Jinsi ya ku- unlock modem mpya za TIGO- (zilizoshindikana)

ni vizuri ukaweka na link yke wakuu wapate kuifurahia!! maana wameshindwa tumia njia ya kawaida.
Wakuu mimi natumia dashbd ya globe broad band,ina hiyo call feuture..google globe broad band utaipata.
 
jamani kama kuna mtu ameweza ku-update firmware ya modem fulani bila ya kui-uwa modem husika basi atuwekee link ya firmware na jina la modem husiku. hii itawasaidia wale wenye kulazimika ku-update firmware zao. maana unajua sometimez unachukuwa firmware ambayo haijatestiwa weye ndio unakuwa tester matokeo yake haikubali na mara modem ina -dead.

kama hiyo firmware ilotajwa hapo juu na bwana sharobalo vipi, kuna mutu ameijaribu? na jeee imekubali?
 
Mkuu kubadili CDMA kuwa GSM nadhani haiwezekani mkuu!! sababu ya hardware issues!! kama kunamtu ataweza hili atakuwa wa kwanza ila sijui. CDMA ni poa sna mfano sasatel speed ipo poa sana
wakuu naomba niombe ushauri kidogo, kwa tanzania hii ni modem gani (shirika lake na model yake) nitakayoweza kubadili laini zote za CDMA kwa mfano zantel , ttcl na sasatel.?
hizi za HSDPA tayari ninayo ya tigo E153 ambayo inakubali laini za airtel, vodacom na tigo yenyewe.
pia naomba kujua kwa sasa bei za modem za CDMA zinazotumia line ni bei gani pamoja na company husika.?
 
Mkuu kubadili CDMA kuwa GSM nadhani haiwezekani mkuu!! sababu ya hardware issues!! kama kunamtu ataweza hili atakuwa wa kwanza ila sijui. CDMA ni poa sna mfano sasatel speed ipo poa sana
Kwa Bongo haina upoa wowote sababu coverage yao ni ndogo sana. Pia their higest speed ni normal tu yani 3.mbps kama wengine so hakuna jipya. GSM zinabamba sana coz kikubwa ni coverage.
 
[h=6]modem yangu kwa sasa haiwezi kua full unlocked kwa maaana ndio haswa inaoka kiwandani december 20 2010 ommaamaaa current firmwire

Detecting card :

selection :
manufacturer - Huawei modems
model - Auto detect (recommended)

Found modem : E153
Model : Huawei E153
IMEI : 357289XXXXXXXXX
Serial NR. : BAA5TA1140112267
Firmware : 11.609.18.00.846
Compile date / time : Dec 20 2010 16:57:50
Dashboard version : UTPS21.003.28.05.846_MAC21.003
.28.02.846_LNX21.003.28.01.846
Chipset : Qualcomm MSM6246
NAND Flash : hynix_128M_32M
Voice feature : disabled
SIM Lock status : Locked (customized firmware)
Wrong codes entered : 0 (unlock attempts left : 10)

sorry, this modem not supported !
[/h]
 
ninauwezo wa ku-unlock full.
pm me
Mkuu mbona mwanzo ulianza vyema nakusaidia watu kwa moyo wote bila kutoza ata centi. Mbona sasa umekuja na gia hii kulkoni mbona usamaria wako cuoni tena, apa ni jf tunasaidiana kwa mawazo na maujanja sasa why hautak kushare hadharani?
 
KAMA MNAHITAJI KUUNLOCK MODEM AMBAZO ZIKO CUSTOMIZED FIRMWARE INAWEZEKANA LAKINI KUZIUNLOCK INAHITAJI UNUNUE Mkey Dongle DEVICE NDOGO KAMA USB FLASH AMBAYO KAZI YAKE NI KUFUNGU HIZI MODEM HADI AMBAZO ZIMESHINDIKANA
 
KAMA MNAHITAJI KUUNLOCK MODEM AMBAZO ZIKO CUSTOMIZED FIRMWARE INAWEZEKANA LAKINI KUZIUNLOCK INAHITAJI UNUNUE Mkey Dongle DEVICE NDOGO KAMA USB FLASH AMBAYO KAZI YAKE NI KUFUNGU HIZI MODEM HADI AMBAZO ZIMESHINDIKANA
ndio nimekusoma mkuu. ila zinapatikana wapi? bila shaka kwa bongo hamna. kuna mwenye nayo katika memberz wa JF? let us share.
 
wakuu mi nimejaribu ku unloker line yangu ya tigo but lakin nimekwama kwenye ku update flame ware nikii aptade inaniambia the data card cannot be found error code:2 one of the folowing reason many coused error
a.the data card is not properly connected to pc
b.other prgrams is using the data card.
c.you do not have the authority of the admistrator. je mnanishauli nifanye nnn but step zote niziweza hapo u ndo pana nizingua naomba msaada na ushilikiano wetu guys.
 
kumbe ni simple tuuuuu thank nimefanikiwa kuzchakachua mbili ya tigo na ya airtell
 
Back
Top Bottom