The_Emperor
JF-Expert Member
- Mar 23, 2012
- 871
- 125
Msaada tafadhali jinsi ya ku-unscramble channels!Ni kwenye strong receiver!Natarajia mautundu kutoka kwenu wadau wa tech.
Msaada tafadhali jinsi ya ku-unscramble channels!Ni kwenye strong receiver!Natarajia mautundu kutoka kwenu wadau wa tech.
kunanjia mpya na inafanya kazi bado naifatilia kusoma soma. unapata channel zote za MULTCHOICE freeee plus others inacost kama laki 7. kama upo serious nikuelekeze. au kama unapenda kusoma soma kama mimi basi search google kitu yaitwa dream box receiver..ebay ni dolla 420 au lah...then kuna step za kuiflash na kuinstall vifile fulani hivi..tene unatumia dish la kawaida tu ila inabidi uwe na router na internet access ni simple ila bado tunaifanyia testing na watu wengi wanatumia. ngoja nimalize udadisi ikiwapoa nita tengeneza maelekezo na ikiwezekana nita nunua box hizo na kuziuza kwa bei poa kwa watakao shindwa kununua moja kwa moja so wait wait mkuu
kunanjia mpya na inafanya kazi bado naifatilia kusoma soma. unapata channel zote za MULTCHOICE freeee plus others inacost kama laki 7. kama upo serious nikuelekeze. au kama unapenda kusoma soma kama mimi basi search google kitu yaitwa dream box receiver..ebay ni dolla 420 au lah...then kuna step za kuiflash na kuinstall vifile fulani hivi..tene unatumia dish la kawaida tu ila inabidi uwe na router na internet access ni simple ila bado tunaifanyia testing na watu wengi wanatumia. ngoja nimalize udadisi ikiwapoa nita tengeneza maelekezo na ikiwezekana nita nunua box hizo na kuziuza kwa bei poa kwa watakao shindwa kununua moja kwa moja so wait wait mkuu
nshasoma on how to access free internet, even baadhi ya receiver za strong zinakubali as lng as zina port ya internet.. Na 4rm wat i read they r the cheapest
kunanjia mpya na inafanya kazi bado naifatilia kusoma soma. unapata channel zote za MULTCHOICE freeee plus others inacost kama laki 7. kama upo serious nikuelekeze. au kama unapenda kusoma soma kama mimi basi search google kitu yaitwa dream box receiver..ebay ni dolla 420 au lah...then kuna step za kuiflash na kuinstall vifile fulani hivi..tene unatumia dish la kawaida tu ila inabidi uwe na router na internet access ni simple ila bado tunaifanyia testing na watu wengi wanatumia. ngoja nimalize udadisi ikiwapoa nita tengeneza maelekezo na ikiwezekana nita nunua box hizo na kuziuza kwa bei poa kwa watakao shindwa kununua moja kwa moja so wait wait mkuu
Umefufukia wapi wewe??? hujaonekana couple of days
TVM2 ya msumbiji mbona inaonekana siku zote hebu jaribu ku re scan ATN ndio haipo kabisa.
kwa mtu ambaye yuko mbeya afu anahtaji kuna jamaa anasukuma Openbox mpya kwa 350,000
Hii kitu nasikia murua sana
yeah! Iko poa sana 2 kaka, jipige pige ununue.. It z almst 480,000 kwa kununua moja moja, kusave cost mtafute anaye agiza nyingi. Full super spot, mnet, chanel 0 , Mtv and alot more.