Jinsi ya kufuta na kuondoa Michirizi (Stretch Mark) kwenye ngozi

mkuu, kwanza nikupongeze kwa kumjal mkeo na kuona tatizo hili ni lenu wote.kuna mafuta yanaitwa bio-oil, yanakuwa na box nyeupe ina maandishi ya orange. ni nzuri pia kwa kulainisha ngozi na kuondoa stretch marks. lakini kama anavyosema pretty, usitegemee matokeo ya haraka sana. pia google cellulites uone kama utapata info za kuwasaidia. kila la kheri

Asante mkuu
 
Strech marks zinasababishwa na sababu mbali mbali ikiwemo kuongezeka uzito kwa kasi, kurithi, wakati wa ujauzito ingawa si kwa wote, matumizi ya cream kali n.k. Jaribu ku google kwa detail zaidi ili uzielewe, watu wengine husema huwa haziishi ila zinaweza kufifia.
 
Kuna palmels cream. Apate original ya usa. Pia kuna palmers oil. Hizo ni za uhakika. ukizikosa nitafute nitakuonesha zinakopatikana
 
Strech marks zinasababishwa na sababu mbali mbali ikiwemo kuongezeka uzito kwa kasi, kurithi, wakati wa ujauzito ingawa si kwa wote, matumizi ya cream kali n.k. Jaribu ku google kwa detail zaidi ili uzielewe, watu wengine husema huwa haziishi ila zinaweza kufifia.

Asante
 
Angalia sana mkeo asiwe victim wa kupaka mkorogo. Mkorogo una tabia ya kukuza sehemu zenye michirizi na kuzifanya kuwa kubwa. La sivyo atumie mafuta ya COCOA BUTTER PALMERS INATIBU. Nenda pale shoppers plaza duka la kuuza nguo za wajawazito wakupe hiiyo lotion.
 
Angalia sana mkeo asiwe victim wa kupaka mkorogo. Mkorogo una tabia ya kukuza sehemu zenye michirizi na kuzifanya kuwa kubwa. La sivyo atumie mafuta ya COCOA BUTTER PALMERS INATIBU. Nenda pale shoppers plaza duka la kuuza nguo za wajawazito wakupe hiiyo lotion.

Asante
 
Yaani nyie mnahangaika na cream za kuondoa hiyo mipasuko badala ya kumpeleka mke gym akapunguze unene? You are kidding guys. Hakuna cream inaweza kuwa effective katika hilo, zaidi kutafuta shamba kila jumamosi akashike jembe au kwenda Gym.

...........inategemea si wote wanaopata stretch marks ni wanene, mie mwembamba lakini nilizipata kipindi cha preg.
 
Mamndenyi are u sure? Maana hili ni tatizo la wengi. Na kwa akina mama hasa waliokwisha zaa

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom