Habari,
Kuna server yenye OS ya 2008 ambayo haipo online nataka kuiwasha na kuaccess files zake. bahati mbaya password imesahaulika. inaniambia nitumie backup tool bahati mbaya sina hiyo software, kama kuna mtu ana namna nyingine nyepesi tafadhari aokoe jahazi.
Nawasilisha.
Kuna server yenye OS ya 2008 ambayo haipo online nataka kuiwasha na kuaccess files zake. bahati mbaya password imesahaulika. inaniambia nitumie backup tool bahati mbaya sina hiyo software, kama kuna mtu ana namna nyingine nyepesi tafadhari aokoe jahazi.
Nawasilisha.