Kwanza niombe samahani kwa yeyote atakayekwazika na yalioandikwa au yatakayoandikwa kuhusiana na thread hii.
Nimekuwa nikisikia lawama zikitolewa kwa msimamizi wa mgonjwa pindi mgonjwa anapofariki na kutofunga macho, kufunga mdomo, n.k, binafsi yangu sijui jinsi ya kukabiliana na changamoto hozi ikiwa kama zitanitokea. Elimu kama hii haipo kwa wengi kutokana labda na ukubwa wa tatizo.
Elimu ni muhimu hata kama itauma, kukumbusha au kusababisha machungu kwa baadhi ya watu. Naomba kuwakilisha.
Nimekuwa nikisikia lawama zikitolewa kwa msimamizi wa mgonjwa pindi mgonjwa anapofariki na kutofunga macho, kufunga mdomo, n.k, binafsi yangu sijui jinsi ya kukabiliana na changamoto hozi ikiwa kama zitanitokea. Elimu kama hii haipo kwa wengi kutokana labda na ukubwa wa tatizo.
Elimu ni muhimu hata kama itauma, kukumbusha au kusababisha machungu kwa baadhi ya watu. Naomba kuwakilisha.