Jinsi wageni watakavyo leta vita Tanzania!

....isolationist utawajua,na majungu hayawafikishi popote inabidi muangalie fact kenya inaongoza kwa kuweka investment TZ kuliko nchi zote na mnategemea wakenya wasionekane mitaani kwetu,anzeni kwanza kukataa mali zao ndio mlete hizo story...mnachojua matatizo yenu ya njaa na usalama ni kuwalaumu wakenya tuu,....acheni roho mbaya kama ni ujambazi angalieni statistics wanaoongoza kwa ujambazi ni watanzania wenyewe na wala sio wakenya

Hizo mali na Investment za Kenya mnawapa WTZ bure? Kama kununua WTZ watanunua popote pale ulimwenguni. Haya sisi tunaongoza kwa ujambazi sasa pilipili iliyo bongo umawawashia nini? Nendeni muungane na Museveni anawalilia.

http://www.jamboforums.com/showthread.php?p=70929#post70929
 
Hizo mali na Investment za Kenya mnawapa WTZ bure? Kama kununua WTZ watanunua popote pale ulimwenguni. Haya sisi tunaongoza kwa ujambazi sasa pilipili iliyo bongo umawawashia nini? Nendeni muungane na Museveni anawalilia.

http://www.jamboforums.com/showthread.php?p=70929#post70929

unajiona mzalendo sana wakati productivity ZERO....endelea na feel good story zako za kijiweni na ukawadanganye wajinga waanze kupiga mawe wakenya wanachukua nchi yao.
 
unajiona mzalendo sana wakati productivity ZERO....endelea na feel good story zako za kijiweni na ukawadanganye wajinga waanze kupiga mawe wakenya wanachukua nchi yao.

Kasumba inakusumbua, nimekuuliza kama mnawapa bure WTZ hizo bidhaa na haya ndiyo majibu yako. Endelea na hadithi za abunuwasi.
 
Hivi unajua MAJAMBAZI TOKA KENYA yashatutia hasara kiasi gani?

Sasa unajua kama walimu wengi wa shule pale ni WAKENYA ili halai serikali ingharamia kuwasomesha walimu wakitanzania kufanya kazi hizo hizo

If u realy believe in these cheap partinalistic causes i suggest you take a brake to rejuvinate your intelect....

Nimeshindwa kuvumilia kaka.....

Natanguliza samahani..

Tanzanianjema
 
Kutokana na wimbi la majambazi linaloendelea social services zetu zinashindwa kuhimili wimbi la wageni toka Kenya na kwingineko. Actually hii influx inaweza ikaleta breakdown katika system ya nchi yetu...sasa matoa ushauri gani ili kuwadhibiti wageni especially toka Kenya ambao wengine imegundulika wamekuwa hawako honest na sisi ma host wao?

Michango yenu inakhitajika tafadhali

Ushauri
(a)More investments katika social services ili kuweza kudhibiti hao majambazi na wimbi la wageni kutoka kenya na kwingineko.

(b)Ushirikiano wa karibu baina ya jeshi la polisi & uhamiaji la kenya na tanzania katika kudhibiti hilo wimbi la ujambazi na wageni toka kenya na kwingineko

(c)Mgawanyo mzuri wa "keki ya taifa". If 80% ya keki ya taifa (whether kenya, tanzania, uganda, or elsewhere) inakwapuliwa na wajanja wachache (10%) vita dhidi ya ujambazi ni kitendawili.


 
Rukwa deports 69 illegal immigrants PETI SIYAME in Sumbawanga

Daily News said:
Monday,September 24, 2007 @00:02
IMMIGRATION officials in Rukwa region have rounded up and deported 69 aliens from the Democratic Republic of Congo (DRC), Malawi and Burundi who had been living in the country illegally.

Rukwa Regional Immigration Officer Mr Wilson Babanganya told reporters on Saturday that the first aliens were napped on September 16 this year at around 10:00 pm in Nkasi District where officials working on a tip off ffrom law abiding citizens managed to arrest 44 immigrants from DRC.

He said the aliens were traveling in a truck of Fuso make with registration numbers T 353 AGQ driven by Filbert Mlowe and assisted by Renatus Kana and were arrested at Katongoro area in Kirando ward in Nkasi District while heading to Sumbawanga Municipality via Namanyere.

"When interviewed the aliens did agree that they were illegal immigrants who did not have any travel documents and they were trying to get to Malawi and South Africa in search of greener pastures", he said.

Of the 44 aliens, 19 were children with ages ranging from two years old to 15 years, Mr Babanganya said.

Other aliens were arrested on September 21 at around 9am at Katangoro area again where officials nabbed 21 foreigners who did not have valkid documents to stay in the country who also said that they were trying to get to South Africa.
"We later arrested 4 aliens from Burundi in Sumbawanga municipality and at the moment we have managed to deport 48 of those arrested while the remaining 21 aliens from DRC are still being held by authorities as preparations for their deportation are underway", he said.


Soma Hapa

Swala la vitambulisho limekuwa kitendawili hata haijulikani lini vitatolewa na wageni wanazidi kunufaika wakati wenye nchi wanadhalilishwa hata kazi wanazoweza kuzifanya wananyimwa.
 
Dua,

Hata vitambulisho vikija, hao wageni ndio watakuwa wa kwanza kuvipata.

Waende kwa Mrema na awafundishe nini cha kufanya. Yeye alipohamia wizara ya kazi kama kumkomoa, alipata kibarua cha kufanya pale na kwa muda mfupi akaanza kuwashughulikia wageni ambao wamepata ajira kwenye kazi ambazo Watanzania wangeweza kuajiriwa.
 
Serikali nafikiri haina data za wageni wangapi wanafanya kazi Tz kwani system ya uhamiaji imeoza muda mrefu kwani vibali na passport za Tz zinatolewa kwa kupewa pesa ya bia. Ukitaka kujua uhakiaji wasivyokuwa na akili, nenda pale na uone akifika foreigner anatafuta kibali angalia wafanyakazi wanavyo-mfanyia process chap-chap.
 
Imetokea watanzania kuwaamini wageni kupita kiasi kuanzania gazi za juu za serikali mpaka kwa walala hoi, wangeni wazaliwa na wageni wahamiaji ambao wamepata uraia wa tanzania,
familia zao zina kuwa kubwa kiuchimi, kielimu, kiidadi, kisiasa,

Hii itafikia siku wanataka kuitawala tanzania na sisi ttakuwa hatuna lakusema kwa sababu watakuwa wameshika sehemu zote nyeti kazi nchi yetu, sisemi waondoke bali tuwe macho na watu tunaowaambia waje kuwekeza kwa mlango wa uwani (back door) kama mheshimiwa Mramba alivyowaambia wawekezaji wa Marekani waje kwa kupitia mlango huo.

Ukiangalia kwa sasa mtanzania wa kawaida hawezi kusomesha mtoto katika hizo shule za kimataifa au nje ya nchi.

Hizo familia zinakuja kwa kasi sana, wana nguvu siku tukishituka basi wataanza kututumia sisi kwa sisi kumalizana bila sisi kujua, wao wana nguvu wameshika sehemu nyeti zote.

Leo hii sisi ndiyo tunawaita halafu utakuja kuwafukuza na mtu umempa misamaha ya kodi mingi, ukiingia Tanzania huwezi kutoka ni nchi nzuri sana, na watu hawaijui kwa sababu ni nchi yenye amani, lakini tungelikuwa na vita tungelikuwa tunafahamika kila kona ya dunia.

Ni nchi yenye watu wakarimu, wapole, wakusema ndiyo mzee,,, siku wakichukia itakuwa mbaya sana

Ni kwa sababu gani ninasema hivyo, ni kwamba wageni ndiyo wa kwanza Tanzania mzawa ni wa pili, nchi za kiarabu mgeni ni wa pili mzawa ni wa kwanza.

Ukipigana ngumi na mgeni akienda polisi mgeni ndiyo anasikilizwa kwanza mzawa ndiye mwenye makosa,

Pia ukiwa unagombana na mgeni watu wakiwa wana pita watakacho sema una taka kumuibia mgeni, wakati mgeni ndiyo mwenye matatizo,

Sasa tutafikia wameshajua wao wana nguvu kuliko sisi pia serikali inatambua hilo, sasa kuna matatizo kama hayo yanaweza kujitokeze huko mbele.

Kwani nyie watanzania wenzangu mnafikiria nini kuhusu hili swala la wageni kushika hatamu na serikali kuwasaidia kwa kiwango kikubwa kutukandamiza?

Kiongozi wa kitanzania akipiga picha na mzungu basi kijiji kizima kitajua itawekwa ofisini kila mtu aone, ataomba itoke kwenye magazeti na sehemu nyingine,

Mnao jua historia ya Liberia Siera Leon, Ivory Coast basi mziweke hapa ili watanzania wajifunze kwanini vitu kama hivyo vina tokea ,,,

TUNATAWALIWA KIJINGA SANAA....
 
UNHCR repatriates more refugees
DAILY NEWS Reporter said:

Daily News; Friday,October 12, 2007 @00:04
THE United Nations High Commission for Refugees (UNHCR) has repatriated 54,740 refugees from Tanzania to the their respective countries.
A statement issued by the UNHCR in Dar es Salaam yesterday said that some Burundian refugees and those from the Democratic Republic of Congo (DRC) have voluntarily decided to go back home.
A total of 27,287 Burundian refugees have returned home this year, while 21,405 Congolese refugees returned to their country under the facilitated voluntary repatriation programme.
A total of 5,498 refugees who were in the country have now been resettled in the United States, Australia, Canada, the Netherlands, Norway and Finland, while 550 Somalis were naturalised and became Tanzanian citizens.

Tanzania is still among countries hosting the largest number of refugees in Africa, the refugee population assisted by UNHCR in the camps has dropped from 287,000 last year to 228,522 this year. Tanzania currently hosts 124,706 refugees from Burundi, 101,309 from the DRC, and 1,362 from Somalia.

Naona wakazane zaidi ili kumaliza kazi ya kuwarudisha wakimbizi kwenye nchi jirani na wajifunze kukaa kwa amani na upendo. Ni wakati muafaka vile vile kwa serikali kuongeza ulinzi kwenye mipaka yetu na kupunguza njia za panya ambazo zinatumiwa kwa kuingiza wahalifu ambao ndio hasa wanatibua amani na sio Watanzania wanaowazomea viongozi mafisadi.
 
Wageni ndio wanaolipwa vizuri kila mahali, angalia Barrick, angalia kwenye kampuni zote za uwekezaji, Hoteli za kitalii n.k. Ni lini tutawapa heshima wasomi wetu wenyewe?
 
kutaka changes, itabidi kwanza tupende na tuwe na imani na viongozi wetu otherwise itafikia stage hadi viongozi watakuwa imported (RA mfano), sasa mkianza kuchafua viongozi wetu asilia, wananchi tutakula nafaka zote kuanzia pumba hadi mashudu !
 
Imetokea watanzania kuwaamini wageni kupita kiasi kuanzania gazi za juu za serikali mpaka kwa walala hoi, wangeni wazaliwa na wageni wahamiaji ambao wamepata uraia wa tanzania,
familia zao zina kuwa kubwa kiuchimi, kielimu, kiidadi,kisiasa,

Hii itafikia siku wanataka kuitawala tanzania na sisi tutakuwa hatuna lakusema kwa sababu watakuwa wameshika sehemu zote nyeti kazi nchi yetu, sisemi waondoke bali tuwe macho na watu tunao waambia waje kuwekeza kwa mlango wa uwani back door kama muheshimiwa mramba alivyo waambia wawekezaji wa marekani waje kwa kupitia mlango huo.

Ukinagali kwa sasa mtanzania wa kawaida hawezi kusomesha mtoto katika hizo shule za kimataifa au nje ya nchi,

Hizo familia zina kuja kwa kasi sana, wana nguvu siku tukishituka basi wataanza kututumia sisi kwa sisi kumalizana bila sisi kujua, wao wana nguvu wameshika sehemu nyeti zote,

leo hii sisi ndiyo tuna waita alafu utakuja kuwafukuza na mtu umempa misamaha ya kodi mingi , ukiingia tanzania uwezi kuto ni nchi nzuri sana , na watu hwaijui kwa sababu ni nchi yenye amani, lakini tungelikuwa na vita tungelikuwa tuna fahamika kila kona ya dunia,

ninchi yenye watu wakarimu, wapole , wakusema ndiyo mzee,,, siku wakichukia itakuwa mbaya sana

Nikwa sababu gani nina sema hivyo nikwamba wageni ndiyo wakwanza tanaznia mzawa ni wa pili,

nchi za kiaraabu mgeni ni wa pili mzawa ni wakwanza.

Ukipigana ngumi na mgeni akienda polisi mgeni ndiyo anasikilizwa kwanza mzawa ndiye mwenye makosa,

Pia ukiwa una gombana na mgeni watu wakiwa wana pita watakacho sema una taka kumuibia mgeni, wakati mgeni ndiyo mwenye matatizo,
Sasa tutafia wamesaha jua wao wana nguvu kuliko sisi pia serikali ina tambua hilo sasa kuna matatizo kama hayo yana weza kujitokeze huko mbele

Kwa nyiye watanzania wenzangu mnafikiria nini kuhusu hili swala la wageni kushika hatamu na serikali kuwasaidia kwakiwamgo kikubwa kutukandamiza,

Kiongozi wakitanzania akipiga picha na mzungu basi kijiji kizima kitajua itawekwa ofisini kila mtu aone ,ataomba itoke kwenye magazeti na sehemu nyingine,

Mnao jua historia ya Liberia Siera leon, Ivory Caost basi mziweke hapa ili watanzania wajifunze kwanini vitu kama hivyo vina tokea ,,,
TUNA TAWALIWA KIJINGA SANAA....

Tushalilalamikia sana hili, lakini nani wa kulisikiliza?
Mpaka yatukute kwanza ndipo tujifunze. Mi nakumbuka nilishasoma na wanafunzi wa nje ya nchi pale Udsm, wakipata pesa toka serikalini kwetu. Sijui nani akabumbulua dili mmoja akadakwa, kila mtu akabaki mdomo wazi! Ina maana na huyu si Mtanzania?
 
kutaka changes, itabidi kwanza tupende na tuwe na imani na viongozi wetu otherwise itafikia stage hadi viongozi watakuwa imported (RA mfano), sasa mkianza kuchafua viongozi wetu asilia, wananchi tutakula nafaka zote kuanzia pumba hadi mashudu !

Tutakuwaje na imani na viongozi wanaotubaka?
 
i guess learning through the hardway mzee, niliposema hivyo that was self explanatory, nilifikiri utaelewa !
 
JK: Give locals job priority Daily News Reporter
Daily News said:

Friday,November 09, 2007 @00:03
PRESIDENT Jakaya Kikwete has told employers to stop hiring foreigners to positions that could be filled by Tanzanians.

The president made the point in Dar es Salaam yesterday when he was inaugurating the East Coast Oil industries, owned by Mohamed Enterprises Tanzania Limited (METL). “I would like to congratulate you for investing in Tanzania and employing more Tanzanians.

This is an indication of your commitment to this country,” he told the METL Chief Executive Officer, Mohamed Dewji. Mr Dewji is also Singida Urban MP. The president wondered that foreigners were at times not as qualified as Tanzanians, but were still paid exorbitant salaries, while locals took home what amounted to peanuts.

President Kikwete lauded METL management for employing about 97 per cent Tanzanians. He urged the employers to pay a living wage for the local workers because they were part and parcel of the growth of their businesses. “Please since you carry a big risk of investment in your businesses, try as much as you can to satisfy your workers because if you don’t, one day they will be tired and see no point in working for you,” said the President.

He said if the employers paid good salaries, employees would feel motivated and raise productivity. Earlier, Mr Dewji told the President that the plant was one of the biggest in East and Central Africa, with modern technology to produce quality cooking oil and soap. He said East Coast had 350 workers paid 2,600/- on week days, 3,000/- on Sundays and 3,600/- during holidays. He also pledged to increase the pay January next year to comply with the government’s minimum wage recommendation.

JK anaanza kupata message? I wonder...............
 
Kuna wanigeria nawafahamu wana passport za tanzania,baada ya kuwa wamekataliwa kwenda ughaibuni kwa passport za nchini kwao,basi wanakuja bongo,na kupata passport kilaini.Hakuna nchi yenye system mbovu ya uongozi katika dunia kama Tanzania.
 
Serikali ijizatiti kuwalinda Watanzania katika ajira
Tahariri
Tanzania Daima

KWA mara nyingine tena, Rais Jakaya Kikwete amesisitiza msimamo wake wa kila mara, unaotaka wawekezaji nchini wawafikirie Watanzania kwanza katika ajira na mishahara kabla ya kufanya hivyo kwa wageni.
Rais Kikwete alitoa wito huo juzi wakati akitembelea kiwanda cha East Coast kinachozalisha mafuta kilichopo katika eneo la ZamCargo, Dar es Salaam.

Katika kauli yake hiyo ya juzi, Rais Kikwete alieleza kusikitishwa na tabia ya baadhi ya waajiri kuwapa mishahara mikubwa wageni wanaofanya kazi katika kampuni zao na kuwaacha wazalendo ambao wakati mwingine huwa na elimu na ujuzi mzuri zaidi.

Sambamba na hilo, rais aliwakumbusha wawekezaji, akiwamo Mohammed Dewji ambaye ni mmiliki wa kiwanda hicho cha East Coast, kuanza kuwalipa wafanyakazi wao mishahara mipya iliyotangazwa na serikali kuanzia Januari mwakani.

Rais Kikwete anatoa agizo hilo kuhusu ajira kwa Watanzania wazalendo, miezi michache tu baada ya Mbunge wa Viti Maalum Lucy Mayenga kuuliza bungeni kuhusu jambo hilo hilo.

Mayenga katika swali lake hilo lililokuwa limeelekezwa Wizara ya Kazi, Maendeleo ya Vijana na Ajira, alitaka kuelezwa ni wageni wangapi waliondolewa nchini kwa kupatiwa ajira kinyume cha sheria za nchi.

Akijibu swali hilo, Naibu Waziri wa Kazi, Maendeleo ya Vijana na Ajira, Dk. Emmanuel Nchimbi, alisema msimamo wa serikali kulinda ajira za wananchi wake utaendelea kuzingatiwa.

Nchimbi alilieleza Bunge kuwa, wageni wanapaswa kuajiriwa katika maeneo ambayo watalaam wa Kitanzania wenye elimu na ujuzi hawapatikani katika soko la ndani.

Aidha, naibu waziri huyo, aliwataka waajiri kuhakikisha wanawapatia utaalam Watanzania wanaofanya kazi za kuwasaidia wageni hao katika maeneo maalum, ili mikataba ya raia hao wa nje inapomalizika waweze kuchukua nafasi zao.

Nchimbi hakuishia hapo, bali alikwenda mbele zaidi na kulieleza Bunge kuwa, wizara yake ilikuwa imeunda kamati maalum ya kufuatilia mwenendo mzima wa ajira na kuhakikisha kuwa ajira zilizo mikononi mwa wageni ambazo zinaweza kufanywa na Watanzania zinarejeshwa mikononi mwa raia wa hapa nchini.

Alisema chini ya utaratibu huo, wageni wanaofikia 432 walikuwa wamerejeshwa makwao baada ya kudhihirika kuwa walikuwa wakifanya kazi kinyume cha sheria za ajira katika maeneo ya viwanda na mahoteli ya kitalii.

Kwa kweli, majibu hayo ya serikali kwa kiwango kikubwa yalitoa mwelekeo mwema na wa kutia moyo, kwani yalionyesha namna Watanzania wanavyopewa nafasi ya kwanza katika ajira.

Pamoja na ukweli huo basi, wakati tukiipongeza serikali kutokana na kusimamia sheria za nchi vema kwa kuwajali raia wake, tunapenda kurejea msimamo wetu tuliopata kuutoa huko nyuma na kukumbusha kuhusu masuala mawili au matatu ya msingi.

Kwanza, tunapenda kueleza bayana kwamba, katika miaka ya hivi karibuni na si kwa Tanzania peke yake, makali ya utandawazi, yamesababisha raia wengi kutoka nje ya nchi kuingia hapa nchini na kuweza kupenya soko la ajira na kufanya kazi pasipo kubainika.

Aidha, hali kama hiyo imekuwa ikitokea pia kwa Watanzania ambao wamejikuta wakilazimika kukimbilia nje ya nchi, aidha kufuata taratibu halali za uhamiaji au zile za uzamiaji lengo likiwa ni kusaka ajira huko, baada ya kubaini kuwa hapa nchini kuna tatizo hilo na lile la kuwajali raia wa nje kuliko wao.

Kwa sababu hiyo basi, tunapenda kuiasa serikali kwamba, wakati huu inapoonyesha nia nzuri ya kuwajali raia wake, ihakikishe kile alichokisema Kikwete cha kuweka mazingira bora ya kazi kwa raia wake kinadumishwa na kuondokana na tabia ya kuwadharau wataalam wake na kuwaheshimu wale wa nje katika mishahara, marupurupu na maslahi mengine ya kikazi.
 
Burundi refugees now poach with impunity

2007-11-19 08:48:24
By Patrick Kisembo


The government has directed security organs in the north-western regions to stamp out rampant poaching activities taking place in national parks and game reserves.

The illegal activities, most of them occurring in Rukwa Region, are believed to be conducted by refugees from neighbouring Burundi.

Home Affairs Minister Joseph Mungai issued the order in response to reports that the refugees were financing their political parties as well as earning their living through poaching in a number of national reserves in Tanzania, particularly the Ugalla National Reserve.

Mungai told The Guardian in an interview that refugees who did not adhere to the United Nations High Commission for Refugees (UNHCR)`s rules and regulations and invaded the reserves were nothing but poachers.

`If they go for poaching, then these are not refugees?they are poachers. Once caught, the law will take its course,` he said.

The minister, said, however, that there were other refugees, who were good farmers and had contributed to the country`s economy.

`Our security apparatus shouldn?t disturb such people,` he said.

Mungai said all the refugees would be sent back to their home countries by next year, according to an agreement between Tanzania and their countries of origin.

In a separate interview, Mpanda District Commissioner Thobias Sijabati said poaching undertaken by refugees was a serious problem as it threatened the environment of both Ugalla Game Reserve and Katavi National Park.

According to the DC, a big portion of the destruction is done by poachers from Katumba and Mishamu camps.

He said the refugees employed `heavy military weapons` when illegally hunting wild animals as well as cutting down forest trees.

He said it seemed as if the poachers, especially those originating from refugee camps, had `a big plan to loot our natural resources.` He suggested their immediate removal from the country as the only solution to the problem.

The DC also said that even when ordinary citizens were involved in poaching activities, they were usually influenced by refugees through supply of heavy weapons as well as tactics.

As part of efforts to curb the problem, Sijabati said: `We are undertaking a joint operation with TANAPA (Tanzania National Parks authority) and the police.`

The Mpanda DC said a house-to-house search in refugee camps intended to identify those who were involved in poaching in surrounding parks and reserves was recently undertaken. `We managed to arrest some, but most of them escaped,` he said.

Reached for comments, Rukwa Region Police Commander Germanus Mponguliana admitted that poaching activities had been taking place in both Ugalla Game Reserve and Katavi National Parks.

However, he declined to go into details, saying the police were not directly involved in anti-poaching activities, and did so only when requested by either TANAPA or the anti-poaching unit.

`In collaboration with other authorities, we once seized 10 elephant carcasses, and also impounded 80 kgs of elephant meat last year,` he said.

Chris Timbuka, the Head of Katavi National Park told this paper in another interview: `We have few cases here whereby refugees from Katumba undertake poaching in the park. We sometimes manage to arrest them, but it becomes difficult to hold them responsible once they are sent to court,` he said.

He said most of the suspects were granted bail by the courts and thereafter disappeared because they did not have permanent residences.

Confirmed reports that were published a fortnight ago by this newspaper revealed that refugees based in Mpanda District were poaching at will in the Ugalla National Reserve.

Addressing a news conference in Tabora, the Ugalla Wildlife Reserve Assistant Manager, Elijah Kazungu, said an estimated 80 per cent of poaching activities in the said area were being conducted by refugees from neighbouring countries, particularly Burundi.

Elaborating, he said 171 poachers were involved in 110 wildlife hunting cases in the reserve which was established in 1965.

`The poaching is done on immense scale. These people are applying war-like methods,` he said.

He said the poachers were using heavy guns infiltrated into the country through Lake Tanganyika.

Kazungu said that the matter was further complicated by lack of reliable infrastructure in both Ugalla and Katavi reserves, especially during the rainy seasons.

Investigations carried out by PST have revealed that poachers use bicycles to transport their loot to Lake Tanganyika from where it is ferried to Burundi and other neighbouring countries.

The Ugalla Reserve, which stretches into Urambo and Sikonge Districts in Tabora Region and parts of Mpanda District in Rukwa Region, has attracted poachers from neighbouring countries.

Lack of required personnel and equipment is partly blamed for the existence of the problem.

SOURCE: Guardian
 
Back
Top Bottom