BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,162
Yapukioa unazaa muda wote?
Haina kuhofia hofia
Hata wakipata vodafasta poa tu
Yapukioa unazaa muda wote?
Ni nzuri hasa kwa wale ambao tarehe zao za hedhi hazibadilikibadiliki!Tumia njia ya kalenda ndio nzuri, iko hivi, akiingia period hesabu siku 5 ukianzia na ya siku ya kwanza kuona perid, katika siku hizi hamtakiwi kukutana sababu ya damu. Siku 5 zinazofuata ni salama, gegeda uwezavyo. Baada ya hizo 5 za kugegeda zinafuata siku nyingine 8, katika siku hizi hamtakiwi kugegedana kwani ni siku za hatari ambapo siku ya 14 tokea hedhi ianze yai hupevuka na likiguswa tuu na mbegu mimba!! Baada ya hizi siku 8 kuisha, unaweka shida chini mikono juu, unagegeda mpaka utakapoona hedhi.Baadae mzunguko unaanza kama hapo mwanzo. Pia awe makini kwani yai linapokaribia kupevuka kuelekea siku ya 14 mwanamke huwa katika heat na anakuwa na hamu sana ya kugegedwa. Fuatilia mchoro huu wa kalenda kwa msaada zaiView attachment 421362di.
Una maono ya mbalii....guess una macho matatu...Akikutegeshea maana yake atakudanganya kalenda yake na hapo si kosa lako atajioa mwenyewe maana haikuwa ridhaa yako! Lakin kama ww umeambiwa ni hatari days na ukazingatia "WITH-CASH" i.e withdraw hawezi kudaka na hautokuwa tayari kukubaliana na kumuoa kama una unauhakika kuwa ulimwagia maji ya nazi kwenye CHUCHU ZAKE AU KIFUAINI wakati dushee linatema lisasi za moto! Kumuoa binti kwa kigezo cha kukutegeshea mimba ni uzembe wa KUTONGOZA MPYA! (KWANZA KAKAIDI MAKUBALIANO, WA NIN SASA ATAKUSUMBUA HATA KTIK NDOA KWA UONGO WAKE HATA MAMBO MENGINE).
Mwanaume anayeweza hiyo namba 1 bado hajazaliwaWithdraw au kama utashindwa mkimaliza atumie dawa inaitwa Postinor-2 (p2)
DuuuhKila baada ya tendo, binti anywe maji ya baridi lita moja, hivyo kabla ya tendo hakikisha una lita moja ya maji bariidi, baada tu ya kumaliza tendo, binti aanze kunywa maji! Mimba utazisikia radioni, hii ni njia ambayo nilifundishwa na mtaalamu wa tiba asili, jaribu harafu utuletee mrejesho.
Not effective, utampotosha!KAMWE USITUMIE MADAWA NI MABAYA SANA,IPO NJIA MOJA TU YA KUZUIA MIMBA UNAPOTAKA KUPGA BAO UJITOE LIMWAGIKIE NJE HIYO NDIYO NJIA SAFI NA SALAMA
Anataka kwa matumizi ya kawaida ya binadamu sio kuoa.Dawa ni kumuoa tu
Hamtokuwa na hofu ya mimba wala haja ya condom
Ukizingatia mshapima
Hii njia ni hatari zaidi, labda upige bao moja na kumaliza game.Fanya withdrawal mkuu, ni njia ilio safe kuliko zote pia haina madhara ingawa itahitaji uwe na nidhamu ya hali ya juu na kumasta mzunguko wako vyema!
Je ukirudia tendo hata mara4 napo anywe lita4?
Jee.... Kama utalala nae usiku kucha!? Kila tendo lita mojaa ama mnapoona hamrudii tena ndio anywe?
Naomba ufafanuzi tafadhali.
unatakiwa ukojoe kila baada ya tendo mkuu ili uflashi mabaki ya shahawaHii njia ni hatari zaidi, labda upige bao moja na kumaliza game.
Ila kama unaendelea, kunakuwa na shahawa zimebakia kwenye njia ya uume, unapoendelea zile zinatoka na kwenda kurutubisha yai
Watu wanasahau kuna pre ejaculation pia.If you think withdrawal works, ask my five month pregnant girlfriend. In the end of the day mwanamke sio mtu wa kumuamini kabisa katika haya mambo... Ukienda peku anaweza akakutegeshea mimba bila ridhaa yako...
Hujamsaidia ndg. Kwani kwenye ndoa hakuhitajiki mimba gavana??umesikia kule ni mimba mwendo mdundo?? tuzingatie hoja. Kinachotakiwa njia za kumsaidia jamaa asimpe mimba mwenzi wake hovyoWatu wanasahau kuna pre ejaculation pia.
Halafu mkuu kasema akivaa kinga nguvu zinapungua, hii inatoa picha ya kuwa hayuko very active sexually hata asipotumia kinga. Kwa yeye kujaribu withdrawal inaweza kuwa shida, maana siyo zoezi rahisi kama siyo expert.
Njia bora ni kuepuka uasherati, angoje ndoa.
Akiwa kwenye ndoa nitamshauri kama mwana ndoa, nje ya ndoa ushauri pekee ni kuacha uasherati.Hujamsaidia ndg. Kwani kwenye ndoa hakuhitajiki mimba gavana??umesikia kule ni mimba mwendo mdundo?? tuzingatie hoja. Kinachotakiwa njia za kumsaidia jamaa asimpe mimba mwenzi wake hovyo
Asante mkuu, hyo p2 ni symbol ya kitu gani? Dozi ya dawa hyo inakuwaje?