siWA baRAFU
Member
- Apr 27, 2008
- 33
- 0
Samahani hapo sijawapata sawa sawa..Bwana Karamagi ana siku mbili za kuwasilisha nini bungeni?Ufafanuzi kidoogo...Mzee Karamagi ana siku kama mbili bungeni.
tafadhali..
Samahani hapo sijawapata sawa sawa..Bwana Karamagi ana siku mbili za kuwasilisha nini bungeni?Ufafanuzi kidoogo...Mzee Karamagi ana siku kama mbili bungeni.
Akaanza,
akajitahidi...
gia kubwa..
Mwanachama mwenzake..
Have a good weekend!! listen to Bongoradio on Sunday, we might have something from Dar for you.
M. M.
NB: Picha zote original kwa hisani ya Khamis Athumani.
jamii nyingi zimepitia hatua mbalimbali kufikia mafanikio,hatua zingine ni mbaya,jaribu kusoma historia ya nchi zilizoendelea utaona.Kwa sasa hapa kwetu akina Nazir,el,ra,bwm, jk na wengine ndio wanatupitisha ili tufikie mafanikio.Kikubwa kwetu sisi tufunue kila jiwe.
Akaanza,
akajitahidi...
gia kubwa..
Mwanachama mwenzake..
Have a good weekend!! listen to Bongoradio on Sunday, we might have something from Dar for you.
M. M.
NB: Picha zote original kwa hisani ya Khamis Athumani.