Jinsi ya kudownload online video na music bila kutumia software yoyote ile

SHAROBALO

JF-Expert Member
Mar 17, 2011
771
349
Habari wakuu!!

Sijakosea kichwa cha TOPIC. ni kweli kabisa.

Si kila computer unayokaa tu anaazatu kuinstall masoftware...tena micomputer mingine hadi uwe Administrator ahaaa

hasa wengine mfano mdada fulani utasikia tumia ila usiniwekee mivirusi.....ahaa

halafu utakuta huwezi weka software na computer ina speed ya kufa mtu, inakuwaje sasa hapa. idm yenyewe hadi nianze kudownload duh!!

ok here is wat u should do..(nitatolea mfano Internet explorer)

HATUA:

1) fungua web yenye mziki au video husika.

2) Play wimbo au video unayo itaka,waweza angalia hadi mwisho..au uka pause na kuiacha iload hadi mwisho.

3) Tayari....umeshadownload hiyo kitu......

4) Jinsi ya kuipata sasa....

5) Bonyeza tools -->> Internet options

6) Sehemu ya browsing history Bonyeza setting -->Bonyeza view files(temporary files)

7)Utaona mafile mengi mengi....ya sort kwa size....yale yenye size kubwa basi ndio nyimbo au video ulizo kuwa unaziangalia

8) Ya copy na uyapaste sehemu nyingine kwanza ndio ujaribu kuyafungua. Rename mafile yako sababu hayatakuwa na majina kama kule kwenye web.

THE SECRET:

Kila unapoperuzi mtandao mafile yote yanahifaziwa kwenye Temporary forder. na unapotazama na kusikiliza video basi moja kwa moja inaenda kule. Pia kama unaona njia ndefu basi SEARCH kwenye computer yako for TEMPORARY FOLDER!!!

>>Usisahau kugonga THANKS kama umeikubali hii<<

CHEERS
 
Sijaikubali bado mpaka nitest zali. Nitajaribu kesho nione. Alafu unatakiwa u-play na program gani au hiyo haijalishi?
 
Hehe lizy mamaaa haijarishi player si inategemea naa mtandao husika. We bonyeza play tu; wimbo ukiisha nenda kwenye tempo folder kachukue copy yako, easy like charm!! kesho uje na majibu
Sijaikubali bado mpaka nitest zali. Nitajaribu kesho nione, alafu unatakiwa u-play na program gani au hiyo haijalishi?
 
Habari wakuu!!

Sijakosea kichwa cha TOPIC. ni kweli kabisa....

Si kila computer unayokaa tu anaazatu kuinstall masoftware, tena micomputer mingine hadi uwe Administrator ahaaa

hasa wengine mfano mdada fulani utasikia tumia ila usiniwekee mivirusi.....ahaa

halafu utakuta huwezi weka software na computer ina speed ya kufa mtu, inakuwaje sasa hapa. idm yenyewe hadi nianze kudownload duh!

ok here is wat u should do..(nitatolea mfano Internet explorer)

HATUA:

1) fungua web yenye mziki au video husika.

2) Play wimbo au video unayo itaka,waweza angalia hadi mwisho, au uka pause na kuiacha iload hadi mwisho.

3) Tayari....umeshadownload hiyo kitu......

4) Jinsi ya kuipata sasa....

5) Bonyeza tools -->> Internet options

6) Sehemu ya browsing history Bonyeza setting -->Bonyeza view files(temporary files)

7)Utaona mafile mengi mengi....ya sort kwa size....yale yenye size kubwa basi ndio nyimbo au video ulizo kuwa unaziangalia

8) Ya copy na uyapaste sehemu nyingine kwanza ndio ujaribu kuyafungua. Rename mafile yako sababu hayatakuwa na majina kama kule kwenye web.

THE SECRETY::

Kila unapoperuzi mtandao mafile yote yanahifaziwa kwenye Temporary forder. na unapotazama na kusikiliza video basi moja kwa moja inaenda kule. Pia kama unaona njia ndefu basi SEARCH kwenye computer yako for TEMPORARY FOLDER!!!

>>Usisahau kugonga THANKS kama umeikubali hii<<

CHEERS


Mkuu Sharobalo, kusema "bila software" ni jambo la kufunika kikombe ili mwanaharam apite...!! Kwani hardware bila software ni sawa na mwanadamu bila damu mwilini. Ni kitu mfu! Hata usipodownload software na kutumia hiyo browser, in this case, Internet Explorer (IE), bado utakuwa unatumia software, na hapa ni hiyo browser plus operating system ndivyo vimetumika. Hivyo usemi "bila software yoyote ile" ni makosa kwa maoni yangu.

Jambo jingine, ni vyema umetolea mfano kuwa browser inayotumika hapa ni IE. Maana kila browser ina tabia yake ya jinsi inavyo handle internet traffic. Maana location ya temporary folder au browser cache to be precise differ from one browser to another.

Lakini pia ni vyema kujua kwamba music ama video mtandaoni vinakuwa streamed down to your browser kwa kutumia protocol mbalimbali. And for the case of IE, I think only music/video streamed using HTTP protocol can be cached (stored in temp folder). Kuna protocols nyingine kama RTMPE, RTSP, RTMP, MMS na nyinginezo ambazo haziwi cashed jumla jumla kama HTTP wakati zina play video au muziki.

Steve Dii
 
Mkuu Sharobalo, kusema "bila software" ni jambo la kufunika kikombe ili mwanaharam apite...!! Kwani hardware bila software ni sawa na mwanadamu bila damu mwilini. Ni kitu mfu! Hata usipodownload software na kutumia hiyo browser, in this case, Internet Explorer (IE), bado utakuwa unatumia software, na hapa ni hiyo browser plus operating system ndivyo vimetumika. Hivyo usemi "bila software yoyote ile" ni makosa kwa maoni yangu.Jambo jingine, ni vyema umetolea mfano kuwa browser inayotumika hapa ni IE. Maana kila browser ina tabia yake ya jinsi inavyo handle internet traffic. Maana location ya temporary folder au browser cache to be precise differ from one browser to another.Lakini pia ni vyema kujua kwamba music ama video mtandaoni vinakuwa streamed down to your browser kwa kutumia protocol mbalimbali. And for the case of IE, I think only music/video streamed using HTTP protocol can be cached (stored in temp folder). Kuna protocols nyingine kama RTMPE, RTSP, RTMP, MMS na nyinginezo ambazo haziwi cashed jumla jumla kama HTTP wakati zina play video au muziki. Steve Dii
Basi abadilishe na kusema BILA ADDITIONAL software....asante kwa maelezo zaidi!
 
Hehe he..kazi kweli kweli. imbombo ingafu.. wakuu..

nadhani haina haja ya kubadilisha heading sababu utafikaje kwenye hiyo youtube au online video au music bila kuwa na browser?

je inahitaji uinstall hiyo browser wakati unaangalia youtube.....nadhani ni kiswahili kigumu tu sometime namlaumu nyerere bora tungeongea ki english. sababu nimegundua kuwa naongea broken swahili kuliko broken English.
 
Hata kwa wale wanao fungua Facebook

Fahamu kuwa picha zako zote ulizo zitazama wakati umefungua facebook. zote zote zipo kwenye hilo folder...
just wonder watu wanapataga vipi picha za celebrity wa bongo. Ni kuvizia tu alikaa computer gani kama ni internet cafe moja kwa moja unaingia na kuzichota zote. Au hata kama mtu akikupa Laptop yake basi moja kwa moja kwenye tempo folder utaona alichofanya akiwa online.


Ila kama ukitaka kuwa SAFE!!! usisahau ku clear history and temporary folder..... na Browser nyingi zina hii option.
 
Hehe he..kazi kweli kweli. imbombo ingafu.. wakuu..

nadhani haina haja ya kubadilisha heading sababu utafikaje kwenye hiyo youtube au online video au music bila kuwa na browser?....

je inahitaji uinstall hiyo browser wakati unaangalia youtube.....nadhani ni kiswahili kigumu tu

sometime namlaumu nyerere bora tungeongea ki english.

sababu nimegundua kuwa naongea broken swahili kuliko broken English.

Obfuscation!
 
Habari wakuu!!

Sijakosea kichwa cha TOPIC. ni kweli kabisa....

Si kila computer unayokaa tu anaazatu kuinstall masoftware...tena micomputer mingine hadi uwe Administrator ahaaa

hasa wengine mfano mdada fulani utasikia tumia ila usiniwekee mivirusi.....ahaa

halafu utakuta huwezi weka software na computer ina speed ya kufa mtu....inakuwaje sasa hapa. idm yenyewe hadi nianze kudownload duh!!

ok here is wat u should do..(nitatolea mfano Internet explorer)

HATUA:

1) fungua web yenye mziki au video husika.

2) Play wimbo au video unayo itaka,waweza angalia hadi mwisho..au uka pause na kuiacha iload hadi mwisho.

3) Tayari....umeshadownload hiyo kitu......

4) Jinsi ya kuipata sasa....

5) Bonyeza tools -->> Internet options

6) Sehemu ya browsing history Bonyeza setting -->Bonyeza view files(temporary files)

7)Utaona mafile mengi mengi....ya sort kwa size....yale yenye size kubwa basi ndio nyimbo au video ulizo kuwa unaziangalia

8) Ya copy na uyapaste sehemu nyingine kwanza ndio ujaribu kuyafungua. Rename mafile yako sababu hayatakuwa na majina kama kule kwenye web.

THE SECRETY::

Kila unapoperuzi mtandao mafile yote yanahifaziwa kwenye Temporary forder. na unapotazama na kusikiliza video basi moja kwa moja inaenda kule. Pia kama unaona njia ndefu basi SEARCH kwenye computer yako for TEMPORARY FOLDER!!!

>>Usisahau kugonga THANKS kama umeikubali hii<<

CHEERS

Hii ni nzuri sana, sasa na sisi tunaotumia Ubuntu with Mozilla Firefox tuende wapi ili tukaone hayo manyimbo na movies, ahsante.
 
mkuu....Download the Firefox cache viewer plug-in. It displays all the files in your cache, and gives you options to save them (pictures, video, etc.) to disk if you want.

au fungua

C:\Documents and Settings\[User Name]\Application Data\Mozilla\Firefox\Profiles\ and the rest should be obvious.

au search for firefox nenda profile na utafute cache folder.

ila mkuu kwa fire fox mh..inakuwa tabu kidogo but kama uliangalia hiyo media basi fahamu kuwa umesha idownload ipo kwenye cache folder japo haitakuwa na extension kama mp3 or flv etc...so itakubidi uangalie ipi kubwa au ina size kubwa kuliko lingine na ulipe extension name.



goodluck
 
Jaribu napster. ikiacha niambiee, zengine nshasahau. Used this trick [those days of porn, are they over?? mmm... ] before i got orbit grabber.
 
Toa uthibitisho au mfano wa hiyo web mkuu ambayo haitaacha cache..

Mkuu, hata uki log off tu JF, cache automatically inakuwa cleared!!!

Kama nilivyosema video au music ina tegemea sana na protocol inayotumika kuwa delivered kwa mtumiaji wa browser.

Hebu tumia ujanja wako mkuu ku-bypass regional filter ya hii site ya amazon kama hauko US, kisha ujaribishe trailer mojawapo ya video on demand:

Link hii hapa: Amazon.com: The Hangover: Bradley Cooper, Ed Helms, Zach Galifianakis, Heather Graham: Instant Video

Kama unaweza pia, jaribisha streams za BBC na SkySports za kule Uingereza kama zinakuwa pre-fetched na kuachwa kwenye cache/temp folder baada ya kumaliza ku-play...
 
.............

Usisahau kugonga THANKS kama umeikubali hii<<
Saharobaro

Article zako nyingi nzuri na zinajitosheleza huna haja ya kuomba thanks . sisi "wamakonde" tunasema tenda wema nenda zako. Kwa kimombo "Do the needful and go" teh teh teh teh

Mwishowe watu watakupa thanks za "kinafiki" Sababu unaziomba. Binafsi huwa sifagilii kuona article zako nzuri alfu unamalizia kwa kuomba hiyo kitu.

Cheers
 
Hehe he..kazi kweli kweli. imbombo ingafu.. wakuu..nadhani haina haja ya kubadilisha heading sababu utafikaje kwenye hiyo youtube au online video au music bila kuwa na browser?....je inahitaji uinstall hiyo browser wakati unaangalia youtube.....nadhani ni kiswahili kigumu tusometime namlaumu nyerere bora tungeongea ki english.sababu nimegundua kuwa naongea broken swahili kuliko broken English.
Hebu iandike kwa Kiingereza tuone kama itabadili maana.
 
Saharobaro article zako nyingi nzuri na zinajitosheleza huna haja ya kuomba thanks . sisi "wamakonde" tunasema tenda wema nenda zako. Kwa kimombo "Do the needful and go" teh teh teh teh Mwishowe watu watakupa thanks za "kinafiki" Sababu unaziomba. Binafsi huwa sifagilii kuona article zako nzuri alfu unamalizia kwa kuomba hiyo kitu Cheers
Kama nilivyokupa wewe bila mwenyewe kuomba.
 
Back
Top Bottom