unagundua kuwa uliyempenda hana mapenzi ya dhati.Anaangalia kipato,kikipungua anaanza visa huyooo anatafuta bwana mwingine.
 
Msichana akisha kupenda utamjua tu, hao wakisha penda huwa hawafichi.
 
Kama atakuwa anakujali yaweza kuwa kipimo,lakini uwe makini unaweza jaliwa ile hali kuna mwingine pembeni wa kuchunwa.
 
inategemea na wewe jinsi ulivyokutana nae nikimaanisha wakati unamtongoza, je ulitanguliza pesa? maana wanaume wengi wamekuwa wakitanguliza pesa pindi wanapowaitaji wasichana isitoshe wanawake wengi wapo kipesa zaid.


SASA KWA WALE WENYE WANAWAKE PINDI HAWANA KIPATO NA WANAWAKE WAMEWAKUBALI
endapo mwanamke amekuwa na wewe ktk mapenzi na hauna kipato kizuri,, sasa huyu kumtambua kama anakupenda utamtambua kupitia maongezi yake unapokuwa naye,, pia utamtambua kupitia ktk jamii je anakuchukuliaje? nikimaanisha je anakuwa huru kuongozana na wewe barabarani? IF YES basi jua huyo anakupenda,, sbb mwanamke asiyekupenda hawezi kuwa huru kuongozana na wewe.
pia utamtambua kupitia mawasiliano nikimaanisha simu,, sio siri mawasiliano ya simu ni muhimu sana kwa wapendanao,,, yani je huyo mwanamke huwa anakupigia simu kwa siku angalau hata mara 3? IF YES basi jua huyo anakupenda,,,,hicho ni kiwango cha chini inawezekana ikawa ni zaidi ya hapo..ingawa ilo atuliangalii sana lkn inaweza kukusaidia kutambua
sbb kwa mwanamke asiyekupenda inawezekana asikupigie simu kabisa na ukimuuliza anakuwa mkali sana na atakujibu ovyo.
NA USIONE AJABU AKIIONA SIMU YAKO UNAMPIGIA ANAKASIRIKA.. naukitaka ujue hilo jaribu siku kujibanza sehemu aliyopo mwandani wako alafu mpigie simu huku unamuona lkn hakikisha yeye hakuoni alafu uone respond yake kwenye call yako.

pia utamtambua pindi upatapo matatizo,, ata share nawewe kwaukaribu zaid akikufariji,, ataumia nawewe.

pia unapokuwa ktk mkusanyiko wa watu au kwenye shughuli fulani endapo ikatokea umekosea kitu fulani iwe kwa kuongea au kutenda basi mwanamke huyu atasubiri muondoke maeneo yale ndipo atakukoksoa,, basi jua huyo anakupenda...
LKN kwamwanamke asiyekupenda wala hasubiri muondoke bali atakukosoa hapohapo mbele za hao watu nakukudharirisha maana haoni tabu maana hana mpango na wewe

pia mwanamke huyu siku zote humweka mwanaume wake juu kwa kumsifia kwa watu hata kama ni vya uongo,, yani mpaka mwanaume anajiona yeye ndo yeye na mwenye fahari mbele za watu sbb mke au galfriend wake anamuinua,,,, LAKINI mwanamke asiyekupenda yeye mda wowote usipokaa vizuri hashindwi kukukosoa hata mbele zawatu ilimradi tu

SASA KWA WALE WANAUME WENYE WANAWAKE PINDI WAWAPO NA KIPATO KIZURI PESA
kumtambua mwanamke kuwa anakupenda pindi unapokuwa nakipato kizuri, utamtambua kwenye matumizi yake yaani je matumizi yake ni ya kimaendeleo?? IF YES basi jua huyo anakupenda,,, sbb kwa mwanamke asiyekupenda matumizi yake yatakuwa ya kujifikiria yeye tu na sio yenu wote kwa maendeleo..

pia utamtambua kupitia outing zenu yaani je huwa anakusaidia kulipa gharama za matumizi yenu baadhi ya siku? IF YES jua anakupenda,, sababu mwanamke yeyote ampendaye mpenzi wake na aliyeumbika na haya atamwambia mpenzi wake kwa utaratibu, (''darling usijali leo nitalipa mimi'') yaani haijalishi mwanaume wake ni tajiri kiasi gan mwanamke huyu yupo tayari kusaidiana gharama na mpenzi wake.

pia utamtambua pindi upatapo shida sbb unapokuwa na shida mwanamke akupendaye ataumia na wewe kwakukufariji LAKINI mwanamke asiyekupenda wala hawezi kushtuka juu yatatizo lako tena utamgundua tu maana pindi unapomuelezea matatizo yako yeye atakuwa anakujibu shortcut ilimradi umalize maelezo yako maana unam-boa.

ANGALIZO: ANGALIZO: ANGALIZO: ANGALIZO: ANGALIZO: ANGALIZO: ANGALIZO:
watu wanajidanganya kuwa ukiwa na mwanamke wakati hauna kipato basi mwanamke huyo atakuwa na mapenzi ya dhati,, mimi nakanusha sio kweli sababu kuna mwanamke mwingine anakuwa na wewe pasipokuwa nakipato sababu amekosa mwanaume wa chaguo lake ivyo yupo kwako amejiegesha tu sbb amekosa mwanaume lkn ikitokea kampata tu basa atakuacha solemba.. isitoshe mwingine mpaka anaolewa nawewe lkn hakupendi kabisa sasa mwisho wa yote atakuwa ana cheat kwenye ndoa yenu sbb kwako amejiegesha tu aitwe mke wa mtu. ivyo kuwa mwangalifu ktk hilo.

pia wapo wanawake ambao hata ukimtangulizia pesa bado yeye atakupenda kwa dhati tu ata ikitokea umefilisika kabisa mwanamke huyu yeye anaendelea kukupenda kwa dhati kwa shida na raha ingawa hawa ni wachache sana kwa dunia ya sasa.. cha msingi fuata hayo niliyoeleza hapo juu yatakusaidia.


NAKUPA ASSIGNMENT NENDA KAMTANGAZIE SHIDA HUYO UMPENDAYE ULIYENAYE MWAMBIE HAUNA PESA KABISA YANI PRETEND UMEFILISIKA THEN UTAONA RESPOND YAKE,,SASA HAPO NDIPO UTAGUNDUA MAPENZI YA DHATI KAMA YAPO AU HAYAPO.


ZAIDI YA YOTE MSHIRIKISHE MUNGU KUMPATA YULE AKUPENDAYE KWADHATI NA WEWE UMPENDE KWA DHATI,,, USITUMIE NGUVU ZAKO MWENYEWE

Ufafanuzi mzuri.
 
Back
Top Bottom