Jinsi ya kuhama chuo ulichochaguliwa kama hukipendi

diet

Member
Aug 1, 2012
56
8
Jamani kwa wanafunzi wale waliochaguliwa ktk vyuo ambavyo c chaguo lako unaweza kuhama cha kuzingatia ni kuwahi ktk chuo ukipendacho ili mradi tu iwe chuo cha private. Pia unaweza kubadilisha na kozi.
 
Sijakuelewa kabisa. Ninachofahamu ni kuwa Kitu ambacho hakiwezekani kabisa ni kuhama chuo ulichochaguliwa,unless labda ingekuwa ulituma application katika vyuo kuanzia viwili na kuendelea.
Sasa unaposema unaweza kuhamia chuo cha private,ilo nalo linanitia wasiwasi,ila inawezekana kujiunga na chuo cha private kama hiko chuo hakifuati Central Admission System ambayo inafanywa na TCU pekee. Sina uhakika lakini nimesikia Muslim University Morogoro hawafuati hiyo system ya CAS. Ila karibu vyuo vyote TZ vinafuata system ya CAS.
 
Ok,,,, mfano umechaguliwa tumaini na unataka kwenda jordan cha kufanya unawahi kwenda jordan unawaomba then wakishakukubalia hukanyagi tena tumaini,, sababu ukichaguliwa na tcu ni kazi moja na kwenda ulikochagua ni kazi ya pili, sababu km usipoenda tumaini hawataweza kukufanyia registration, hivyo utakuwa registed jordan na jina lako likipelekwa tayari utakuwa uko ndani ya system,,, pia unatakiwa kuelewa elimu ya juu si km secondary kwamba kipindi cha mtihani jina lako laweza lisije! La,,,,elimu hii hatma yako iko kwa lecture wa hapo hapo chuoni na chuo chenyewe,,,,,hivyo wakishakukagua na wakakusajili tayari mambo yatakuwia poa na utasoma km kawa cha muhimu usikimbie quiz, discussion, presententio, text cose ni vitu muhimu vitakavyokuwezesha upate GPA safi
 
Pia eleweni kwamba cas hawaconsidi majina ya wale waliowachagua, wanachokonsida ni majina ya wale walioadmitiwa tu,,,,, sababu kuna waliochaguliwa na hawaendi kbs chuon hivyo ukishaadmitiwa ktk chuo flani huwezi kbs kuhama ila km bado hujaadmitiwa unaweza kuhama. Pia mnatakiwa kuijua kwamba hivi vyuo vya private ni ela yako tu hawawezi kukucha sababu wanataka pia kuongeza kipato...
 
Sasa hapo iko hvi,kwanza kama unataka kubadili chuo unaomba nafasi ambayo unahitaj kwenye chuo husika,wakisha kukubalia ndo unakuja kwenye chuo ambacho upo kutoa taarifa kuwa unahama chuo.

lakin pia kuna suala la MKOPO sasa kama umepangia chuo inamaana na mkopo wako utaelekezwa kwenye chuo ulicho pangiwa mwanzo.sasa hapo ndo kuna swala gumu la kwenda bodi ya mkopo kufuatilia kuhamisha mkopo huo kutoka chuo cha mwanzo na kwenda chuo ambacho umeomba.:bolt:
 
Wakuu Mnapotoa Uzi Ni Bora Kua Na Uhakika Nao Kwanza Kabla Ya Uweka Kwa Hadhira.. Huo Utaratibu Wote Mnao Uzungumzia Ni Wa Zamani.Sasa Hv Kuna Maboresho,transfer Zote Ztafanyika Online Kupitia Account Za Wadahiliwa Ambapo Utapaswa Kulipia 30000/= Then Tcu Wenyewe Ndo Watai Direct Transfer Yako Katka Chuo Unachotaka Kuhamia.Siyo Kama Zaman Ambapo Ilimbidi Mtu Atafute Nafasi Ktk Chuo Anachotaka Kuhamia Then Apewe Barua Ya Uthibitisho Kisha Kuipeleka Katka Chuo Alichopangiwa Then Kwenda Tcu Kwa Makamilisho Zaidi.Kwa Wale Wa 1st Round Kipengele Cha Transfer Tayar Kmeshawekwa Kwenye Account Zao Lakin Bado Hakijaanza Kufanza Kaz(blocked) Hadi Pale Udahili Utakapoisha Ndpo Ktaanza Kufanya Kazi Kwa Watu Wa Round Zote...So Ni Bora Kusubiri Muda Ukifika Tcu Itatujuza..Kwa Maelezo Zaidi Nenda Kwenye Profil Yako Then Angalia Contacts Zilizopo Pale Uchukue Namba Ya Mtandao Wa Airtel Coz Nyngne Zote Hazipakan.Then Umuulize Kwa Ustaarabu Huyo Mama Atakae Pokea.kama Atapokea Atakwambia Hvo Pia Na Maelekezo Mengne...
 
Transfer haifanyiki kiholela hivyo. Ingekuwa hivyo basi ni sawa na TCU kufungua pandora box ambayo hawataweza kuifunga. Utaratibu miaka yote upo hivi. Kama UDSM program ya Archeology inahtajh 200 na waliochaguliwa mwanzo wapo wanafunzi 150, manayake kwa watakaotaka transfer itakuwa ni kwa 50 wanafunzi. Where therez available slots then transfer is inevitable. Pia suala la tranfer if not proved by TCU kama una mkopo ndio usahau mkopo.
 
Transfer haifanyiki kiholela hivyo. Ingekuwa hivyo basi ni sawa na TCU kufungua pandora box ambayo hawataweza kuifunga. Utaratibu miaka yote upo hivi. Kama UDSM program ya Archeology inahtajh 200 na waliochaguliwa mwanzo wapo wanafunzi 150, manayake kwa watakaotaka transfer itakuwa ni kwa 50 wanafunzi. Where therez available slots then transfer is inevitable. Pia suala la tranfer if not proved by TCU kama una mkopo ndio usahau mkopo.

That's Why Wamesema Kuwa Transfer Ztakua Ni "first Come In First Served" Meaning That Ztafanyika Kulingana Na Available Slots So Anayewahi Kabla Ya Remaining Capacity Kuishia Na Pia Ana Vgezo Ndo Atakayepata
 
woga wangu ni mkopo kwa kwel sijui itakuwaje na nataka kuhama

Nimewasaidia wengi kufanya transfer..Ila kama una mkopo inasumbua sana kuja kuupata. Mwaka jana vijana 2 nliwafanyia transfer wapo Mwenge Catholic University ila mkopo wamekuja kupata Semista ya pili boom la pili. Kwa maana hyo walihenya sana na iliwalazmu hata kuchelewa kuripoti chuo. wakat huo kila kitu kilikuwa juu yao kuhusu gharama. Kwa aliewah fika ofis ya Bodi ya mikopo anajua usumbufu unaokuwaga pale.. na route za Bodi kwako hazitaisha. Kumbuken TCU GUIDEBOOK imetoa angalizo kwa wanaohama chuo.
 
Nimewasaidia wengi kufanya transfer..Ila kama una mkopo inasumbua sana kuja kuupata. Mwaka jana vijana 2 nliwafanyia transfer wapo Mwenge Catholic University ila mkopo wamekuja kupata Semista ya pili boom la pili. Kwa maana hyo walihenya sana na iliwalazmu hata kuchelewa kuripoti chuo. wakat huo kila kitu kilikuwa juu yao kuhusu gharama. Kwa aliewah fika ofis ya Bodi ya mikopo anajua usumbufu unaokuwaga pale.. na route za Bodi kwako hazitaisha. Kumbuken TCU GUIDEBOOK imetoa angalizo kwa wanaohama chuo.

Tcu Guidebook Imetoa Angalizo Gan Kwa Wanaohama?..Emb Liseme Hlo Angalizo
 
Natumai mu-wazima kabisa.
Haya, kama wanavyosema watu kuwa "JASIRI
HAACHI ASILI" kwa hiyo si vibaya tukiendelea
kuangalia vile vitu ambavyo vinapatikana katika
ASILI YETU YA KIAFRIKA na kutokukubali kuwa
WATUMWA kwa sababu tu "MSAHAU/MKATAA
KWAO NI MTUMWA" sasa basi tusiwe
WATUMWA kwa kukataa vya kwetu na
kudumisha MILA ZA WENZETU na ndio maana
wenzetu wamekuwa wakiendelea kwa sababu tu
wamekuwa wakidumisha MILA zao vile
inavyotakikana kuliko kutukuza MILA ZA
WENZAO.
Sasa leo kuna hii dawa ambayo inajulikana
kama MVWAZA au AZMAH, inaweza ikawa
umeshawahi kuiskia labda, au kuambiwa
pengine au hata kuitumia pia, labda inaweza
ikawa inajulikana kwa jina jingine kwenye kabila
lenu yawezekana lakini kwa mimi naifaham
ikijulikana kwa jina la MVWAZA au AZMAH.
Dawa hii inatumika kunako mambo kadha wa
kadha kama nilivyokwisha dokeza kunako
kichwa cha habari hapo juu kuwa, inatumika
kuleta mvuto kwa mtu, kama ulikuwa ni mtu wa
kuchukiwa na watu ama kutokupendwa tu bila
sababu yoyote basi watu wakatokea
kukuchukia, dawa hii kazi yake ni kukuongezea
mvuto kwa kiasi kikubwa mno.
Wataalam wanashauri unapokuwa na dawa hii
inatakiwa kuwa makini sana hasa na jinsia
tofauti kwa sababu unapoinuia basi yenyewe
hufanya kazi kama vile ambavyo umeinuia, hasa
kwenye suala la mvuto kwa mwanamke
utakuwa ni mwenye mvuto mno kwa jinsia ya
kiume na pia kwa mwanaume huamsha sana
hisia za mvuto kwa jinsia ya kike na vinginevyo.
Dawa hii kazi yake nyingine ni kupumbaza mtu
ambaye utamkusudia kwa lengo maalum,
mathalan ; Natumai mtakuwa mmeskia labda
mtu akitafutwa na polisi na utakuta polisi
anakufaham na mkapishana kabisa pasina
shaka yoyote bila ya kukukamata.
Au utakuwa umeskia labda mtu ana kesi
mahakamani, pengine ni kesi kubwa tu ambayo
kwenye mazingira ya kikawaida inakuwa ni
ngumu kuchomoka, lakini kwa dawa hii ni
jambo la ajabu sana ambalo utaweza
kushangaa na utaskia mtu mwenye kesi husika
akishinda kesi au akaachiwa huru kuonekana
kuwa hana hatia au akashinda kesi kwenye
mazingira ya kutatanisha kabisa.
Dawa hii pia inaweza kumpumbaza mtu akiwa
dukani au hata njiani na ukamuamuru mtu
husika afanye jambo fulani labda unaweza kuwa
umeskia kuwa mtu ameuziwa hata kipande cha
chupa akiambiwa kuwa ni ALMASI na asielewe
mpaka pale anapokuwa ameachana na huyo
aliyemuuzia ndipo anapokuja kugundua kuwa
alichouziwa si kitu ambacho alichokuwa
akikitarajia kuwa ndio hicho.
Yani unapoitumia inakuwa kama inampumbaza
au kumfunga mtu husika hata kwenye kuongea,
ni wewe tu ndiye unakuwa ukiskilizwa.
Wengine wamekuwa wakiitumia kuwapumbaza
watu kwa kutumia labda pesa bandia kwa
kumpa mtu wa dukani au pengine hata m-pesa
au tigo pesa then utakuta mtu anakuja
kugundua baadae kabisa kuwa alizopewa ni
pesa bandia, na anaweza akagundua ndio lakini
bila ya kujua ni nani aliyemkabidhi pesa hizo
feki.
Kwa kifupi ina mambo mengi sana na uwezo wa
ajabu kabisa. Hiyo ndiyo MVWAZA au AZMAH
wapo wengi wakiitumia dawa hii na pengine
waweza kuwa umeiskia au kuambiwa mahala,
au labda na jina linaweza kuwa ni tofauti ila
kazi zake zinaweza kuwa ni kama hii kwa
asilimia 100, sasa sjui kwa kwenu mtakuwa
mnaiitaje lakini kwa mimi naifaham ikijulikana
kwa jina la AZMAH.
Dawa hii inawafaa wanafunzi kwa sababu
itawarahisishia maisha ya chuoni mfano huna
hela na ada unadaiwa basi ukisema tu sina
wanakupa muda wa kutafuta. yaani jina lako
litatamba popote hakuna kudisco yaani full
kufaulu.
tumeanza ofa yetu itadumu mwezi mmoja,kwa
mawasiliano zaidi tutafute kwa namba
0718151415
 
Kuna binti anataka kuhama St Augustine ambayo aliiweka chaguo la tatu na kuhamia UDOM ambayo aliiweka cgaguo la kwanza
 
Natumai mu-wazima kabisa.
Haya, kama wanavyosema watu kuwa "JASIRI
HAACHI ASILI" kwa hiyo si vibaya tukiendelea
kuangalia vile vitu ambavyo vinapatikana katika
ASILI YETU YA KIAFRIKA na kutokukubali kuwa
WATUMWA kwa sababu tu "MSAHAU/MKATAA
KWAO NI MTUMWA" sasa basi tusiwe
WATUMWA kwa kukataa vya kwetu na
kudumisha MILA ZA WENZETU na ndio maana
wenzetu wamekuwa wakiendelea kwa sababu tu
wamekuwa wakidumisha MILA zao vile
inavyotakikana kuliko kutukuza MILA ZA
WENZAO.
Sasa leo kuna hii dawa ambayo inajulikana
kama MVWAZA au AZMAH, inaweza ikawa
umeshawahi kuiskia labda, au kuambiwa
pengine au hata kuitumia pia, labda inaweza
ikawa inajulikana kwa jina jingine kwenye kabila
lenu yawezekana lakini kwa mimi naifaham
ikijulikana kwa jina la MVWAZA au AZMAH.
Dawa hii inatumika kunako mambo kadha wa
kadha kama nilivyokwisha dokeza kunako
kichwa cha habari hapo juu kuwa, inatumika
kuleta mvuto kwa mtu, kama ulikuwa ni mtu wa
kuchukiwa na watu ama kutokupendwa tu bila
sababu yoyote basi watu wakatokea
kukuchukia, dawa hii kazi yake ni kukuongezea
mvuto kwa kiasi kikubwa mno.
Wataalam wanashauri unapokuwa na dawa hii
inatakiwa kuwa makini sana hasa na jinsia
tofauti kwa sababu unapoinuia basi yenyewe
hufanya kazi kama vile ambavyo umeinuia, hasa
kwenye suala la mvuto kwa mwanamke
utakuwa ni mwenye mvuto mno kwa jinsia ya
kiume na pia kwa mwanaume huamsha sana
hisia za mvuto kwa jinsia ya kike na vinginevyo.
Dawa hii kazi yake nyingine ni kupumbaza mtu
ambaye utamkusudia kwa lengo maalum,
mathalan ; Natumai mtakuwa mmeskia labda
mtu akitafutwa na polisi na utakuta polisi
anakufaham na mkapishana kabisa pasina
shaka yoyote bila ya kukukamata.
Au utakuwa umeskia labda mtu ana kesi
mahakamani, pengine ni kesi kubwa tu ambayo
kwenye mazingira ya kikawaida inakuwa ni
ngumu kuchomoka, lakini kwa dawa hii ni
jambo la ajabu sana ambalo utaweza
kushangaa na utaskia mtu mwenye kesi husika
akishinda kesi au akaachiwa huru kuonekana
kuwa hana hatia au akashinda kesi kwenye
mazingira ya kutatanisha kabisa.
Dawa hii pia inaweza kumpumbaza mtu akiwa
dukani au hata njiani na ukamuamuru mtu
husika afanye jambo fulani labda unaweza kuwa
umeskia kuwa mtu ameuziwa hata kipande cha
chupa akiambiwa kuwa ni ALMASI na asielewe
mpaka pale anapokuwa ameachana na huyo
aliyemuuzia ndipo anapokuja kugundua kuwa
alichouziwa si kitu ambacho alichokuwa
akikitarajia kuwa ndio hicho.
Yani unapoitumia inakuwa kama inampumbaza
au kumfunga mtu husika hata kwenye kuongea,
ni wewe tu ndiye unakuwa ukiskilizwa.
Wengine wamekuwa wakiitumia kuwapumbaza
watu kwa kutumia labda pesa bandia kwa
kumpa mtu wa dukani au pengine hata m-pesa
au tigo pesa then utakuta mtu anakuja
kugundua baadae kabisa kuwa alizopewa ni
pesa bandia, na anaweza akagundua ndio lakini
bila ya kujua ni nani aliyemkabidhi pesa hizo
feki.
Kwa kifupi ina mambo mengi sana na uwezo wa
ajabu kabisa. Hiyo ndiyo MVWAZA au AZMAH
wapo wengi wakiitumia dawa hii na pengine
waweza kuwa umeiskia au kuambiwa mahala,
au labda na jina linaweza kuwa ni tofauti ila
kazi zake zinaweza kuwa ni kama hii kwa
asilimia 100, sasa sjui kwa kwenu mtakuwa
mnaiitaje lakini kwa mimi naifaham ikijulikana
kwa jina la AZMAH.
Dawa hii inawafaa wanafunzi kwa sababu
itawarahisishia maisha ya chuoni mfano huna
hela na ada unadaiwa basi ukisema tu sina
wanakupa muda wa kutafuta. yaani jina lako
litatamba popote hakuna kudisco yaani full
kufaulu.
tumeanza ofa yetu itadumu mwezi mmoja,kwa
mawasiliano zaidi tutafute kwa namba
0718151415
Hiyo dawa kumbe haifanyi kazi mpaka hapo ishashindwa . Maana kama inafanya kazi na unaikubali usingeitangaza ingejitangaza yenyewe kulingana na uwezo wa kupumbaza watu wengi wangepumbazika na kuinunua na kwenda kupumbaza wengine ambao wangepumbaza wengine na kupumbaza wengine . Inawezekana imeshaanza nawewe kuku...******mbaza .Acha ku....****mbaza watu humu.
 
Back
Top Bottom