Kalunguine JF-Expert Member Jul 27, 2010 2,543 134 May 5, 2012 #1 nmenunua line mpya ya airtel, tayari nmeshaisajiri ila nikitaka nnunua internet bundle inakataa? nifanye nini kusolve hili tatizo?
nmenunua line mpya ya airtel, tayari nmeshaisajiri ila nikitaka nnunua internet bundle inakataa? nifanye nini kusolve hili tatizo?
NingaR JF-Expert Member Apr 15, 2012 2,759 590 May 5, 2012 #2 tuma internet kwenda 15444 hakikisha una zaidi ya Tsh. 2,500/=
N Nzowa Godat JF-Expert Member Jun 15, 2011 2,783 819 May 5, 2012 #3 Andika neno ALL then tuma kwenda 232 for being configured.
Kaa la Moto JF-Expert Member Apr 24, 2008 7,903 1,053 May 5, 2012 #4 Weka line yako (simcard) ndani ya simu yako ya mkononi kisha andika *154*44# kisha piga, chagua lugha, endelea kufuata maelekezo.......ili ununue kifurushi,......utafanikiwa tu.
Weka line yako (simcard) ndani ya simu yako ya mkononi kisha andika *154*44# kisha piga, chagua lugha, endelea kufuata maelekezo.......ili ununue kifurushi,......utafanikiwa tu.