Kuna njia mbili tu ambazo nazijua. Ya kwanza ni ile ya kucopy # moja moja kwenda kwenye sim card
..............
Kuna njia mbili tu ambazo nazijua. Ya kwanza ni ile ya kucopy # moja moja kwenda kwenye sim card
Na nyingine ni ya kutumia Desktop Manager ku-backup contact zako, shida ni kwamba ukibackup kwa njia hii huwezi kurestore hizo contacts kwenye simu nyingine tofauti na aina ya BB.
Chipukizi ... Desktop Manager ninayo...au una software gani nyingine? mimi niko Dar mkuu, wewe uko maeneo gani ili niweze kuwasiliana na wewe??Sio kweli kuwa ukizicopy kwenye PC kwa kutumia Desktop Manager uwezi zikopy kwenye simu nyingine.Mimi nna BB curve na Nokia na uwa naweza. Copy kwenye yeyote kwa kutumia desktop manager na software ya Nokia,the same na samsung na nyinginezo,cjajaribu na any ya Mchina so hapo cjui.Mkuu download desktop manager install na fuata maelezo.uwezi copy kwa sim card contact za Blackberry,brackberry in serve kwenye jina moja mpaka namba za simu 4 na phyisical address na jina la kampuni.kama utashindwa tuwasiliane nikupe software na training mkuu
Sasa mkuu kama una Desktop Manger unashindwa nini au unakwama wapi? unamaana wewe hufanyagi backup ya simu yako?Chipukizi ... Desktop Manager ninayo...au una software gani nyingine? mimi niko Dar mkuu, wewe uko maeneo gani ili niweze kuwasiliana na wewe??