BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,507
- 11,883
Nipo na mdogo wangu ni dereva katika taasisi ya serikali iliyo chini ya waziri Omari Nundu anaendesha suzuki vitara,anasema wakienda DT Dobie kwa ajili kufanya service ya Air Condition tuu huwa wanalipa Tshs 7million!!nimesikitika sana wakati huo huo xray ya hospital ya mwananyamala imeharibika spear ya sh 3m hakuna pesa wanasema wanasubiri bajeti ya mwaka 2012/13.Jee magari kama hayo yapo mangapi serikalini yenye kula pesa za wala jasho?