Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,949
- 4,444
Hii imenikuta juzi hapa hapa nilipata kidosho toka Iringa nikapiga sound mtoto akaingia laini tukapeana promise siku tuonane siku ya siku ikafika mzee mzima nimeulamba nikakutana na kidosho basi nikawa natafuta kiwanja mulua cha kupoa nae mtoto wa kihehe nikapata kiota mulua naingia tu nakuta kiti akatokea mzee mmoja wa makamu sana akanishika mkono akaniuliza huyu kwako nani kabla sijajibu akashika mkono wa kidosho akamuuliza huyu nani wako akasema ndugu yangu mm nikawa mdogo pale pale yule mzee nikamwangalia ni babu yangu kumwangalia binti ni 21yrs dingi akaaanza kukoloma huyu ni mke wangu nimegaramia kutoka Iringa mpaka hapa wewe unajibebea kiulani ikabidi watu waingilie kati wakajua mm na uhusiano na mwanafunzi kuja kusikia maelezo ya babu yule akasema mke wake. Nilichoka nikaishiwa pumnzi pale pale.
Watu nao pale wakachoka ikabidi waanze kumzomea mzee yule ooof FATAKI huyoo.
Watu nao pale wakachoka ikabidi waanze kumzomea mzee yule ooof FATAKI huyoo.