Jinsi mwalimu wa sekondari ('O' na 'A' Level) anavyo weza kujiongezea kipato.

Prime Dynamics

JF-Expert Member
Dec 30, 2010
551
249
Kutokana na mabadiliko ya dunia, walimu pia mnatakiwa kubadilisha mbinu ya kufanya kazi. Tuition sidhani kama inawalipa jinsi mnavyo dhamiria.
Kwa upande wangu mimi nashauri hivi;
Kwa mfano, kama wewe ni mwalimu wa Economics au somo lolote, kutokana na syllabus inayotakiwa nchini unaweza kutoa DVD yenye kuelezea topics za somo lako. Inakuwa kama vile unavyo fundisha darasani. Pia unaweza kutoa CD ya notice instead of a pamphlet.
Pia njia nyingine ni to solve a number of past papers through DVD.
(usiwaze kuhusu kuchakachuliwa let it be a by the way case)
Kwakufanya hivyo utaweza kuwa fikia walengwa kwa njia safi. Kwa wale wasio na access ya computer or DVD player, shule husika zenye upungufu wa walimu will have to do the necessary na kwa taratibu they will adapt to the situation.
Lakini wewe mtoa DVD na CD kipato chako kitakua kimeongezeka.
Naomba kuwakilisha.
 
mkuu,hongera sana kwa hizi business ideas.nadhani njia nyingine ni ku-publish vitabu kabisa.hata dvd nadhani kuna copy protection?nilikutana na doc moja mtandaoni hai-kopiki kabisaa until unawasiliana na publisher...
 
kwa shule zipi jamani!!!!????

eh! labda kina SENTI................

LAKINI wengi wetu zaidi ya 80% tunafundisha kule kwenye KIDUMU NA UFAGIO yaani kidumu cha maji na ufagio wa chelewa au majani ya porini..... kompyuta hata hata hatujui zikoje
 
hivi umeshawahi kuona tangazo la Haki Elimu la "students hii ndio komputa" mwalimu amechora komputa ubaoni,darasa halina madawati,no umeme,paa lime ezekwa nusu

soma ktk hii linki halafu utajua mazingira ya elimu Tanzania

https://www.jamiiforums.com/habari-...azo-hili-la-haki-elimu-linamdhihaki-jk-2.html

Mkuu, mimi nadhani kwa njia ya kusambaza elimu kupitia njia mbali mbali kutokana na mabadiliko ya dunia, i think wakati utafika hata hizo shule ambazo hazina vifaa vinavyo takiwa zitalazimika kuanavyo either kwa kupitia wizara husika au michango ya wazazi. Kuprint kitabu ni gharama sana na pia usambazaji pia nao uko na gharama zake. Lakini DVD au CD gharma yake haiwezi kuwa sawa na kitabu. hii inaweza kuongeza ushindani katika elimu. Sometimes inakuwa ngumu kukwepa mabadiliko ya technology.
 
Back
Top Bottom