Jinsi Lowassa alivyojichomeka sherehe za RC Ifakara na kumchefua kardinali Pengo

Mimi ni Mkatoliki, kutokana na heshima kwa dhehebu langu sio busara kuujadili humu usafi wa Kanisa Katoliki ila kutaka kumtenga EL kwa kisingizio si msafi hakina mashiko. Kwani Masiya alikuja kwa ajili ya waliopotea na wasio wakamilifu. Nimebahatika kufika mpaka Rome na kuishuhudia lile dungu la dhahabu pale juu kwenye ule mduara, si wengi wanajua hìlo dungu lilitoka wapi na lilipatikanaje mpaka kufika hapo!. Sio wengi wanawajua the realy funders wa Vatican!. EL anauchafu gani wa kuwa despised na Kanisa Katoliki!. Tatizo la kanisa letu, the right men ni kwao ni Wakatoliki tuu kama alivyokuwa Julius, akaja Beninyamini na sasa wanampigia chapuo Berinado au Wilibodi!. Kwa vile EL ni Mlutheri, huyo kwao sio!.
Malaria Sugu na FaizaFoxy wame hijack akili zako??
 
EL ni mtu wa pupa na asiye aibu. Huku ndiyo namna kuusaka urais? Kuhonga halafu kupanda jukwaani kama vile alivyofanya Atumeru?

Ktk Baraza la Idd Alhaj alihonga baadhi ya masheikh wa Bakwata ili kupata mwaliko! Stori ya hii kashfa itatoka karibuni ktk gazeti moja.

EL ana pupa sana kuwa ikulu.
 
Mimi ni Mkatoliki, kutokana na heshima kwa dhehebu langu sio busara kuujadili humu usafi wa Kanisa Katoliki ila kutaka kumtenga EL kwa kisingizio si msafi hakina mashiko. Kwani Masiya alikuja kwa ajili ya waliopotea na wasio wakamilifu. Nimebahatika kufika mpaka Rome na kuishuhudia lile dungu la dhahabu pale juu kwenye ule mduara, si wengi wanajua hìlo dungu lilitoka wapi na lilipatikanaje mpaka kufika hapo!. Sio wengi wanawajua the realy funders wa Vatican!. EL anauchafu gani wa kuwa despised na Kanisa Katoliki!. Tatizo la kanisa letu, the right men ni kwao ni Wakatoliki tuu kama alivyokuwa Julius, akaja Beninyamini na sasa wanampigia chapuo Berinado au Wilibodi!. Kwa vile EL ni Mlutheri, huyo kwao sio!.
i doubt kama unaweza ku-differentiate kati ya imani ya kanisa na imani ya mtu mmoja mmoja, kufika rome hakukufanyi ujue mambo ya kanisa..walichosema ni kwamba protokali haikufuatwa, and who is lowassa?ni kiongozi wa serikali?alikuwa mgini rasmi? he is just an MP na hiyo makes no difference!!!!!!
 
Mkanganyiko upo wapi mkuu? Pengo amesema pLuwasa alijialika. Hakuna mahali ilipoandikwa Kanisa limesema Luwasa alijialika. Sasa wewe ulitaka iweje?

Sawa mkuu kwa hiyo hiyo kauli ni ya pengo kama pengo na wala si tamko la kanisa katoliki kwa kuwa pengo si msemaji wa kanisa katoliki
 
jamani EL sio mkatoliki. Ni Mlutheri? alifikaje Ifakara. Na kama alipewa mwaliko alipewa kama nani?
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Naomba niliweke sawa hili na ieleweke kuwa msemaji mkuu wa Kanisa katoliki Tanzania ni Mwenyekiti wa TEC kwa sasa Mhashamu askofu Ruwaichi ambaye pia ni Askofu mkuu wa Mwanza. Hii ni kwa mujibu wa sheria za Kanisa(Canon Law). Pengo kazi yake ni kushauri Papa(Baba Mtakatifu huko Rome) na si vinginevyo. Cheo cha kiutendaji alicho nacho hapa nchini ni Askofu Mkuu wa Jimbo la DSM. Ukardinali haumpi mamlaka ya kuwa msemaji mkuu wa Kanisa katoliki Tanzania hata mara mmoja. Hivyo kisheria kama kweli amesema maneno hayo basi hayo yanabaki kuwa maoni na mtazamo wake binfsi. Huu siyo matazama wala maoni ya Kanisa Katoliki Tanzania. Jamii ya watanzania inatakiwa kuzipuuza kauli nyingi zilizojaa utata na ubaguzi anazotoa Kardinali Pengo.Hayo yanabaki kuwa maoni yake binafsi kama Pengo.

Siku ya tukio;

Askofu Mkuu Ruwaichi alikuwepo.
Askofu Ruwaichi alitoa hotuba.
Askofu Ruwaichi aliwakaribisha watu wote, bila kauli yoyote ya ubaguzi kama anayosema Pengo.

Note well:-Kardinali Pengo asiingilie kazi ya mwenyekiti wa TEC.
-Kardinali Pengo aache uroho wa madaraka, hana Locus Standi katika hili.
-Kardinali Pengo ana ubabe wa kizamani ambao umepitwa na wakati.
-Kardinali Pengo anapenda kujikweza kana kwamba yeye ndo MUNGU wa watanzania.
Neno la MUNGu: Yesu Kristo yeye mwenyewe alisema: "Sikuja kwaajili ya wenye haki, bali wenye dhambi".Yesu Kristo alikula na wadhambi, alishirikiana na wadhambi bila yeye kuwa na dhambi.

OMBI
: Naomba nimkumbushe Pengo kuwa anapotoa kauli zake ajue kuku yeye ni mchungaji wa wema na wabaya. Ajue kuwa Mungu anawapenda watu wote bila ubaguzi.Hii ni aibu kwa mtu msomi wa Teolojia kama Pengo kukurupuka na kuanza kuropoka hovyohovyo namna hii.Atambue kuwa Raisi ndiyo kiongozi mkuu wa nchi, hivyo inastahili heshima zake. Pengo aache kuropoka ropoka hovyo hovyo kama mlevi.Mbona maaskofu wenzake wamekaa kimya? Yeye ni nani?
 
Naomba niliweke sawa hili na ieleweke kuwa msemaji mkuu wa Kanisa katoliki Tanzania ni Mwenyekiti wa TEC kwa sasa Mhashamu askofu Ruwaichi ambaye pia ni Askofu mkuu wa Mwanza. Hii ni kwa mujibu wa sheria za Kanisa(Canon Law). Pengo kazi yake ni kushauri Papa(Baba Mtakatifu huko Rome) na si vinginevyo. Cheo cha kiutendaji alicho nacho hapa nchini ni Askofu Mkuu wa Jimbo la DSM. Ukardinali haumpi mamlaka ya kuwa msemaji mkuu wa Kanisa katoliki Tanzania hata mara mmoja. Hivyo kisheria kama kweli amesema maneno hayo basi hayo yanabaki kuwa maoni na mtazamo wake binfsi. Huu siyo matazama wala maoni ya Kanisa Katoliki Tanzania. Jamii ya watanzania inatakiwa kuzipuuza kauli nyingi zilizojaa utata na ubaguzi anazotoa Kardinali Pengo.Hayo yanabaki kuwa maoni yake binafsi kama Pengo.

Siku ya tukio;

Askofu Mkuu Ruwaichi alikuwepo.
Askofu Ruwaichi alitoa hotuba.
Askofu Ruwaichi aliwakaribisha watu wote, bila kauli yoyote ya ubaguzi kama anayosema Pengo.

Note well:-Kardinali Pengo asiingilie kazi ya mwenyekiti wa TEC.
-Kardinali Pengo aache uroho wa madaraka, hana Locus Standi katika hili.
-Kardinali Pengo ana ubabe wa kizamani ambao umepitwa na wakati.
-Kardinali Pengo anapenda kujikweza kana kwamba yeye ndo MUNGU wa watanzania.
Neno la MUNGu: Yesu Kristo yeye mwenyewe alisema: "Sikuja kwaajili ya wenye haki, bali wenye dhambi".Yesu Kristo alikula na wadhambi, alishirikiana na wadhambi bila yeye kuwa na dhambi.

OMBI
: Naomba nimkumbushe Pengo kuwa anapotoa kauli zake ajue kuku yeye ni mchungaji wa wema na wabaya. Ajue kuwa Mungu anawapenda watu wote bila ubaguzi.Hii ni aibu kwa mtu msomi wa Teolojia kama Pengo kukurupuka na kuanza kuropoka hovyohovyo namna hii.Atambue kuwa Raisi ndiyo kiongozi mkuu wa nchi, hivyo inastahili heshima zake. Pengo aache kuropoka ropoka hovyo hovyo kama mlevi.Mbona maaskofu wenzake wamekaa kimya? Yeye ni nani?

Jamani kanisa ndio mmefika huku,yani zaili shairi heshima ya kanisa na viongozi inaonekana kama NDOTO!!Siamiami maneno ya moma,hakika Kanisa lapaswa kutafakari safari yake ya kitume ndani ya Tanzania kwa miaka mitano ijayo na miaka hamsini ijayo ndani ya Taifa hili, hakika inasikitisha sana.
 
@Pasco
Kanisa halibagui nani anaenda kanisani, na wala halijamuhukumu Lowasa! Kanisa lina taratibu zake na si kila mtu anapata jukwaa la kuzungumza. Lowasa angekaa kama muumini mwingine sidhani kama Pengo angesema!

Again kwenda Rome sio kigezo cha kuufahamu ukatoliki, ila HONGERA kwa kufika Vatican, personaly nimeshanote kuwa umefika Vatican!
 
Mimi ni Mkatoliki, kutokana na heshima kwa dhehebu langu sio busara kuujadili humu usafi wa Kanisa Katoliki ila kutaka kumtenga EL kwa kisingizio si msafi hakina mashiko. Kwani Masiya alikuja kwa ajili ya waliopotea na wasio wakamilifu. Nimebahatika kufika mpaka Rome na kuishuhudia lile dungu la dhahabu pale juu kwenye ule mduara, si wengi wanajua hìlo dungu lilitoka wapi na lilipatikanaje mpaka kufika hapo!. Sio wengi wanawajua the realy funders wa Vatican!. EL anauchafu gani wa kuwa despised na Kanisa Katoliki!. Tatizo la kanisa letu, the right men ni kwao ni Wakatoliki tuu kama alivyokuwa Julius, akaja Beninyamini na sasa wanampigia chapuo Berinado au Wilibodi!. Kwa vile EL ni Mlutheri, huyo kwao sio!.

Unataka kusema watu wanaompinga Lowassa ni wakatoliki tu? Kwamba KKKT yote inamkubali? Anglican yote inamkubali? Waislam wote wanamkubali? Na kama kanisa katoliki linampigia debe Wilibodi (nadhani unamaanisha Dr.Slaa) kwa nini wasimualike kwenye harambee za kanisa ili wamnadi vizuri? Na kama Lowassa hatakiwi na kanisa kwanini anajipeleka kwenye shughuli za hilo kanisa?

Mtazamo wangu: Hapa si Lowassa wala kanisa wanaweza kujiosha. Matukio ya kuunganisha pande hizi mbili yameanza kuongezeka siku hizi za karibuni. Ni bahati mbaya?
 
huo ni unafki, kwani lowasa mara ya kwnza kualikwa harambee ya kanisa katoliki! kuhusu yeye kualikwa harambee ilikua inajulikana kitambo kidogo na ilishapangwa aongee! RC hana uwezo wa kuvunja protokali
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Hao wanaoitwa mafisadi ndio wachangiaji wakubwa wa Kanisa katoliki! Afu at the same time kanisa linajinadi kukemea mafisadi, picha gani inajengeka! UNAFIKI MTUPU!
 
Lowasa anawapa kiwewe kwa kweli maana hata jambo lenyewe limetokea muda mrefu ndio mnajibu leo......ina maana wakati wanapambana na ya Edward ya wiki tatu zilizopita na kujibu leo itakuwa Edward yuko mbele yenu kimkakati kwa mwezi mzima......hakamatiki.
 
naomba niliweke sawa hili na ieleweke kuwa msemaji mkuu wa kanisa katoliki tanzania ni mwenyekiti wa tec kwa sasa mhashamu askofu ruwaichi ambaye pia ni askofu mkuu wa mwanza. Hii ni kwa mujibu wa sheria za kanisa(canon law). Pengo kazi yake ni kushauri papa(baba mtakatifu huko rome) na si vinginevyo. Cheo cha kiutendaji alicho nacho hapa nchini ni askofu mkuu wa jimbo la dsm. Ukardinali haumpi mamlaka ya kuwa msemaji mkuu wa kanisa katoliki tanzania hata mara mmoja. Hivyo kisheria kama kweli amesema maneno hayo basi hayo yanabaki kuwa maoni na mtazamo wake binfsi. Huu siyo matazama wala maoni ya kanisa katoliki tanzania. Jamii ya watanzania inatakiwa kuzipuuza kauli nyingi zilizojaa utata na ubaguzi anazotoa kardinali pengo.hayo yanabaki kuwa maoni yake binafsi kama pengo.

siku ya tukio;

askofu mkuu ruwaichi alikuwepo.
Askofu ruwaichi alitoa hotuba.
Askofu ruwaichi aliwakaribisha watu wote, bila kauli yoyote ya ubaguzi kama anayosema pengo.

note well:-kardinali pengo asiingilie kazi ya mwenyekiti wa tec.
-kardinali pengo aache uroho wa madaraka, hana locus standi katika hili.
-kardinali pengo ana ubabe wa kizamani ambao umepitwa na wakati.
-kardinali pengo anapenda kujikweza kana kwamba yeye ndo mungu wa watanzania.
neno la mungu: yesu kristo yeye mwenyewe alisema: "sikuja kwaajili ya wenye haki, bali wenye dhambi".yesu kristo alikula na wadhambi, alishirikiana na wadhambi bila yeye kuwa na dhambi.

ombi
: Naomba nimkumbushe pengo kuwa anapotoa kauli zake ajue kuku yeye ni mchungaji wa wema na wabaya. Ajue kuwa mungu anawapenda watu wote bila ubaguzi.hii ni aibu kwa mtu msomi wa teolojia kama pengo kukurupuka na kuanza kuropoka hovyohovyo namna hii.atambue kuwa raisi ndiyo kiongozi mkuu wa nchi, hivyo inastahili heshima zake. Pengo aache kuropoka ropoka hovyo hovyo kama mlevi.mbona maaskofu wenzake wamekaa kimya? Yeye ni nani?
wewae ndo unaropoka ovyo kumtukana kardinali kwa kigezo cha kufahamu cano law. Alichosema mwadhama kardinali ni kukiukwa kwa protocal, ujue yeye ni askofu mkuu wa dar es salam, majimbo ya ifakara, lindi, mtwara, morogoro, yapo kwenye arch diocese ya dsm ambayo pengo ndo msemaji wake. Askofu mkuu ruwaichi kimamalaka ni askofu mkuu wa mwanza, linapokuja swala la dayosisi zilizoko dsm kama ifakara pengo ni bosi, penda usipende. Alichokasirika pengo ni ukikwaji wa protokali uliofanywa makusudi labda kwa harufu ya rushwa! Ulitaka yeye kama askofu mkuu akae kimyaa.? Lowasa anaweza kuwanunua nyie wote hasa wewe lakini hawezi kutununua sisi wote! Pili kardinali hajamtenga lowasa ndo maana alimruhusu ainie kwenye ibada. Ambacho kardinali, wewe na mimi hatukitaki ni lowasa kutumia madhabahu takatifu kama jukwaa lake la siasa kujisafisha, kamwe hilo halikubaliki, anajua vema mahali anapostahili kujisafisha hilo halina mashaka.
Kuhusu yesu kuja kwa ajili ya wenye dhambi ni kweli, tena kwa ajili ya watu kama lowasa, kwa kuwa watu hawa wanahubiri kuhusu ubora wa maji wakati wao wanakunywa divai. Wanakunwa kijanja na ukosefu wa ajira, ukosefu waliosababisha baada ya ujambazi kama vile richmond. Hakuna kiongozi wa dini atakayekubali kukumbatia watu hawa. Ushauri wangu ni kuwa nunua hiyo nakala ya kiongozi utamwelewa zaidi mhashamu askofu pengo
 
Mimi ni Mkatoliki, kutokana na heshima kwa dhehebu langu sio busara kuujadili humu usafi wa Kanisa Katoliki ila kutaka kumtenga EL kwa kisingizio si msafi hakina mashiko. Kwani Masiya alikuja kwa ajili ya waliopotea na wasio wakamilifu. Nimebahatika kufika mpaka Rome na kuishuhudia lile dungu la dhahabu pale juu kwenye ule mduara, si wengi wanajua hìlo dungu lilitoka wapi na lilipatikanaje mpaka kufika hapo!. Sio wengi wanawajua the realy funders wa Vatican!. EL anauchafu gani wa kuwa despised na Kanisa Katoliki!. Tatizo la kanisa letu, the right men ni kwao ni Wakatoliki tuu kama alivyokuwa Julius, akaja Beninyamini na sasa wanampigia chapuo Berinado au Wilibodi!. Kwa vile EL ni Mlutheri, huyo kwao sio!.

Mkuu hakuna cha maana ulichokiandika hapa
 
wewae ndo unaropoka ovyo kumtukana kardinali kwa kigezo cha kufahamu cano law. Alichosema mwadhama kardinali ni kukiukwa kwa protocal, ujue yeye ni askofu mkuu wa dar es salam, majimbo ya ifakara, lindi, mtwara, morogoro, yapo kwenye arch diocese ya dsm ambayo pengo ndo msemaji wake. Askofu mkuu ruwaichi kimamalaka ni askofu mkuu wa mwanza, linapokuja swala la dayosisi zilizoko dsm kama ifakara pengo ni bosi, penda usipende. Alichokasirika pengo ni ukikwaji wa protokali uliofanywa makusudi labda kwa harufu ya rushwa! Ulitaka yeye kama askofu mkuu akae kimyaa.? Lowasa anaweza kuwanunua nyie wote hasa wewe lakini hawezi kutununua sisi wote! Pili kardinali hajamtenga lowasa ndo maana alimruhusu ainie kwenye ibada. Ambacho kardinali, wewe na mimi hatukitaki ni lowasa kutumia madhabahu takatifu kama jukwaa lake la siasa kujisafisha, kamwe hilo halikubaliki, anajua vema mahali anapostahili kujisafisha hilo halina mashaka.
Kuhusu yesu kuja kwa ajili ya wenye dhambi ni kweli, tena kwa ajili ya watu kama lowasa, kwa kuwa watu hawa wanahubiri kuhusu ubora wa maji wakati wao wanakunywa divai. Wanakunwa kijanja na ukosefu wa ajira, ukosefu waliosababisha baada ya ujambazi kama vile richmond. Hakuna kiongozi wa dini atakayekubali kukumbatia watu hawa. Ushauri wangu ni kuwa nunua hiyo nakala ya kiongozi utamwelewa zaidi mhashamu askofu pengo

sina cha kuongeza, umemaliza kila kitu mkuu. Kudos!
 
Naomba niliweke sawa hili na ieleweke kuwa msemaji mkuu wa Kanisa katoliki Tanzania ni Mwenyekiti wa TEC kwa sasa Mhashamu askofu Ruwaichi ambaye pia ni Askofu mkuu wa Mwanza. Hii ni kwa mujibu wa sheria za Kanisa(Canon Law). Pengo kazi yake ni kushauri Papa(Baba Mtakatifu huko Rome) na si vinginevyo. Cheo cha kiutendaji alicho nacho hapa nchini ni Askofu Mkuu wa Jimbo la DSM. Ukardinali haumpi mamlaka ya kuwa msemaji mkuu wa Kanisa katoliki Tanzania hata mara mmoja. Hivyo kisheria kama kweli amesema maneno hayo basi hayo yanabaki kuwa maoni na mtazamo wake binfsi. Huu siyo matazama wala maoni ya Kanisa Katoliki Tanzania. Jamii ya watanzania inatakiwa kuzipuuza kauli nyingi zilizojaa utata na ubaguzi anazotoa Kardinali Pengo.Hayo yanabaki kuwa maoni yake binafsi kama Pengo.

Siku ya tukio;

Askofu Mkuu Ruwaichi alikuwepo.
Askofu Ruwaichi alitoa hotuba.
Askofu Ruwaichi aliwakaribisha watu wote, bila kauli yoyote ya ubaguzi kama anayosema Pengo.

Note well:-Kardinali Pengo asiingilie kazi ya mwenyekiti wa TEC.
-Kardinali Pengo aache uroho wa madaraka, hana Locus Standi katika hili.
-Kardinali Pengo ana ubabe wa kizamani ambao umepitwa na wakati.
-Kardinali Pengo anapenda kujikweza kana kwamba yeye ndo MUNGU wa watanzania.
Neno la MUNGu: Yesu Kristo yeye mwenyewe alisema: "Sikuja kwaajili ya wenye haki, bali wenye dhambi".Yesu Kristo alikula na wadhambi, alishirikiana na wadhambi bila yeye kuwa na dhambi.

OMBI
: Naomba nimkumbushe Pengo kuwa anapotoa kauli zake ajue kuku yeye ni mchungaji wa wema na wabaya. Ajue kuwa Mungu anawapenda watu wote bila ubaguzi.Hii ni aibu kwa mtu msomi wa Teolojia kama Pengo kukurupuka na kuanza kuropoka hovyohovyo namna hii.Atambue kuwa Raisi ndiyo kiongozi mkuu wa nchi, hivyo inastahili heshima zake. Pengo aache kuropoka ropoka hovyo hovyo kama mlevi.Mbona maaskofu wenzake wamekaa kimya? Yeye ni nani?
weka pembeni ushabiki wa urais kwa EL hata kama bahasha zake zinakufikia,haya ni mambo ya imani katoliki,Lowasa hataupata urais kwa giliba hata siku moja kama anavyofanya,kwanza siku ili alitaka kucheza mchezo wa kulazimisha kupiga picha na kardinali pengo,ili muweke JFkama ishara ya kukubalika kwake na kanisa katoliki.
 
moma2k;3599224]Naomba niliweke sawa hili na ieleweke kuwa msemaji mkuu wa Kanisa katoliki Tanzania ni Mwenyekiti wa TEC kwa sasa Mhashamu askofu Ruwaichi ambaye pia ni Askofu mkuu wa Mwanza. Hii ni kwa mujibu wa sheria za Kanisa(Canon Law). Pengo kazi yake ni kushauri Papa(Baba Mtakatifu huko Rome) na si vinginevyo. Cheo cha kiutendaji alicho nacho hapa nchini ni Askofu Mkuu wa Jimbo la DSM. Ukardinali haumpi mamlaka ya kuwa msemaji mkuu wa Kanisa katoliki Tanzania hata mara mmoja. Hivyo kisheria kama kweli amesema maneno hayo basi hayo yanabaki kuwa maoni na mtazamo wake binfsi. Huu siyo matazama wala maoni ya Kanisa Katoliki Tanzania. Jamii ya watanzania inatakiwa kuzipuuza kauli nyingi zilizojaa utata na ubaguzi anazotoa Kardinali Pengo.Hayo yanabaki kuwa maoni yake binafsi kama Pengo.
hapo kwenye red mkuu utata upi?kwani ukweli ndio utata, na ubaguzi unaousema unatokana na wewe kutokuelewa!!!
Siku ya tukio;
Askofu Mkuu Ruwaichi alikuwepo.
Askofu Ruwaichi alitoa hotuba.
Askofu Ruwaichi aliwakaribisha watu wote, bila kauli yoyote ya ubaguzi kama anayosema Pengo.
hapo mkuu umechemka au niseme hujaelewa mada, kuwakaribisha aliwakaribisha akasema atakaye jisikia kuonge au kutoa hotuba anakaribishwa?
Note well:-Kardinali Pengo asiingilie kazi ya mwenyekiti wa TEC.
-Kardinali Pengo aache uroho wa madaraka, hana Locus Standi katika hili.
-Kardinali Pengo ana ubabe wa kizamani ambao umepitwa na wakati.
-Kardinali Pengo anapenda kujikweza kana kwamba yeye ndo MUNGU wa watanzania.
nachoona hapa ni chuki binafsi dhidi ya pengo, misimamo ya pengo kuhusu imani na mambo mengine, kama kufuatwa kwa utaratibu hana uroho wa madaraka, kama ni hivyo basi na mapadre waache kuongelea mambo ya kanisa-watakuwa na uroho wa madaraka? unafikiri ukadinari unagawiwa kama pipi? ubabe wake ofcourse unatokana na msimamo wake...kwa asili kanisa lina ubabe..hakuna demokrasia kanisani la sivyo mtatulete habari za mapadre wawe wanapigiwa kura
Neno la MUNGu: Yesu Kristo yeye mwenyewe alisema: "Sikuja kwaajili ya wenye haki, bali wenye dhambi".Yesu Kristo alikula na wadhambi, alishirikiana na wadhambi bila yeye kuwa na dhambi.
hapa mkuu pia uko 'chaka' hakuna aliyesema lowassa mdhambi na hivi atengwe, utaratibu ufuatwe, simple!!! yeye alikuwa nai pale? kwa hiyo kama wenye dhambi tunakaribishwa ndio tuwe kimberembere, yesu pia alisema ^8"Kama mtu akikualika arusini, usiketi mahali pa heshima isije ikawa
amealikwa mwingine mheshimiwa kuliko wewe; ^9na mwenyeji wenu ninyi wawili atakuja na kukwambia: `Mwachie huyu nafasi.` Hapo utaaibika mbele ya wote na kulazimika kwenda kuchukua nafasi ya mwisho. ^10Bali ukialikwa kwenye karamu, keti mahali pa mwisho, ili mwenyeji wako atakapokuja akwambie: `Rafiki, njoo hapa mbele, mahali pazuri zaidi.` Hapo utakuwa umeheshimika mbele ya wote wanaoketi pamoja nawe. ^11Kwa maana yeyote anayejikweza atashushwa, na anayejishusha, atakwezwa."

OMBI
: Naomba nimkumbushe Pengo kuwa anapotoa kauli zake ajue kuku yeye ni mchungaji wa wema na wabaya. Ajue kuwa Mungu anawapenda watu wote bila ubaguzi.Hii ni aibu kwa mtu msomi wa Teolojia kama Pengo kukurupuka na kuanza kuropoka hovyohovyo namna hii.Atambue kuwa Raisi ndiyo kiongozi mkuu wa nchi, hivyo inastahili heshima zake. Pengo aache kuropoka ropoka hovyo hovyo kama mlevi.Mbona maaskofu wenzake wamekaa kimya? Yeye ni nani?
wewe mwenyewe kusema hayo maneno hujafikiria, then fikiria kuna roho ngapi zingekata tamaa/zilikata tamaa EL aliporuhusiwa kuongea? hizo roho ni worthless kulinganisha na huyo lowassa?
my take;kweli watu wataforsake imani kwa ajili ya siasa na saa yaja nayo imefika lowassa atakuwa juu ya imani zenu nanyi mtamwabudu huyo
 
Back
Top Bottom