Jinsi wageni watakavyo leta vita Tanzania!

Kuna hadithi moja naikumbuka. Inasema hivi: kwamba Mzee Tata ( maarufu kwa magari ya Tata,machimbo n.k) alienda siku moja kwenye hoteli moja mashuhuri pale Bombay ( siku hizi Mumbai)wakati wa ukoloni wa mwingereza. Alipofika akaambiwa hawezi kupitia mlango wa waheshimiwa, aende akapitie mlango wa nyuma ambao watu kama yeye ndiko wanakopitia. Yule muungwana hakufanya hivyo, bali alijenga hoteli nzuri mara dufu ya ile ambamo watu wote walipitia mlango mkubwa. Sasa sijui ukweli wa hadithi hii lakini fundisho ni kwamba; kama hawa mabwana wanatudengulia, tujenge za kwetu ambapo hakuna mtu atatudharua. Tuko zaidi ya asilimia 90 ya nchi lakini kwa nini tunaruhusu kuendelea kudhalilishwa? Wenyewe tukijenga tunaweka bei hizo hizo za ajabu ambazo ukweli wenzetu wengi hawawezi kuzimudu. Dawa si kuwanyang'anya hizo nyumba zao. Dawa ni sisi wenyewe kuinvest katika sector hii na kujaza nyumba zenye bei inayoeleweka halafu tuone kama kuna mpuuzi atakayemdengulia mteja! Haya shimeshime ndugu zangu mliokuwa nje, mie niko tayari kuwapangia matofali!
 
Thousands of Refugees Still Awaiting Repatriation

UN Integrated Regional Information Networks said:

4 December 2007
Posted to the web 4 December 2007
Bujumbura
At least 120,000 Burundian refugees have still to be repatriated from Tanzania, despite plans by the host government to close all refugee camps by mid-2008, officials said. More than 40,000 Burundians returned home from Tanzania in 2007, home affairs minister Joseph Mungai told a meeting on 3 December in the Burundian capital of Bujumbura. The latest returns, the Tanzanian minister added, brought to 430,000 the total since 2001.

The Burundian minister for repatriation, Immaculée Nahayo, said most recent returnees came back between July and November. The repatriation process, according to Bo Shack, the UN Refugee Agency (UNHCR) Burundi representative, would continue. The returnees were encouraged to go back home by the introduction of cash grants, four to six months' food rations, and the closure of secondary schools and winding-up of income-generating activities in the refugee camps.

A communiqué issued at the end of the meeting stated that refugee camps in Tanzania had been cut from 11 to five in 2007 - of which three hosted Burundian refugees in the northwest - in line with Tanzania's intention to "close camps by June 2008". A study of settlements in Katumba, Mishamo and Ulyankulu in Tanzania had, however, found that only a few of the long-term Burundian refugees were willing to return home. The majority wanted Tanzanian citizenship.

"The results [of the study] indicate that 79 percent of refugees living on these settlements expressed their wish to remain in Tanzania and be naturalised; 21 percent indicated their wish to repatriate," ran the communiqué. The tripartite meeting called for more logistical capacity in Burundi and Tanzania to encourage repatriation, noting that a census of such refugees outside the camps in Kigoma region had already begun.

In addition, it was recommended that an ad hoc integrated committee on voluntary repatriation and reintegration in Burundi be set up, along with university scholarships for returnees and resettlement of landless people in new villages.
Tanzania was requested to extend the deadline for closure of the camps until November 2008, beginning with Lukole followed by Nduta camp.

Burundi: The Government of Burundi is Unable to Repatriate All Refugees in the First Semester of 2008

Burundi Réalités (Bujumbura) said:

5 December 2007
Posted to the web 5 December 2007
Bujumbura
The tripartite meeting of Burundi, Tanzania and UNHCR ended yesterday without reaching an agreement. The aim of this meeting was to analyse the feasibility of repatriating more than 120,000 refugees from Tanzania back to Burundi.
The Tanzanian delegation has a firm conviction that all Burundian refugees must be repatriated before the end June 2008. The government of Burundi does not share this opinion with due to a lack of adequate preparation.

The government of Burundi is currently faced with a serious lack of financial means. The Burundian government still has a chance to demand additional time. The Tanzanian government plans to close all refugee camps after June. UNHCR has already assisted more than 320, 000 returnees since 2002. 120,000 plus refugees who fled Burundi due to the turmoil that followed the killing of President Ndadaye in 1993 remain in Tanzania today.

Only 20 percent of refugees who fled to Tanzania in 1972 are willing to return to Burundi. The remaining 80 percent prefer to be naturalized Tanzanians.

Hivi wakati wanakuja Tanzania walitutaarifu kwamba tujiandae kuwapokea wakimbizi? Hivi vilio vya machozi ya mamba haviwasaidii WTZ ambao wamekuwa wakibeba mzigo mzito na kila uchwao tunaambiwa ni nchi masikini duniani, kwa nini UNHCR wasiwachukue na kuwapeleka kwenye nchi matajiri? Serikali iendelee kusimama kidete na swala hili ili kuwaondoa wakimbizi wote nchini, muda wa kubembelezana naona umekwisha na sisi tunataka WTZ wawe na maisha bora na tuache kushughulikia maswala ya wageni.
 
naunga mkono hoja hi ni longo longo kubwa na kufanywa vipofu na watoto and wendawazimu wasahaulifu.

tunao bado arusha hapa na hasa sector ya utalii Why??????????.
 
Napenda kutoa mtazamo wangu juu ya Wakenya, Wanigeria, Wazimbabwe wanaojaa nchini na kuchukua nafasi za ajira hasa Kampuni kama Vodaco, Celtel, Barrick,Hotel za Kitalii, mpaka waziba panch pale Moroko wamejaa wakenya. Mimi nikiwa kama mbongo niliyeishi nje ya bongo. hata Kenya yenyewe huwezi mbongo kufungua meza ya kuuza pipi iweje wao waje kwetu halafu wapete. Hata mameneja wa mabaa sasa hivi ni wakenya hii inatisha. Wizara ya kazi, Uhamiaji na wengineo mnafanya nini? Juzi nimepata kumsikia Dr. Sengondo Mvungi akigusia suala hili kwenye tv kipindi cha Makwaia wa Kuhenga. Hawa malaya waliojaa kariakoo, Sinza, tabata na mbezi beach wote toka kenya.Tuchanganue hii changamoto
 
Napenda kutoa mtazamo wangu juu ya Wakenya, Wanigeria, Wazimbabwe wanaojaa nchini na kuchukua nafasi za ajira hasa Kampuni kama Vodaco, Celtel, Barrick,Hotel za Kitalii, mpaka waziba panch pale Moroko wamejaa wakenya. Mimi nikiwa kama mbongo niliyeishi nje ya bongo. hata Kenya yenyewe huwezi mbongo kufungua meza ya kuuza pipi iweje wao waje kwetu halafu wapete. Hata mameneja wa mabaa sasa hivi ni wakenya hii inatisha. Wizara ya kazi, Uhamiaji na wengineo mnafanya nini? Juzi nimepata kumsikia Dr. Sengondo Mvungi akigusia suala hili kwenye tv kipindi cha Makwaia wa Kuhenga. Hawa malaya waliojaa kariakoo, Sinza, tabata na mbezi beach wote toka kenya.Tuchanganue hii changamoto

Huu ni ushahidi tosha wa kuonyesha ni jinsi gani wananchi wa Tz tunavyokatwa kodi kulipia mishahara na mashangingi ya wanausalama ambao wamelala fofofoooo!!!! Hawapo kwa ajili yetu wapo kwa ajili ya maslahi ya foreigners. From police force, Immagration team. Hata usalama wa Taifa they care nothing as long as they get paid with Govt, na kupata rushwa kwa hao ambao hawana sifa za kuishi na kufanya kazi Tz.
 
Hivi ule msemo wa Tanzania kichwa cha mwendawazimu kwenye michezo;ninachoona mimi una-apply kila nyanja hapa Tz.Kwahiyo siwezi kushangaa katika hilo.
 
Serikali yakiri kutumia fedha nyingi kuajiri wageni

na Rahel Chizoza na Lucy Ngowi, Dodoma
Tanzania Daima~Sauti ya Watu

SERIKALI imekiri kwamba inaajiri wataalamu wa nje kwa gharama kubwa baada ya kupoteza wataalamu wazalendo wanaotafuta kazi nje ya nchi, ambao ni nguvu kazi ya taifa, wenye uwezo na ujuzi.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Hawa Ghasia, alisema bungeni jana alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Kalambo, Ludovick Mwananzila (CCM), aliyetaka kujua hasara inayopata serikali kutokana na wataalamu wazalendo kutafuta kazi nje ya nchi kama Botswana, Namibia, Swaziland na Afrika Kusini.

Mbali na hilo, Ghasia alisema baadhi ya wazalendo hao, wanaoondoka nchini kinyemela, mara nyingine huleta matatizo yanayoiaibisha nchi na pia nchi kukosa pato la taifa.

Alisema, serikali imechukua hatua zenye lengo la kuhakikisha kuwa unakuwepo utaratibu endelevu wa kuratibu wataalamu hao ili waweze kukidhi matarajio ya serikali.

Alitaja hatua hizo kuwa ni kuanzisha mchakato wa maandalizi ya sera ya menejimenti ya uhamaji wa nguvukazi, itakayotoa mwongozo wa jumla kuhusu masuala ya utumiaji wa wataalamu wa Kitanzania waishio na kufanya kazi nje ya nchi na kuandaa mazingira yatakayoruhusu Watanzania hawa kuwekeza nchini.

“Sera hii, vile vile itaweka mfumo mzuri wa Watanzania waishio na kufanya kazi nje kusafirisha fedha zao kuja hapa nchini kwa ajili ya kuiendeleza nchi pamoja na kupata ushauri wa kitaalamu kutoka kwao pale serikali itakapohitaji,” alisema Ghasia.

Aliongeza kuwa, kupitia kitengo cha Wizara ya Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana, kitaanzishwa kitengo chenye lengo la kuratibu utoaji huduma za ajira za wataalamu wazalendo ndani na nje ya nchi ikiwa ni pamoja na kuandaa mikakati ya kuwavutia Watanzania walio nje ya nchi kurudi nchini na kuwapa kazi zinazohitaji ujuzi wa kipekee.
 
Ingekuwa vizuri, serikali kutumia balozi zake kuanzisha database ya wataalam wote waliopo nje, ikiwa pamoja na fani zao mbali mbali ili badala ya kuajiri wataalam wa kigeni, wataalam hao wazalendo watumiwe. Hii itakuwa na manufaa kwa taifa kwa kuwa kiasi kikubwa cha pesa ambazo watalipwa wataalam hao zitabakia nchini, kwani wengi wao wanakuwa wana miradi yao hapo nyumbani. Pili, kutakuwa na ufanisi mkubwa wa kazi na matokeo mazuri kwa kuwa wataalam hao wanaelewa matattizo yetu na namna ya kukabiliana nayo, pindi yanapotokea katika mazingira ya kazi.
 
Ingekuwa vizuri, serikali kutumia balozi zake kuanzisha database ya wataalam wote waliopo nje, ikiwa pamoja na fani zao mbali mbali ili badala ya kuajiri wataalam wa kigeni, wataalam hao wazalendo watumiwe. Hii itakuwa na manufaa kwa taifa kwa kuwa kiasi kikubwa cha pesa ambazo watalipwa wataalam hao zitabakia nchini, kwani wengi wao wanakuwa wana miradi yao hapo nyumbani. Pili, kutakuwa na ufanisi mkubwa wa kazi na matokeo mazuri kwa kuwa wataalam hao wanaelewa matattizo yetu na namna ya kukabiliana nayo, pindi yanapotokea katika mazingira ya kazi.

Ni wazo zuri sana hilo. Pamoja na kuwa wako tayari kuwalipa hao wageni wanaojiriwa nje mishahara na marupurupu makubwa lakini hawatakuwa tayari kuwalipa mishahara na marupurupu kama hayo Wataalam wa Kitanzania ambao watakuwa tayari kurudi nyumbani ili kuchangamkia ajira.
 
Bottom line - hakuna chochote hapo... Kila siku Serikali inaanda mpango maalumu kwa hiki mara kile lakini siku zote hii mipango maalumu inayoandaliwa matokeo yake hayajawahi kuonekana!!!

Swali muhimu ni kwa nini wale wabongo wamekwenda nje?

Kuhusu kuwekeza, kweli wana uhakika mazingira yapo vizuri for hao watu?? waje kuwekeza kwenye nini? Serikali imeweka (ooops, they are still working on utaratibu madhubuti) vivutio gani kwa waTz walio nje?

Kama kawaida, tunajaza maji kwa gunia!!
 
Je bongo au Tanzania hamna watu waliyosoma kama hao watu ambao wameajiriliwa????Maana unajuwa nchi yetu inakimbilia sana nje kuliko kuangalia kwanza nyumbani je hawa watu wa kufanya hii kazi wanapatikana au vipi naona ndio tatizo tulilonalo ajira zinakwenda zaidi out kuliko nchini......Hatufiki
 
Ingekuwa vizuri, serikali kutumia balozi zake kuanzisha database ya wataalam wote waliopo nje, ikiwa pamoja na fani zao mbali mbali ili badala ya kuajiri wataalam wa kigeni, wataalam hao wazalendo watumiwe. Hii itakuwa na manufaa kwa taifa kwa kuwa kiasi kikubwa cha pesa ambazo watalipwa wataalam hao zitabakia nchini, kwani wengi wao wanakuwa wana miradi yao hapo nyumbani. Pili, kutakuwa na ufanisi mkubwa wa kazi na matokeo mazuri kwa kuwa wataalam hao wanaelewa matattizo yetu na namna ya kukabiliana nayo, pindi yanapotokea katika mazingira ya kazi.
Kuna wakati fulani tumeongea na aliyekuwa balozi wa Bongo hapa kwa Obama tukawashauri kujenga database ya wataalam wa kibongo ili iwe rahisi kwa serikali au makampuni kuwapata kwa urahisi, alichotwambia "he will get back to us" apeleke kwanza Tanzania wakayachunguze maoni yetu; mpaka anarudi nyumbani hakuna kilichoendelea. Hivyo basi, kama balozi anashindwa kushughurikia mambo kama haya, kweli tutafika?
 
Swali muhimu ni kwa nini wale wabongo wamekwenda nje?

Morani75,

Ukisema kuna swali ndio hapo una justify kuanzishwa kwa tume za kuchunguza majibu. Na vitengo maalum vya kuratibu matatizo, na sekretarieti za ofisi ya Rais za kutafuta maoni, na kongamano la kujadili mapendekezo ya Kamati maalum....Na kamati nyingine za ulaji na ufisadi.

Hapana. Hakuna maswali hapo!

Washasema kwamba sasa hivi wanajaza nafazi za wataalam kwa kuleta wataalam wa nje. Kwa maneno mengine wanalo jibu tayari la ni nini kinachotakiwa kuvutia watu wafanye kazi Bongo. Kwa hiyo kama ile asali ya kuvutia wataalam wa nje unaijua na unaweza kui afford, na unayo - maana tayari umeitumia kwa wataalam wa nje - sasa idara ya kuratibu tatizo ni ya nini kama sio ulaji na ufisadi?

Hicho hicho unachokitumia kuwapa wataalam wa nje wape Wabongo. Kwishne!! Hatutaji another "kitengo cha kuratibu"
 
Huyu Ghasia anachekesha kweli! Ndo anaamka sasa hivi kuweka mikakati??

Nakumbuka mwaka 1997 tulimuuliza PM Sumaye kwamba serikali ina mkakati gani kupunguza wimbi la wataalamu kukimbilia nje, na akatujibu kuwa SERIKALI HAINA MUDA WA KUHANGAIKA NAO. Wakitaka waende tu kwa sababu wasomi wapo wengi na kwa sababu ya utandawazi huwezi kuwazuia watu kutafuta kazi sehemu nyingine. Hayo yalikuwa majibu ya PM!!!

Mimi nadhani tunatakiwa kuwa wakali sana Waziri anaposema kuwa kaleta wageni kufanya kazi hapa. Aseme kazi gani wanafanya na kama hatuna wazalendo wa kuifanya. Vinginevyo tusiruhusu kodi zetu kutumiwa vibaya! Mshahara wa mgeni mmoja unaweza kulipa hata wataalamu 2-3 wazawa. Kwa nini tunaendekeza ujinga? Au ndo hivyo kwamba wote tulibemendwa na hatuwezi kutumia akili zetu kufikiri lipi bora au hovyo?
 
Hivi hawa wabunge mimi nawashangaa, huwa wanachambua na kufuatilia majibu ya mawaziri kweli? Maana kama hao wataalamu anaodai wanakimbilia nje, kwanza ni kwa nini wanakimbia nje? na je wakirudi watakuwa na tofauti gani na wataalamu ambao hawajakimbia nje?

Mimi ninachojua ni kwamba siyo kweli kuwa serikali haina wataalam wenye uwezo wazalendo, na siyo kweli kuwa wataalam walioko Tanzania hawana uwezo, bali serikali haizingatii maelezo ya wataalam. Siasa imetawala kuliko utalaam. Kila kitu kinaendeshwa kisiasa.
 
hayo mabilioni wangewalipa wataala wazalendo, kumbe hela wanazo sasa?
mmmh....lakini ikitoka chance hiyo itakua kwa watoto wao wenyewe ambao pia ni vilaza waliofoji vyeti kama wale walioko pale kwenye liofisi la BOT.
 
Nadhani ni wakati muafaka kufanya kamajirani yetu Kagame wa Rwanda!



Why donors fear Kagame's war on graft
The Botswana Gazette
13.04.2005
Gazette.bw (The Botswana Gazette)

by Andrew
M. Mwenda

Last week I was in Kigali, this time at the heels of a cabinet decision to
impound all luxurious four wheel drive vehicles bought at government
expense and driven by ministers, security and military chiefs, foreign
experts and their local handlers. In a morning crackdown, all the big men
and women of this republic woke up to find that police constables along the
main roads were stopping and taking away their vehicles and leaving them to
walk to office.
The international donor community, known all over Africa for its corrupt
and profligate life styles which they indulge in the name of fighting
poverty, was this time caught with their pants down. They claim to fight
poverty while riding in luxurious four-wheel drive vehicles, sitting in
opulently furnished offices, earning obscene salaries and living in
executive mansions. In a bold act of defiance, Rwanda impounded even those
vehicles belonging to
donor projects. After cleaning his own government of
corruption, he has now taken on the profligacy of the international aid
industry and its experts are now scared.

In a discussion with President Paul Kagame, he told me that he had looked
at some of the "poverty reduction" projects and they smelt bad.
"There are
projects here worth only $5m and when I looked at their expenses, I found
that $1m was going into buying these cars, each one of them at $70,000.
Another $1m goes to buy office furniture, more $1m for meetings and
entertainment, and yet another $1m as salaries for technical experts,
leaving only $1m for the actual expenditure on a poverty reducing activity.
Is this the way to fight poverty?" he asked as I shifted with glee in my
chair.

Already, the government is auctioning these vehicles and so far has gotten
over $3m from the sales. Mr Kagame has now issued a new directive, saying
government
should not purchase cars for its officials with more than 2,500
cc. But there is more: the government has placed a ceiling on mobile
telephone expenses for all its ministers, military and security chiefs to
50,000 Rwanda Francs (Shs150, 000), and also ordered MTN Rwanda to cut off
their international roaming access.

The directive also stops the holding of workshops, seminars and conferences
on poverty reduction in posh hotels like the Intercontinental, Mille
Collins etc, insisting they should be in government owned buildings at no
cost. The order also requires all government ministries; departments and
agencies to move from privately owned buildings where they pay high rents
to government owned buildings.

I told Kagame that whereas some of the most highly skilled Africans are
going to Europe and North America to clean streets and toilets, our
development partners send us Œtechnical experts on these
projects at
individual monthly salaries of between $10,000 and $20,000, a salary that
could pay 12 Africans of better training and experience and save this
continent from severe brain drain. In fact, most of these so-called experts
are a miserable, career-stranded lot in their own countries, but are dumped
in Africa and other poor countries through foreign aid protocols.

Donors never shy from lecturing our governments on fiscal frugality, yet
their aid driven projects are the most profligate. Of total project aid to
Uganda's ministry of Health, 93 percent of it goes into technical
assistance (i.e. salaries and allowances for the experts) and overheads
(i.e. four wheel drive vehicles, opulent office furniture, computers,
stationary, tea and cakes).

Only a miserable 7 percent of this aid goes into purchase of drugs. Now you
understand why, in spite of a huge health budget, our people cannot find
drugs in
hospitals. We in the media have been shouting ourselves hoarse
against government corruption. It is time to expose the worse forms of
profligacy, which forces our governments to pile up huge sums in debt.

In fact, of the total money from the Uganda government budget to the
ministry of Health, 98 percent reaches its intended beneficiaries, clearly
showing that in spite of its corrupt ways, the government of Uganda is a
better evil than donors. Of total project aid to Uganda, 68 percent goes
into overheads and technical assistance. Only 32 percent to its intended
beneficiaries.

A few weeks ago I presented the above facts to President Yoweri Museveni
and asked him to act. My heart bleeds to say he is so deeply discredited by
his inability to tackle corruption in his government, and his own
profligate public administration expenditure that he lacks moral authority
to take on donors.

The other reason is
that his regime lives off this coalition of mutual
deceit with donors that both are fighting to eradicate poverty in Uganda.
Kagame, however, is able to act boldly because he occupies a moral high
ground in fighting corruption, has ensured fiscal frugality and also
because his government pursues strategies of survival - not necessarily
dependant on donor approval.

In Rwanda, ministers and other high ranking public officials resign and or
are fired by the week because of allegations of corruption. From the lowest
clerk in a government office to the most powerful minister or military or
security chief, no one is immune to jail when they steal; none close to the
president, none distant from him. You steal, you get jailed.

If there is some prima facie case that you stole, but there isn't not
enough evidence to convict you in a court of law, then you are asked to
resign or get fired. What a tough guy this
Kagame man is!!
 
Kagame Mtu.
Mikono michafu haioshi chombo kikasafika.
Mwosha sharti ajisafi yeye kwanza, sivyo unajisi wake utatapakaa kila kona.
Mikono isiyosafika kwa uoza haifai tena kutoa taka, yenyewe tu ni taka tosha.
 
Back
Top Bottom