Jinsi ya kuchora ramani za umeme.

tizo1

JF-Expert Member
Mar 9, 2011
856
145
Jamani wataalamu naombeni msaada wa hali na mali.Nahitaji mtu wa kunifundisha kuchora ramani za umeme wa majumbani.Kanuni zake ni zipi?Msaada jamani.Nipo safi katika vitendo ila nadharia inanisumbua kidogo.
 
saa vitendo si ndio vinafanya kitu kionekane? wewe kama unataka theories just google....
 
Kuna vitabu on line na hata through autocad manscript utaweza kusoma. Ila technical background matters a lot to get the drawings right
 
Jamani wataalamu naombeni msaada wa hali na mali.Nahitaji mtu wa kunifundisha kuchora ramani za umeme wa majumbani.Kanuni zake ni zipi?Msaada jamani.Nipo safi katika vitendo ila nadharia inanisumbua kidogo.

Dah, Mkuu hapa umetuacha kidogo maana sijaelewa ni ramani kuchora kwa umeme au michoro ya ramani ya umeme ktk nyumba, hebu tusaidiane ili tuelewe.
 
Yapo mambo ya msingi inabidi uyafahamu kabla ya kuwa na uwezo wa kuchora na kusoma ramani za umeme.:

1 voltage

2 current

3 resistance

4 uhusiano kati ya voltage na current (ohms law)

5 parallel na series circuits.

Soma kitabu cha fizikia form 2 na kuendelea hasa electric circuits.Baada hapo itabidi usome kitabu cha building services hasa electric fittings.
 
Asanten jaman.Kila nikifanya wiring nashindwa kuhamishia kaz kwenye kasatas katika mfumo wa ramani.
 
AoutoCAD 2011 ina kila kitu, sasa wewe wiring unafanyaje bila mchoro, mchoro ndio lugha ya kihandisi/kifundi. Symbol za switch, diode, resistance, current, utapata kila kitu.
 
AoutoCAD 2011 ina kila kitu, sasa wewe wiring unafanyaje bila mchoro, mchoro ndio lugha ya kihandisi/kifundi. Symbol za switch, diode, resistance, current, utapata kila kitu.

dah ndugu yangu.huku uswazi tunapiga kazi kienyeji.ndo mana nimeamua kujiongeza ili niwe next level..,
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom