Jinsi ya ku-hack password ya facebook.

Kwanini uhack?
Yaelekea mke/gf wako anakupiga matukio sana! Unataka ujue ambacho huwa anafanya huko!
Poleee

Nimeuliza kwa nia ya kama unajua nifundishe ni swala la kujifunza tu, ssa we unakimbilia mbali mamb gf na mke yanatoka wapi?badilika kaka we bado unawaza ujinga tu.
 
kazi kweli kweli lakini tambua sheria ya Tanzania hairuhusu kuingilia mambo ya ndani ya mtu mwingine
 
Back
Top Bottom