Jinsi ya kuandaa milk shake

ameline

JF-Expert Member
Jan 8, 2013
2,292
1,149
Ndugu zangu naomba mnisaidie jinsi ya kuandaa/kutengeneza milk shake,.naishia kunywa tu mahotelini, naipenda ila kuiandaa ndo sijui.Ahsanteni
 
Mie.hutengeneza yangu locally. Naweka icecream kwenye jumbo glass kama nusu, naweka maziwa robo. I have a beater ambayo ni ya kupress tu (nadhani egg beater inaweza kufanya pia). In a minute, violaaaa!
Ama unaweza kutumia shaker kama unayo kubwa. Muhimu maziwa yawe nusu ya icecream. Unaweza tia flavour kiasi kama unapenda chocolate.
 
pole mamii!]ni rahisi
mahitaji ni
maziwa(inategemea na idadi ya watu @ glass )
ice blocks kiasi
juice ya chungwa ,embe,nanasi,tofaa,papai (inategemea na flavor unayotaka)
vanilla essence (sio lazima)

then
andaa juice
weka maziwa kwenye glass
weka barafu
thn weka juice kwenye maziwa yenye barafu
unaweza kuweka sukari ukipenda sio lazima
koroga thn ni tayar kwa kunywa!
(well mi sijaiandaa kitaalamu kihhiivyo like ile vipimo sijui nini inawezekana mwingine anajua na vipimo so ongezeamo ujuzi humo!)
 
Mie.hutengeneza yangu locally. Naweka icecream kwenye jumbo glass kama nusu, naweka maziwa robo. I have a beater ambayo ni ya kupress tu (nadhani egg beater inaweza kufanya pia). In a minute, violaaaa!
Ama unaweza kutumia shaker kama unayo kubwa. Muhimu maziwa yawe nusu ya icecream. Unaweza tia flavour kiasi kama unapenda chocolate.

asante, hayo maziwa ni yoghurt au fresh ndugu yangu? au yeyote tu?
 
pole mamii!]ni rahisi
mahitaji ni
maziwa(inategemea na idadi ya watu @ glass )
ice blocks kiasi
juice ya chungwa ,embe,nanasi,tofaa,papai (inategemea na flavor unayotaka)
vanilla essence (sio lazima)

then
andaa juice
weka maziwa kwenye glass
weka barafu
thn weka juice kwenye maziwa yenye barafu
unaweza kuweka sukari ukipenda sio lazima
koroga thn ni tayar kwa kunywa!
(well mi sijaiandaa kitaalamu kihhiivyo like ile vipimo sijui nini inawezekana mwingine anajua na vipimo so ongezeamo ujuzi humo!)

asante, nashukuru wala hivyo vipimo usijali, mi nataka tu kujua formula ila nauliza kidogo,.hayo maziwa ni aina gani? mgando au fresh?
 
asante, nashukuru wala hivyo vipimo usijali, mi nataka tu kujua formula ila nauliza kidogo,.hayo maziwa ni aina gani? mgando au fresh?

fresh ,mpenzi!
kumbuka kuweka ice blocks kwanza kabla ya kuweka juice!ili maziwa yasikatike!
mi huwa naweka katangawizi kwenye juice siku moja moja kubadilisha ladha!
 
fresh ,mpenzi!
kumbuka kuweka ice blocks kwanza kabla ya kuweka juice!ili maziwa yasikatike!
mi huwa naweka katangawizi kwenye juice siku moja moja kubadilisha ladha!

oooh thanks much dearest
 
pole mamii!]ni rahisi
mahitaji ni
maziwa(inategemea na idadi ya watu @ glass )
ice blocks kiasi
juice ya chungwa ,embe,nanasi,tofaa,papai (inategemea na flavor unayotaka)
vanilla essence (sio lazima)

then
andaa juice
weka maziwa kwenye glass
weka barafu
thn weka juice kwenye maziwa yenye barafu
unaweza kuweka sukari ukipenda sio lazima
koroga thn ni tayar kwa kunywa!
(well mi sijaiandaa kitaalamu kihhiivyo like ile vipimo sijui nini inawezekana mwingine anajua na vipimo so ongezeamo ujuzi humo!)

thanks for lesson hasa home made inafaa kweli stay blessed mkuu..

Je mtindi haufai au unafaa kutengenezea help plz..
 
thanks for lesson hasa home made inafaa kweli stay blessed mkuu..

Je mtindi haufai au unafaa kutengenezea help plz..

yaah hiyo ipo kihome made home made!hata wewe unaweza tu kuanadaa mwenyewe!
maziwa mtindi kwa kweli sijawahi kutengenezea!lakin sihdani kaam yanafaa kwa kukwa hiyo juice yenyewe ukishaweka maziwa yanakuwa na ladha ya mtindi flan!
so jus use maziwa fresh!
 
wewe umesema hua unakunywa hotelini ina maana hujui taste ya maziwa kam ni mtindi au fresh?

jamani kuna wengine wanatia ladha tofaut tofaut kama strawberry vanila n.k na kuna ndugu yangu ameniambia hadi icecream anaweka, so kwangu huwa nakunywa zenye ladha tofauti na zina uzito kias so mm sikujua kama ni mtindi au fresh? coz hata mtindi nao kuna mwepes na mzito, wenye ladha ya uchachu na ambao hauna uchachu ,.so ni haki yangu kulijua hili.. usipende kucomplain sana mambo bwana
 
Mh!! hapo sasa ,kwa kina sie jaribujaribu,mie nimewahi kuandaa ya kwangu siku moja baada ya kukaa na kujiwa na wazo hilo,ila sasa mie yangu sijui kama inafaa kuwa milk shake au ni something else ila ni palatable as well.
Ingredients zangu zilikuwa ni kama vile ifuatavyo;
1. Maziwa fresh kama lita 1
2. Vanilla essense
3. Papai nusu
4. parachichi a.k.a avocado
5. ndizi kama ukipenda
Procedures
1. andaa papai,parachichi na ndizi zako vizuri lako vizuri ie osha na menya na pia katakata katika vipande vidogo vidogo
2. weka hayo matunda yako kwenye blender na yasage huku ukiweka maziwa yako taratibuu kwa kadiri utakavyo.
3. weka sukari kama unapenda nayo ni tamu tu
4. weka hiyo vanilla essence katika huo mchanganyiko then blend tena ili iweze ku-penetrate ila pia usisahau ice-blocks as mie niliweka just for fun ila kuna member kasema ya kuwa hizo ice-blocks zasaidia maziwa yasikatike. However am subjected to any challenge.
 
Mh!! hapo sasa ,kwa kina sie jaribujaribu,mie nimewahi kuandaa ya kwangu siku moja baada ya kukaa na kujiwa na wazo hilo,ila sasa mie yangu sijui kama inafaa kuwa milk shake au ni something else ila ni palatable as well.
Ingredients zangu zilikuwa ni kama vile ifuatavyo;
1. Maziwa fresh kama lita 1
2. Vanilla essense
3. Papai nusu
4. parachichi a.k.a avocado
5. ndizi kama ukipenda
Procedures
1. andaa papai,parachichi na ndizi zako vizuri lako vizuri ie osha na menya na pia katakata katika vipande vidogo vidogo
2. weka hayo matunda yako kwenye blender na yasage huku ukiweka maziwa yako taratibuu kwa kadiri utakavyo.
3. weka sukari kama unapenda nayo ni tamu tu
4. weka hiyo vanilla essence katika huo mchanganyiko then blend tena ili iweze ku-penetrate ila pia usisahau ice-blocks as mie niliweka just for fun ila kuna member kasema ya kuwa hizo ice-blocks zasaidia maziwa yasikatike. However am subjected to any challenge.

Thanks, naona zile ndizi ndogo ndogo (visukari) ndo nzuri zaidi, hope upo palepale ndo yenyewe bwana...kama sijakosea
 
[h=2]Vanilla Milkshake[/h]
Posted on December 2, 2012 by IceCreamTruck • 0 Comments
Welcome to Make a Milkshake!
A classic vanilla milkshake is one of America’s beloved beverages. Sweet hearts and friends drink it at the diner. Your parents made it for you when you were little. You may have made it for yourself in the past. But what makes the perfect milkshake? The first and most important ingredient is love; anything made with love turns out sweeter all the time. So roll up yourselves and get ready to make this delicious treat!
The ingredients for vanilla milkshakes are standard in most recipes. You can adjust quantities and the quality of each ingredient to make a shake that’s best for you. Starting out with a premium vanilla ice cream is best. You will have the option to go with imitation vanilla extract which is usually a few dollars cheaper. The type of milk can be adjusted depending on your dietary preference.
A creamy delicious milkshake is a tasty treat and easy for anyone to make. The below recipe will yield about one large serving if you are using a large milkshake glass or two servings if you have smaller glasses. Here are the ingredients and supplies you’ll need.
Make a Milkshake Supplies:

  • Blender
  • Glass
  • Ice cream scoop or spoon
  • Milkshake straws (for thicker shakes)
Make a Milkshake Ingredients:

  • Premium vanilla ice cream
  • Milk
  • Pure vanilla extract
  • Sugar
  • Whipped cream
Make a Milkshake Steps:

  1. Place 3-4 scoops of vanilla ice cream into a blender.
  2. Add 1 cup of milk. Whole milk will produce thicker milkshakes.
  3. Add 1 tbsp. of vanilla extract.
  4. Add 1-2 tsp of sugar.
  5. Blend until desired consistency is reached.
  6. Taste your milkshake and adjust ingredients to reach your desired taste.
  7. Poor into a glass and top with whip cream, cherry or anything else that makes you happy and enjoy!
Make a Milkshake Notes:

  • For thicker milkshakes add more ice cream and less milk.
  • For sweeter milkshakes add more sugar.
  • Take the ice cream out and let stand a few minutes so it’s not as hard.
  • Heat the ice cream scoop or spoon under hot water so it scoops through the ice cream easier.
  • Make sure the lid is closed tightly before you turn the blender on. This will avoid a potential milkshake mess!
Make a Milkshake Photos:









Filed Under: Vanilla Milkshake
nadhani itakusaidia kupata idea, jaribu kuckiwa you tube video zinafundisha vizuri sana kila taste unayoiphenda
 
lachicaguapa,, asantee. Mie huwa situmii blende manake najisahau yanakatika.
ameline, maziwa ni.fresh. Mie.mpenzi wa milkshake.ya vanilla.so nanunua vanilla icecream kuepuka kuanza kuweka flava zingine.


Maziwa mtindi huwa naweka kwa shaker na vanilla kiduchu, then naweka kwa freezear dk 10. Inakuwa nzito na kunisaidia kushusha mhemko.wa milkshake
 
Last edited by a moderator:
Unaweza pia kutengeza matunda na yoghurt, ukaweka sukari au asali kidogo ( au usiweke kabisa) ni nzuri sana! Ila sijui kama inaitwa shake.
 
pole mamii!]ni rahisi
mahitaji ni
maziwa(inategemea na idadi ya watu @ glass )
ice blocks kiasi
juice ya chungwa ,embe,nanasi,tofaa,papai (inategemea na flavor unayotaka)
vanilla essence (sio lazima)

then
andaa juice
weka maziwa kwenye glass
weka barafu
thn weka juice kwenye maziwa yenye barafu
unaweza kuweka sukari ukipenda sio lazima
koroga thn ni tayar kwa kunywa!
(well mi sijaiandaa kitaalamu kihhiivyo like ile vipimo sijui nini inawezekana mwingine anajua na vipimo so ongezeamo ujuzi humo!)


Mama snow, ahsante. Nimejifunza, but more precisely - umenifunza
 
Back
Top Bottom