LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,123
- 9,167
Wataalam kuna hii ki2 huwa najiuliza sana.
Ikiwa sim,modem zile ambazo huwa zina2mia line moja wataalam huwa wanaziflush (unlock/chakachua) na kuanza ku2mia line zote.
Swali langu je kwa receiver ambazo huwa zina2mia kadi haiwezekan kuchakachua nakuanza ku2mia kwa kadi nyingine?? Mfano kadi ya ting ukaitumia kwenye receiver ya dstv na kutazama chanel zitolewazo na ting??
Au haiwezekan kuflash/unlock/chakachua ukawa unai2mia kama receiver ya free km media com??
Kama itawezekana si inaweza ikapunguza garama ya kuwa na mareceiver mengi.
Na kama hayo yote hayawezekan ni kwanin hayawezekan?? Ni ki2 gani kinacho fanya yasiwezekane ikiwa kwenye simu na modem inawezekana!!!
.......Nawasilisha kwenu wataalam......
Ikiwa sim,modem zile ambazo huwa zina2mia line moja wataalam huwa wanaziflush (unlock/chakachua) na kuanza ku2mia line zote.
Swali langu je kwa receiver ambazo huwa zina2mia kadi haiwezekan kuchakachua nakuanza ku2mia kwa kadi nyingine?? Mfano kadi ya ting ukaitumia kwenye receiver ya dstv na kutazama chanel zitolewazo na ting??
Au haiwezekan kuflash/unlock/chakachua ukawa unai2mia kama receiver ya free km media com??
Kama itawezekana si inaweza ikapunguza garama ya kuwa na mareceiver mengi.
Na kama hayo yote hayawezekan ni kwanin hayawezekan?? Ni ki2 gani kinacho fanya yasiwezekane ikiwa kwenye simu na modem inawezekana!!!
.......Nawasilisha kwenu wataalam......