Jinsi mashoga wanavyopigwa vita Uganda

Ab-Titchaz

JF-Expert Member
Jan 30, 2008
14,631
4,225
Huyu mchungaji anachekesha kweli.Either ni kozimeni au anashiriki haya maswala.
Tazama mwenyewe....:A S 39: :A S 39: :A S 39:

 
Last edited by a moderator:
hahhaha kakazana na puuu puuu zake,nakubaliana na wewe amejuaje haya kama sio mshiriki?:twitch:
 
Nimecheka mpaka nimekufa jamaa wanavyoelezea huo uchafu. Waganda nimewavulia kofia: wanaongea yote kwa uwazi na kwa lugha ya moja kwa moja bila kumung'unya maneno. Dah! Nimecheka sana.
 
Nimecheka mpaka nimekufa jamaa wanavyoelezea huo uchafu. Waganda nimewavulia kofia: wanaongea yote kwa uwazi na kwa lugha ya moja kwa moja bila kumung'unya maneno. Dah! Nimecheka sana.
huwezi kuleta uhariri, kwenye maovu ni lazima uwe wazi nahicho ndicho kilichowasaidia sana hata kwenye vita dhidi ya ukimwi utagundua kuwa matangazo yao na yetu ni tofauti sana
 
kusema ukweli, nampongeza sana kwa kupiga vita huu uchafu wa sodoma na gomora...lakini na doubt vile anavyofanya practical ya vitu...kwasababu anafanya watu waone kama yeye ni expert wa kuangalia pono...kitu ambacho ni kibaya sana. unajua, kile kinachoijaza akili yako, is what is going to make who you are, ukiwa unajaza pono muda wote, utakuwa addicted na pono na kuna uwezekano mkubwa kupractice vitu vya mle,,,ukiwa unaangalia sana mapono ya mahomosexuals, kuna uwezekano mkubwa pepo la pono likakuingia,,,kwasababu Mungu hawezi kukaa na mwangalia pono..ukiwa unajaza Neno la Mungu sana, upako wa Mungu utakuwa mwingi kwako...alichotakiwa kufanya hapo, sio kwenda kukaa kwenye meli ya kivita ya adui na kuanza kuwarushia risasi, alitakiwa akae mbali ndo arushe risasi zake..that means, angepigana vita vya kiroho zaidi...

hao mahomosexual hata uwaeleze vipi hawaji kuacha, labda uende kwa nguvu za rohoni ndo ukivunja kila kitu, udhihirisho utatokea kwenye ulimwengu wa roho...angekazana kuwafundisha watu koroho zaidi, kuchukua mapono na kutazamisha watu, ndo kesho yake wote hao watakuwa kwenye net wanatafuta hayo mapicha..na haileti matunda bora kuliko vile angefanya kwa mahubiri ya Neno halisi la Mungu...

unajua, hakuna kitu chenye nguvu kama Neno la Mungu aliye hai...linapita hekima zote, linapita busara ya wasomi na kila kitu..Neno la Mungu ni nyundo ivunjayo mawe vipandevipande, linaweza kugawanya nafsi na roho, lina choma ni kama moto...hasa likichanganywa na nguvu za Roho Mtakatifu lina kuwa na nguvu sana hata homosexual akisikia, linambadilisha siku hiyohiyo...

lakini ukiwa unaongea maneno yako ya kawaida tu yasiyo na upako wa nguvu za Roho hakika hayana impact yoyote...so angeenda kiroho zaidi kuliko kimwili, pamoja na kwamba, kwa kufanya hivyo, kuna faida fulani watu wanapata na pengine huo mswada ulifanikiwa kupita kwasababu yake...Mungu ambariki hakika..
 
these morons have no any undestanding about gays or lesbians,wanafikiri its all about sex ndio life yao,anachoeleza morons wenzake ni norm hata kwa heterosexual lakini wao wanafikiri only gays ndio wana practice sodom,wafiraji wakubwa ni hao hao mapadre na hao waumini wao/swala tano/walokole wanaojiita straight,kama kuchomwa moto kutokana na sodom basi zaidi ya nusu ya wabongo tena wengi ndani ya ndoa ndio wanawafira wake zao kila kukicha mpaka imekuwa kawaida na mpaka imekwenda mainstrean na majina kama TIGO or Kisamvu cha kopo etc,nawaonea huruma sana mashoga jinsi wanavyonyanyaswa na hawa morons wasiojua kitu...just leave them alone!
 
unajua, hakuna kitu chenye nguvu kama Neno la Mungu aliye hai...linapita hekima zote, linapita busara ya wasomi na kila kitu..Neno la Mungu ni nyundo ivunjayo mawe vipandevipande, linaweza kugawanya nafsi na roho, lina choma ni kama moto...hasa likichanganywa na nguvu za Roho Mtakatifu lina kuwa na nguvu sana hata homosexual akisikia, linambadilisha siku hiyohiyo...

lakini ukiwa unaongea maneno yako ya kawaida tu yasiyo na upako wa nguvu za Roho hakika hayana impact yoyote...so angeenda kiroho zaidi kuliko kimwili, pamoja na kwamba, kwa kufanya hivyo, kuna faida fulani watu wanapata na pengine huo mswada ulifanikiwa kupita kwasababu yake...Mungu ambariki hakika..

....this only demonstrates ignorance!
 
I can understand if a person preaches against homosexuality, I mean everyone is entitled to their opinion on the matter but really now showing pictures and videos of homosexuals having sex is just ridiculous, degrading and low, very low in fact, people have sex whether they are gay, straight, transvestite or whatever, it is very natural, it is something people do in private (with the exception of porn stars) and should not be so publicly shown like some World Cup match. . .

Clearly Ugandan preachers are insane if this is what they have resorted to in their campaign against homosexuality, who said being gay was all about sex in the first place??? Are they out of their bloody ignorant minds??? May I remind people that heterosexuals also perform some rather disgusting and despicable sexual acts behind closed doors?? There is a poopoo load of shit straight people do, from sadism and masochism to bestiality, pedophilia, incest, voyeurism among other numerous taboo sexual practices.

And besides what the fxck ever happened to love and romance and all that jazz?? Isn't that the whole point of a relationship with a person?? Are gay people fighting for rights to have sex???

Even from a humanitarian point of view this is just wrong.
 
these morons have no any undestanding about gays or lesbians,wanafikiri its all about sex ndio life yao,anachoeleza morons wenzake ni norm hata kwa heterosexual lakini wao wanafikiri only gays ndio wana practice sodom,wafiraji wakubwa ni hao hao mapadre na hao waumini wao/swala tano/walokole wanaojiita straight,kama kuchomwa moto kutokana na sodom basi zaidi ya nusu ya wabongo tena wengi ndani ya ndoa ndio wanawafira wake zao kila kukicha mpaka imekuwa kawaida na mpaka imekwenda mainstrean na majina kama TIGO or Kisamvu cha kopo etc,nawaonea huruma sana mashoga jinsi wanavyonyanyaswa na hawa morons wasiojua kitu...just leave them alone!

wewe unaongea kama lishoga lenyewe, unakera kusikiliza, hebu chukua time! we ndo moron wa kwanza unatetea uchafu, huna maana.
 
WoW!!! Uneffing believable...It has taken another turn all together. Apart from being disgusting this video is hilarious.
 
That guy is no preacher. He has obviously seen what he is saying: whether on screen or reality. Though i wholly think that all that crap is irrelevant. I mean, you can't discourage young people to avoid being gay while all you do is make a PUBLIC ADVERT, you'll obviously trigger interest in many young minds to do research to know if what you are saying is what actually happens. He acts like he has never been a youth. If its about teaching, he should do it in a manner that clearly shows that really these practices are wrong.
He's disgusting, I give him five credits for managing to ruin my cheerful mood.
 
If i did not know for sure I would have thought that it was a third rate comedy.
The question is, was it really necessary for him to be so graphic? I would have prfered to remain blissfully unaware of what the so called gay men do. I wonder what he had to say about gay women or Lesbos so to speak?
Kept on thinking about that poopoo thing... lunch was a rumour after that.

Come back Jesus!!!
 
Nimecheka kweli mana hiyo pupu na insert the hand wamekomalia..Huyo pasta atakuwa ni mwangaliaji mzuri wa hizo video za homo mana anaelezea kama ana uzoefu kweli kweli..
Eti they lick like icecream,whooh!!
 
this is so fvcking hillurious!!!!!!!! poooo pooooo!!!! omg!!!!! :pound::pound::pound::pound::pound::pound::pound::pound::pound::pound::pound:

on a serious note. WTF MAN??? y is it this preacher's business what anyone does in the privacy of their house???
 
In reality I do hate the act of homosexuality, complitely especial on vurnerable young kids nasisimkwa ni mwili :embarrassed:
Pepo shindwa in the name of Jesus
 
Huku niliko naambiwa 'this content has been blocked for viewing in your country'. All the better 'cause just by reading the comments here I can already imagine just how graphically these reproachable acts were being demonstrated at this 'meeting of religious leaders'!
 
Back
Top Bottom