Jinsi ya kuepuka mwanamke asipate ujauzito

Mkuu ulichoelezea ndo kilichomtokea demu wangu. Mpaka sasa haniamini anasema nilimwaga ndani wakati mi ni king wa withdraw. Najaribu kumuelezea haelewi aseee though miaka mingi huwa tunatumia njia hii na anakua safe.
Na offcourse yupo na papuchi ndogo sana hadi raha yaani.
Withdarwa inatesa sana nakumbuka enzi za Chuo daah nomaaa
 
saivi hutaki ujauzito. sasa fata ushauri wa humu umfundishe mwenzio siku mnataka sasa mtoto ndo hapatikani sijui mtafanyaje.
 
Kila baada ya tendo, binti anywe maji ya baridi lita moja, hivyo kabla ya tendo hakikisha una lita moja ya maji bariidi, baada tu ya kumaliza tendo, binti aanze kunywa maji! Mimba utazisikia radioni, hii ni njia ambayo nilifundishwa na mtaalamu wa tiba asili, jaribu harafu utuletee mrejesho.
Hahhahahah hapo kazi mzee
 
Yaani umwage utamu nje !! Atakavyokung'ang' ania wakati wa kuchomoa hutaamini. Jaribu uone
 
Ndugu wana JF Doctor amani na iwe kwenu, mimi ni kijina mwenye umri wa miaka 27, nina tatizo moja, nikitumia condom katika mambo yetu, jamaa angu anakuwa weak na kukosa hamu kabisa na kulala usiku kucha. Binti nimepima naye tupo safi ila sasa anaogopa kugegedwa hivo hivo kwa kuhofia kubeba ujauzito,
na mazingira yanakuwa yanatukutanisha akiwa siku za hatari, je,,, nikifanya nae bila kutumia kinga na akawa kwenye siku hatari, tutafanyaje ili fertilization istake place? Je kuna dawa ya kuzuia mimba isitungishwe tofauti na uzazi wa mpango?
Naombeni kusaidiwa, kwa alienielewa anisaidie tafadhali....!!
Kabla hamjafanya achukue kitambaa kilaini kitafaa kile cha bandeji achovye mafuta ya castrol oil hicho kitambaa kiwe kimezungushwa kama kgoroli na kiuzi cha kuning'inia ili kutoa kwa urahisi aingize kwa bibi nusu saa tu mpige show no mimba
 
Hz aina za uzazi wa mpango za kisayansi zinaleta changamoto sana. Kuna dada1 rafiki yangu alikua akipata shida kwa ndoa yake ana watoto3 akaamua kufunga kabisa uzazi weeee hua anaumwa mara kwa mara
 
Kabla hamjafanya achukue kitambaa kilaini kitafaa kile cha bandeji achovye mafuta ya castrol oil hicho kitambaa kiwe kimezungushwa kama kgoroli na kiuzi cha kuning'inia ili kutoa kwa urahisi aingize kwa bibi nusu saa tu mpige show no mimba
Hayo mafuta ya castrol oil yanapatikana wapi? Na yanapopatikana yanajulikana kwa jina gani hata nikiulizia niweze kupewa/kuyapata?
 
Ndugu wana JF Doctor amani na iwe kwenu, mimi ni kijina mwenye umri wa miaka 27, nina tatizo moja, nikitumia condom katika mambo yetu, jamaa angu anakuwa weak na kukosa hamu kabisa na kulala usiku kucha. Binti nimepima naye tupo safi ila sasa anaogopa kugegedwa hivo hivo kwa kuhofia kubeba ujauzito,
na mazingira yanakuwa yanatukutanisha akiwa siku za hatari, je,,, nikifanya nae bila kutumia kinga na akawa kwenye siku hatari, tutafanyaje ili fertilization istake place? Je kuna dawa ya kuzuia mimba isitungishwe tofauti na uzazi wa mpango?
Naombeni kusaidiwa, kwa alienielewa anisaidie tafadhali....!!
Njia rahisi sana ni kuchomoa unaposikia zinataka kuja. Kukojoa nje lakini kunataka moyo, maana ndo utamu unapoanzia ila ukizoea ni rahisi sana. baada ya tendo la kwanza ukitaka round ya pili kwanza nenda kakojoe mkojo ili usafishe mrija vinginevyo ukijifanya kuzikamua kuna baadhi zinabaki na ukifanya tu tayari ataondoka na mimba
 
Mkuu ulichoelezea ndo kilichomtokea demu wangu. Mpaka sasa haniamini anasema nilimwaga ndani wakati mi ni king wa withdraw. Najaribu kumuelezea haelewi aseee though miaka mingi huwa tunatumia njia hii na anakua safe.
Na offcourse yupo na papuchi ndogo sana hadi raha yaani.
Hahaaaa!!!! Pole sana mkuu,withdrawal inahitaj umakin sana!!!!! Ukinogewa tuuu inakula kwako unakua baba mtarajiwa bila kupenda
 
Je ukirudia tendo hata mara4 napo anywe lita4?
Jee.... Kama utalala nae usiku kucha!? Kila tendo lita mojaa ama mnapoona hamrudii tena ndio anywe?
Naomba ufafanuzi tafadhali.
Unarudia mara 4 ili kuprove nini? Huna kazi za kufanya??
 
Back
Top Bottom