Jinsi gani naweza kuuza business ideas/marketing ideas?

Hakikisha kama una idea unaiandikisha brela ili kama kuna mtu amekuchakachua uwezekumshitaki klwasababu utakuwa na haki ya umiliki wa hiyo idea

Mkuu, idea huwa haiandikishwi BRELA. Hawa wanahusika na kusajili na kutoa vibali, km jina lao lilivyo "Business Registration and Licensing Agency". Hiyo idea ya mleta mada inahusiana na haki miliki (copyright), na wahusika wakuu ni mwenye idea na COSOTA. Hawa COSOTA ni watoa ushahidi tu mahakamani, km mwenye idea akiwatumia idea yake ili kutengeneza ushahidi unapohitajika. Nashangaa sana kuwasikia maofisa wa COSOTA wakiingia mitaani eti kusaka kazi zinazoibwa wakati hii ni kazi ya wasanii wenyewe!!

Punde hivi nitaandika ushauri wangu kwa mleta mada na kwa wengine.
 
Huu ni ushauri wangu niliowaahidi. Km una idea yoyote, hakikisha kwanza unaiweka ktk maandishi. Pili, usimuonesha mtu yeyote idea yako, au hata kumuelezea. Tatu, Weka idea yako iliyo ktk maandishi na michoro (km ipo) ktk bahasha, na juu uandike anwani yako kisha ukaitume posta; yaani kwa maneno mengine, ujitumie au uji-postie, km tulivyozoea kusema. Ukienda kufungua sanduku lako la barua baada ya siku kadhaa, angalia km tarehe ktk muhuri wa posta (iliyo juu ya stempu) inaonekana vizuri. Km tarehe inaonekana vizuri, basi itunze hiyo bahasha vizuri -- USIIFUNGUE. Hapo unaweza sasa kuwatumia COSOTA nakala za idea yako.

OOOFF!! Nitaendelea baada ya punde.
 
Naendelea ...

Hapo utakuwa una mashahidi wanne: tarehe iliyoko juu ya stempu, bahasha ambayo haijafunguliwa, nyaraka zilizo ndani ya bahasha, na COSOTA. Inawezekana kuwa kuna mtu mwenye idea km yako na amefuata utaratibu km wako au unaofanana na wako -- Hiyo ni bahati mbaya km yeye alikutangulia, hata kwa siku moja -- COINCIDENCES DO HAPPEN!

Nina ka-experience khs masuala haya. Nitaendelea, mkinihitaji kufanya hivyo.
 
kama una rekodi ya barua na tarehe za ushahidi waku tosha ni idea yako kwanini huwapeleki mahakamani.

Obviously wanakesi ya kujibu idea wameitoa wapi; hata kama itakua ni kesi ya kwanza someone has to start protecting their ideas especially kwa wewe ambae unaona hupo robbed so far.

You're right, but something is missing here. What if na wezi wakighushi tarehe za nyuma zaidi ya ile ya kwako? Angalia maelezo yangu hapo juu.
 
Mkuu mimi nazani inategemea na Aidea na ni ya nini, Aidea zinafanana sana Duniani na wanacho fanya watu no copy and Aditing na pest,

Mfano Mvumbuzi wa magari Dunuani ni mmoja tu HENRY FORD, LAKINI BAADAE WATU KIBAO WALIANZA KUTENGENEZA MAGARI KWA AIDEA YA HENRY FORD ILA WAKAWA WANAKUJA NA MAJINA YAO,

- Angalieni mfano wa simu kuti ni kilekile ila wanacheza na majina na feature chache tu

-Ukiingia kwenye website ya BID NETWORK kuna Aidea za kufa mtu mle na ziko open kila mtu anasoma na mtu unaweza chukua ukaedit kidogo na kufanyia kazi,

- Kwa dunia ya sasa watu wamekuwa wajanja sana wanacheza na vitu vichache tu, cheki mfano wa sabuni za unga zote zinafanana ila wanacheza na majina tu,

- Ukiangalia hata mvumbuzi wa Ndege alikua ni mmoja tu but leo hii kuna nchi kibao na makampuni kibao yanatengeneza ndege kwa aidea ile ile ya mvumbuzi wa kwanza angalia BOENG NA AR BUS zinafanana kila kitu isipo kuwa majina tu,

- Na kwa Tanzania yetu hii kuuza Aidea ni swala gumu sana mtu atakuja anataka aidea utamueleza aidea yako then atajifanya haitaki na baadae ataenda kuifanyia kazi na atabadilisha vitu vichache tu na itaonekana ni mpya hata kama umesajiri ya kwako kuna vitu vitatofautiona hivyo kuonekana hajaiba wazo lako, kumbe ukweli ni wazo lako,

- NA Hii iko hata kwa wazungu huko, cheki hata makampuni ya vifaa vya kijeshi wanajitahidi sana kuficha baadhi ya feature za product ili wengine wasiende kutengeneza the same,

- Ingekuwa ni hivyo China angekwisha shitakiwa sana, china ana kopy ana edit na kupest, na ukisha edit tu umemaliza kazi, mfano wewe umeiba teknolojia ya magari ya right hand wewe ukaedit ukatengeneza ya left hand umemaliza kila kitu hapo,
 
Mkuu mimi nazani inategemea na Aidea na ni ya nini, Aidea zinafanana sana Duniani na wanacho fanya watu no copy and Aditing na pest,

Mfano Mvumbuzi wa magari Dunuani ni mmoja tu HENRY FORD, LAKINI BAADAE WATU KIBAO WALIANZA KUTENGENEZA MAGARI KWA AIDEA YA HENRY FORD ILA WAKAWA WANAKUJA NA MAJINA YAO,

- Angalieni mfano wa simu kuti ni kilekile ila wanacheza na majina na feature chache tu

-Ukiingia kwenye website ya BID NETWORK kuna Aidea za kufa mtu mle na ziko open kila mtu anasoma na mtu unaweza chukua ukaedit kidogo na kufanyia kazi,

- Kwa dunia ya sasa watu wamekuwa wajanja sana wanacheza na vitu vichache tu, cheki mfano wa sabuni za unga zote zinafanana ila wanacheza na majina tu,

- Ukiangalia hata mvumbuzi wa Ndege alikua ni mmoja tu but leo hii kuna nchi kibao na makampuni kibao yanatengeneza ndege kwa aidea ile ile ya mvumbuzi wa kwanza angalia BOENG NA AR BUS zinafanana kila kitu isipo kuwa majina tu,

- Na kwa Tanzania yetu hii kuuza Aidea ni swala gumu sana mtu atakuja anataka aidea utamueleza aidea yako then atajifanya haitaki na baadae ataenda kuifanyia kazi na atabadilisha vitu vichache tu na itaonekana ni mpya hata kama umesajiri ya kwako kuna vitu vitatofautiona hivyo kuonekana hajaiba wazo lako, kumbe ukweli ni wazo lako,

- NA Hii iko hata kwa wazungu huko, cheki hata makampuni ya vifaa vya kijeshi wanajitahidi sana kuficha baadhi ya feature za product ili wengine wasiende kutengeneza the same,

- Ingekuwa ni hivyo China angekwisha shitakiwa sana, china ana kopy ana edit na kupest, na ukisha edit tu umemaliza kazi, mfano wewe umeiba teknolojia ya magari ya right hand wewe ukaedit ukatengeneza ya left hand umemaliza kila kitu hapo,
Sasa unachofanya wewe ni kukatisha tamaa... Unaangalia na unaelezea kitu kwenye angle moja. Hujaribu kusogea kwenye angle nyingine pengine utaona ki-tofauti. Binadamu wangekuwa wanaangalia vitu kama wewe kusingekuwepo na maendelea haya tunayoyaona sasa. Ni hivi: pamoja na magumu yoooote unayoyaona wewe lakini bado watu wanaweza kulinda ideas/ubunifu wao. Hayo unayoelezea ni changamoto ambalo halikosekani katika maisha yeu ya kila siku..... na bado yanakuwa na majibu.
 
Mkuu, idea huwa haiandikishwi BRELA. Hawa wanahusika na kusajili na kutoa vibali, km jina lao lilivyo "Business Registration and Licensing Agency". Hiyo idea ya mleta mada inahusiana na haki miliki (copyright), na wahusika wakuu ni mwenye idea na COSOTA. Hawa COSOTA ni watoa ushahidi tu mahakamani, km mwenye idea akiwatumia idea yake ili kutengeneza ushahidi unapohitajika. Nashangaa sana kuwasikia maofisa wa COSOTA wakiingia mitaani eti kusaka kazi zinazoibwa wakati hii ni kazi ya wasanii wenyewe!!

Punde hivi nitaandika ushauri wangu kwa mleta mada na kwa wengine.

masahihisho kidogo. copyright (haki miliki) haionyeshi haki ya idea wala hailindi "idea". hii ni kwa nchi zote duniani.
kinacholindwa ni "expression of idea". sasa hapa ndio pana shida. fuatilia kesi ya madai aliyokabiliwa nayo dan brown mwandishi wa "da vinci code". huyu alishitakiwa na akina michael baigent na wenzake ambao waliandika kitabu cha "the messianic legacy" (kama sikosei), ambao walidai dan brown kawaibia "idea" yao. hawa jamaa walishindwa kesi.
 
Habari wadau wa forum,

naomba kujua nawezaje kuuza ideas?
je ni lazima niwe kwenye registered company or agency?

maana ilishatokea nikaandika PROPOSAL ya kuhusu TV show na kupeleka TBC but mwisho wa siku sikupata any feedback na kibaya zaidi wanaitumia idea yangu,kuna kipindi kipya kinachoshika umaarufu kwa kasi,its my idea.

nilivyofuatilia kwa mtangazaji mmoja ambaye nina ukaribu nae akaniambia ukweli kwamba kama haipo registered ni UMELIWA.
ndo hivyo wadau naomba ushauri.
Yes kiongozi unaweza uza tena kwa pesa ndefu.Peleka pale k,koo sokoni shimoni mida ya alfajiri,kuna madalali mule ndani watakusaidia?idea yenyewe ni gunia ngapi mkuu?mie nipe gunia 10,pls nipe bei yako.......teh teh teh.
Nipotezee!
 
Mkuu mimi nazani inategemea na Aidea na ni ya nini, Aidea zinafanana sana Duniani na wanacho fanya watu no copy and Aditing na pest,

Mfano Mvumbuzi wa magari Dunuani ni mmoja tu HENRY FORD, LAKINI BAADAE WATU KIBAO WALIANZA KUTENGENEZA MAGARI KWA AIDEA YA HENRY FORD ILA WAKAWA WANAKUJA NA MAJINA YAO,

- Angalieni mfano wa simu kuti ni kilekile ila wanacheza na majina na feature chache tu

-Ukiingia kwenye website ya BID NETWORK kuna Aidea za kufa mtu mle na ziko open kila mtu anasoma na mtu unaweza chukua ukaedit kidogo na kufanyia kazi,

- Kwa dunia ya sasa watu wamekuwa wajanja sana wanacheza na vitu vichache tu, cheki mfano wa sabuni za unga zote zinafanana ila wanacheza na majina tu,

- Ukiangalia hata mvumbuzi wa Ndege alikua ni mmoja tu but leo hii kuna nchi kibao na makampuni kibao yanatengeneza ndege kwa aidea ile ile ya mvumbuzi wa kwanza angalia BOENG NA AR BUS zinafanana kila kitu isipo kuwa majina tu,

- Na kwa Tanzania yetu hii kuuza Aidea ni swala gumu sana mtu atakuja anataka aidea utamueleza aidea yako then atajifanya haitaki na baadae ataenda kuifanyia kazi na atabadilisha vitu vichache tu na itaonekana ni mpya hata kama umesajiri ya kwako kuna vitu vitatofautiona hivyo kuonekana hajaiba wazo lako, kumbe ukweli ni wazo lako,

- NA Hii iko hata kwa wazungu huko, cheki hata makampuni ya vifaa vya kijeshi wanajitahidi sana kuficha baadhi ya feature za product ili wengine wasiende kutengeneza the same,

- Ingekuwa ni hivyo China angekwisha shitakiwa sana, china ana kopy ana edit na kupest, na ukisha edit tu umemaliza kazi, mfano wewe umeiba teknolojia ya magari ya right hand wewe ukaedit ukatengeneza ya left hand umemaliza kila kitu hapo,

komandoo, naona hapa umejumuisha vitu vingi pamoja. vitu hivi vinalindwa na sheria mbalimbali, mfano
- invention (uvumbuzi (?)) hii inalindwa na patents na ina muda maalum (nchi nyingi ni miaka ishirini) na
baada ya hapo invention hiyo inaingia kwenye kitu kinaitwa "public domain" ambapo mtu yeyote anaweza kuiga bila kuingia matatani kisheria. kwa urahisi angalia madawa. ulinzi wa asprin na madawa mengineyo yanayotowa tiba inayolingana na tiba ya asprin. madawa haya kiujumla yanaitwa "generic medicine".
- muundo (industrial designs) hii inalindwa na kitu inaitwa "industrial designs" na muda wake wa ulinzi ni mfupi nadhani ni kati ya miaka 7-10. ndio maana siku hizi ukiangalia miundo ya magari mengi yanafana yaani ukiona baadhi ya merc-benz na baadhi ya toyota kwa nyuma unaweza changanya.
- usanii: kazi nyingi za wasanii zinalindwa na haki miliki (copyright and related rights). hapa inategemea lakini ulinzi wa copyright ni uhai wa mwenye haki miliki na miaka 70 (kama sikosei) baada ya kifo chake. ngoma wanayopata wasanii kulinda haki zao naamini wengi tumeisikia.

hapa sijagusia, alama za biashara (trademarks na service marks), siri ya biashara (trade secrets etc).

sasa mtu unapojadili jinsi gani haki za wenzetu zinapotea na jinsi wanavyoweza kusidiwa ni vyema tukaujua mchakato huu. la mwisho nalo ni muhimu pia ni ukweli wa mahusiano ya kimataifa kibiashara, kisiasa na kiuchumi. ndio maana pamoja na wamarekani kulalamika sana kuhusu wachina lakini bado wanapeleka investment kibao huko uchina.

shukurani
 
Habari wadau wa forum,

naomba kujua nawezaje kuuza ideas?
je ni lazima niwe kwenye registered company or agency?

maana ilishatokea nikaandika PROPOSAL ya kuhusu TV show na kupeleka TBC but mwisho wa siku sikupata any feedback na kibaya zaidi wanaitumia idea yangu,kuna kipindi kipya kinachoshika umaarufu kwa kasi,its my idea.

nilivyofuatilia kwa mtangazaji mmoja ambaye nina ukaribu nae akaniambia ukweli kwamba kama haipo registered ni UMELIWA.
ndo hivyo wadau naomba ushauri.
Yes kiongozi unaweza uza tena kwa pesa ndefu.Peleka pale k,koo sokoni shimoni mida ya alfajiri,kuna madalali mule ndani watakusaidia.idea yenyewe ni gunia ngapi mkuu?mie nipe gunia 10,pls nipe bei yako.......teh teh teh.
Nipotezee!
 
Yes kiongozi unaweza uza tena kwa pesa ndefu.Peleka pale k,koo sokoni shimoni mida ya alfajiri,kuna madalali mule ndani watakusaidia.idea yenyewe ni gunia ngapi mkuu?mie nipe gunia 10,pls nipe bei yako.......teh teh teh.
Nipotezee!
Yule demu wako mjeda wa musoma amekuvutisha bangi la chooni nini?lol
 
masahihisho kidogo. copyright (haki miliki) haionyeshi haki ya idea wala hailindi "idea". hii ni kwa nchi zote duniani.
kinacholindwa ni "expression of idea". sasa hapa ndio pana shida. fuatilia kesi ya madai aliyokabiliwa nayo dan brown mwandishi wa "da vinci code". huyu alishitakiwa na akina michael baigent na wenzake ambao waliandika kitabu cha "the messianic legacy" (kama sikosei), ambao walidai dan brown kawaibia "idea" yao. hawa jamaa walishindwa kesi.

Asante, Mkuu, kwa sahihisho! Unalozungumzia ni suala la "idea–expression divide or idea–expression dichotomy" ambalo ni la kisheria zaidi. Hata hivyo, mimi sijaandika khs kinacholindwa kwa sababu hata siijui "idea" ya mleta mada, na kwahiyo sijui amei-express vipi ila najua kuwa "idea expression" unayoizungumzia ni lazima iwe ktk maandishi ili iweze kulindika, na ndio maana nimezungumzia suala la nyaraka. Pamoja na yote, nimefurahishwa na maelezo yako kwani yatawafumbua macho wengi kipi wanachopaswa kukitetea.
 
Huu ni ushauri wangu niliowaahidi. Km una idea yoyote, hakikisha kwanza unaiweka ktk maandishi. Pili, usimuonesha mtu yeyote idea yako, au hata kumuelezea. Tatu, Weka idea yako iliyo ktk maandishi na michoro (km ipo) ktk bahasha, na juu uandike anwani yako kisha ukaitume posta; yaani kwa maneno mengine, ujitumie au uji-postie, km tulivyozoea kusema. Ukienda kufungua sanduku lako la barua baada ya siku kadhaa, angalia km tarehe ktk muhuri wa posta (iliyo juu ya stempu) inaonekana vizuri. Km tarehe inaonekana vizuri, basi itunze hiyo bahasha vizuri -- USIIFUNGUE. Hapo unaweza sasa kuwatumia COSOTA nakala za idea yako.

OOOFF!! Nitaendelea baada ya punde.

hii ndiyo sababu najiona mwenye bahati kujiunga JF.
Mkuu asante kwa kutokua mchoyo,hii itanisaidia sana,inanihusu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom