idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,312
ngoja nikusaidie kuandike hiyo barua ya posa.
ni mimi..................................nimekuja kumposa binti yenu.........................toka nilipomuona kwa mara ya kwanza binti yenu mapigo ya moyo yalienda mbio,nikawa kula sili,kulala silali,nikinywa maji namuona kwenye glass,nilichompendea binti yenu adi nikaona nilete posa,ni ayo mahaga yake hips,ana hips za ukweli bila kusahau inyegwede,tukija kwenye macho yake akiniangalia ni kama ananiita,yani kutoleta posa kwenu ingekuwa ni jambo ambalo ningejutia sana.
pia chuchu zake ni saa 6 kwa kweli nikaona nilete posa leo,infact mkiniruhusu nimuoe binti yenu mtaenjoy sana,mtakula bata,nampango fungate pia niwashirikishe na nyie wazazi twende sote,mtafurahi sana yani msipoteze hii bahati ivo mniruhusu ni muoe bint yenu.
nina sababu kubwa ya kuwaambia mniruhusu nimuoe binti yenu,mimi niko na pesa sana mtaenjoy for da rest of ur life,
ni wako mme mtarajiwa wa binti yenu mashalah.................
weka sahihi.......................
tarehe.........................
huu ni mtazamo wangu wakuu nimemsaidia ili apewe mke na posa ikubaliwe,mia
Hii post Nimecheka hadi machozi, mkuu Asante kwa kunivunja mbavu.!!!!