jinsi gani nta-bargain mshahara?

Kalunguine

JF-Expert Member
Jul 27, 2010
2,543
134
Katika sehemu nliyojishikiza, sasa wameniambia wataniajiri! Hofu yangu ni jinsi gani nta-bargain hata kufikia kiwango nachokihitaji mimi! Kwa waliowahi pitia hili naomba msaada wenu!
 
Back
Top Bottom