Naona mnatumia nguvu kubwa sana kumchafua zitto kwakuwa ni threat kwenu,katu njama zenu feki hazitofanikiwa,mmeona kijana kadhamilia kuongoza taifa hili mnaanza kuleta propaganda kwamba endapo akigombea kama mgombea binafsi basi kanunuliwa na ccm kugawa kura za cdm.
Tumewachoka na siasa zenu za majitaka,zitto atagombea by any means,na ndie rais ajae.
Hopeless.
You try to talk about slaa as a contestant of presidential position through chadema at the same time you act like you are not aware that mbowe also has mission to be a contestant of the same position,same year I mean 2015 through the same party!
Hopeless again.
Zitto must win the battle!
Hii ni hadithi ya kijinga tu isiyo na maana.
Naomba niseme, mimi ni mwanafunzi wa historia. Kamwe siwezi kuifanya historia inihukumu kwa mabaya. Siwezi kuwa sababu ya Taifa letu kushindwa kuandika historia mpya ya kuiondoa madarakani CCM iliyochoka na kutufukarisha. Historia ya maisha yangu imeandikwa kwa harakati za mageuzi na ndio maana sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote zaidi ya CHADEMA. Wakati vijana wasomi wengine walikwenda kutafuta mkate makazini au kwenye vyama vingine vya siasa vilivyokuwa vinang'ara wakati huo, mimi nilijiunga CHADEMA na kushiriki kukijenga mpaka hapa mnapokiona. Siwezi kufuta matumaini ya mabadiliko ya Watanzania.
Napenda ifahamike kuwa CHADEMA haina mgombea Urais wa mwaka 2015. Muda utakapofika taratibu za chama kupata mgombea zitatangazwa na tunaotaka kugombea tutajitokeza au tutaombwa na vikao vya chama.
Yeyote atakayeteuliwa na chama kupeperusha bendera ya chama chetu ndiye atakuwa mgombea wa chama chetu. Mimi binafsi nitamwunga mkono mgombea yeyote atakayepitishwa na chama. Kama CCM wanakuwa kama fisi kusubiri mkono udondoke wasahau. CHADEMA hatutogombana kwa sababu ya Urais. Kwangu mimi Urais sio an End. It is just a means to an end. Malengo haya haya niliyonayo yanaweza kutekelezwa na Rais Mbowe, Rais Mkuumbo, Rais Slaa au hata Rais Lissu. Uwezo na maarifa yangu siku zote nimeyaweka katika kuhakikisha Taifa letu linakuwa bora zaidi kiuchumi, kijamii na kisiasa. Urais ni dhamana tu ya kufikia malengo hayo.
Mada kama hizi badala ya kujenga chama zinabomoa kwa kupandikiza mbegu za chuki miongoni mwa viongozi. Mwandishi wa makala haya angetumia akili zake hizi kuandika mradi wa maendeleo ya kijiji ingesaidia sana badala ya kumwaga chuki na kuleta mfarakano.
Yeyote anayedhani kwamba ataivuruga CHADEMA kupitia kwa Zitto aandike maumivu. CHADEMA ni movement. Zitto ni sehemu ndogo sana ya CHADEMA kama ilivyo kwa mwanachma mwingine yeyote. Wengi tulioanza nao hatunao, na wengi tulionao sasa hatukuwa nao.
Zitto,Hii ni hadithi ya kijinga tu isiyo na maana.
Naomba niseme, mimi ni mwanafunzi wa historia. Kamwe siwezi kuifanya historia inihukumu kwa mabaya. Siwezi kuwa sababu ya Taifa letu kushindwa kuandika historia mpya ya kuiondoa madarakani CCM iliyochoka na kutufukarisha. Historia ya maisha yangu imeandikwa kwa harakati za mageuzi na ndio maana sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote zaidi ya CHADEMA. Wakati vijana wasomi wengine walikwenda kutafuta mkate makazini au kwenye vyama vingine vya siasa vilivyokuwa vinang'ara wakati huo, mimi nilijiunga CHADEMA na kushiriki kukijenga mpaka hapa mnapokiona. Siwezi kufuta matumaini ya mabadiliko ya Watanzania.
Napenda ifahamike kuwa CHADEMA haina mgombea Urais wa mwaka 2015. Muda utakapofika taratibu za chama kupata mgombea zitatangazwa na tunaotaka kugombea tutajitokeza au tutaombwa na vikao vya chama.
Yeyote atakayeteuliwa na chama kupeperusha bendera ya chama chetu ndiye atakuwa mgombea wa chama chetu. Mimi binafsi nitamwunga mkono mgombea yeyote atakayepitishwa na chama. Kama CCM wanakuwa kama fisi kusubiri mkono udondoke wasahau. CHADEMA hatutogombana kwa sababu ya Urais. Kwangu mimi Urais sio an End. It is just a means to an end. Malengo haya haya niliyonayo yanaweza kutekelezwa na Rais Mbowe, Rais Mkuumbo, Rais Slaa au hata Rais Lissu. Uwezo na maarifa yangu siku zote nimeyaweka katika kuhakikisha Taifa letu linakuwa bora zaidi kiuchumi, kijamii na kisiasa. Urais ni dhamana tu ya kufikia malengo hayo.
Mada kama hizi badala ya kujenga chama zinabomoa kwa kupandikiza mbegu za chuki miongoni mwa viongozi. Mwandishi wa makala haya angetumia akili zake hizi kuandika mradi wa maendeleo ya kijiji ingesaidia sana badala ya kumwaga chuki na kuleta mfarakano.
Yeyote anayedhani kwamba ataivuruga CHADEMA kupitia kwa Zitto aandike maumivu. CHADEMA ni movement. Zitto ni sehemu ndogo sana ya CHADEMA kama ilivyo kwa mwanachma mwingine yeyote. Wengi tulioanza nao hatunao, na wengi tulionao sasa hatukuwa nao.
Nashukuru kuwa Mheshimiwa Mbunge Zitto Zuberi Kabwe umekejua mwenyewe kujibu hii hoja. Na hili ndio hitimisho la hii mada. Na kwahakika mada hii imetimiza malengo.
Kwakuja hapa na kujibu hii hoja Zitto ameonyesha kuwa anasikiliza maoni ya wananchi na anayajali. He is one of us and he is amongst us-ni mwenzetu. Na kikubwa zaidi ni kwamba inaonyesha kuwa japokuwa jambo hili ni gumu kwake lakini Ndugu Zitto anajitahidi kwa nguvu sana kuwa muelewa, kujaribu kusoma alama za nyakati na matakwa ya wengi na kwamba yeye ni msikivu na mwenye busara.
This is what i really wanted out of this thread- CCM ni manyang'au na wazandiki na ni muhimu kuwaelewa, kuwang'amua na kujiandaa kukabiliana na unyang'au na uzandiki wao. Suala la kumshawishi Zitto aje kugombea na kugawanya kura in the future ndio lengo kuu la CCM kuruhusu mgombea binafsi (na pia kumruhusu Lowassa kugombea mambo yakiwa magumu NEC) kwa hivyo nimefurahi kwamba kila mtu (akiwemo Zitto) amepata ujumbe juu ya njama hizi za CCM na sasa we are in the same page katika harakati za kujiandaa kushinda kila njama ya CCM na kuipa CHADEMA ushindi.
Nafurahi kuwa Zitto amekuja na kuandika mwenyewe hapa (for the record) kuwa ataheshimu maamuzi ya chama na kumsupport yoyote atakayechaguliwa na chama (hata kama ni yeye mwenyewe). Nimeanzisha dialoge hii ili tuweze kusemezana na kutafakari pamoja jinsi ya kuendeleza mapambano zidi ya Marehemu CCM. Na nnafurahi kuwa hilo limefanikiwa.
Aksanteni sana wote kwa michango yenu. Tumesemezana, tumetafakari pamoja, tumebadilishana mawazo na tumejifunza pamoja leo tarehe 22 September, 2012. Mimi nimejifunza, wewe umejifunza, Zitto amejifunza, pamoja tumejifunza jisni ya kukabili kila njama ya CCM na jinsi ya kuihakikishia CHADEMA ushindi mwaka 2015. Hakika CHADEMA ni chama kilichokomaa! Kidumu Chama Cha CHADEMA.
Kwanza nani kakwambia dr slaa atagombea chadema?kaa usubili uongozi wa chadema ufanye uteuzi wa nani agombe kiti cha urahisi acha porojao,lazima ccm waondoke madarakani
Hii ni hadithi ya kijinga tu isiyo na maana.Naomba niseme, mimi ni mwanafunzi wa historia. Kamwe siwezi kuifanya historia inihukumu kwa mabaya. Siwezi kuwa sababu ya Taifa letu kushindwa kuandika historia mpya ya kuiondoa madarakani CCM iliyochoka na kutufukarisha. Historia ya maisha yangu imeandikwa kwa harakati za mageuzi na ndio maana sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote zaidi ya CHADEMA. Wakati vijana wasomi wengine walikwenda kutafuta mkate makazini au kwenye vyama vingine @@@@@ BIG UP ZANA ZA KILIMO. BAAMBILE BAKAE BAKIJUA MU KICHWA. historia ya nchi hii ni ndefu mdogo wangu. waloanzisha vuguvugu la kudai uhuru ni alina DOSSA,SKAY na wengi lkn mwisho wa siku kwa umoja wao wote wakakubaliana kumwita mwalimu toka pugu bila kujali dini wala upwani.wao walicchoshwa na kutawaliwa basi. swala la NYERERE katokea wapi ana dini gani haikua ajenda yao wazee wetu hao. sasa iweje leo tujadili UNYERERE ili hali zimwi linlotutafuna hatujaliondoa???? Nawaomba ndugu zangu tupeane mbinu za kuliondoa hili dudu ambalo sote limetuchosha.wamarekani walitupatia funzo. walichoshwa na utawala wa vita wa BUSH wakamua kwamba democrat hata wakiteua jiwe watalichagua.WAKUU TATIZO LETU SIIO ZITO WALA MBOWE AU SLAA. TATIZO LETU LILILO MBELE YETU NI CCM BHAAAAAAASIIIII
hahaaa,,,,uzuri wa kiswahili grammar yake, iko free sanaKula....? Au kura? Shule za kata au ?
Umejuaje mgombea wa CHADEMA atakuwa Slaa? au Zitto? Au yoyote? Acheni uchonganishi wenu nyie vibaraka wa magamba! CHADEMA haijapitisha mgombea wake bado, subirini acheni kiwewe!
Well said Mh. ZZK n wakati wakujenga CHADEMA wakat wa urais ukifika ndio 2jadili hayo
Hii ni hadithi ya kijinga tu isiyo na maana.
Naomba niseme, mimi ni mwanafunzi wa historia. Kamwe siwezi kuifanya historia inihukumu kwa mabaya. Siwezi kuwa sababu ya Taifa letu kushindwa kuandika historia mpya ya kuiondoa madarakani CCM iliyochoka na kutufukarisha. Historia ya maisha yangu imeandikwa kwa harakati za mageuzi na ndio maana sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote zaidi ya CHADEMA. Wakati vijana wasomi wengine walikwenda kutafuta mkate makazini au kwenye vyama vingine vya siasa vilivyokuwa vinang'ara wakati huo, mimi nilijiunga CHADEMA na kushiriki kukijenga mpaka hapa mnapokiona. Siwezi kufuta matumaini ya mabadiliko ya Watanzania.
Napenda ifahamike kuwa CHADEMA haina mgombea Urais wa mwaka 2015. Muda utakapofika taratibu za chama kupata mgombea zitatangazwa na tunaotaka kugombea tutajitokeza au tutaombwa na vikao vya chama.
Yeyote atakayeteuliwa na chama kupeperusha bendera ya chama chetu ndiye atakuwa mgombea wa chama chetu. Mimi binafsi nitamwunga mkono mgombea yeyote atakayepitishwa na chama. Kama CCM wanakuwa kama fisi kusubiri mkono udondoke wasahau. CHADEMA hatutogombana kwa sababu ya Urais. Kwangu mimi Urais sio an End. It is just a means to an end. Malengo haya haya niliyonayo yanaweza kutekelezwa na Rais Mbowe, Rais Mkuumbo, Rais Slaa au hata Rais Lissu. Uwezo na maarifa yangu siku zote nimeyaweka katika kuhakikisha Taifa letu linakuwa bora zaidi kiuchumi, kijamii na kisiasa. Urais ni dhamana tu ya kufikia malengo hayo.
Mada kama hizi badala ya kujenga chama zinabomoa kwa( kupandikiza mbegu za chuki )miongoni mwa viongozi. Mwandishi wa makala haya angetumia akili zake hizi kuandika mradi wa maendeleo ya kijiji ingesaidia sana badala ya kumwaga chuki na kuleta mfarakano.
Yeyote anayedhani kwamba ataivuruga CHADEMA kupitia kwa Zitto aandike maumivu. CHADEMA ni movement. Zitto ni sehemu ndogo sana ya CHADEMA kama ilivyo kwa mwanachma mwingine yeyote. Wengi tulioanza nao hatunao, na wengi tulionao sasa hatukuwa nao.
Whatever the case mgombea hatakuwa Zitto na yeyote atakayekuwa playboy bachelor Zitto atatumika kumuangusha.
Nashukuru kuwa Mheshimiwa Mbunge Zitto Zuberi Kabwe umekejua mwenyewe kujibu hii hoja. Na hili ndio hitimisho la hii mada. Na kwahakika mada hii imetimiza malengo.
Kwakuja hapa na kujibu hii hoja Zitto ameonyesha kuwa anasikiliza maoni ya wananchi na anayajali. He is one of us and he is amongst us-ni mwenzetu. Na kikubwa zaidi ni kwamba inaonyesha kuwa japokuwa jambo hili ni gumu kwake lakini Ndugu Zitto anajitahidi kwa nguvu sana kuwa muelewa, kujaribu kusoma alama za nyakati na matakwa ya wengi na kwamba yeye ni msikivu na mwenye busara.
This is what i really wanted out of this thread- CCM ni manyang'au na wazandiki na ni muhimu kuwaelewa, kuwang'amua na kujiandaa kukabiliana na unyang'au na uzandiki wao. Suala la kumshawishi Zitto aje kugombea na kugawanya kura in the future ndio lengo kuu la CCM kuruhusu mgombea binafsi (na pia kumruhusu Lowassa kugombea mambo yakiwa magumu NEC) kwa hivyo nimefurahi kwamba kila mtu (akiwemo Zitto) amepata ujumbe juu ya njama hizi za CCM na sasa we are in the same page katika harakati za kujiandaa kushinda kila njama ya CCM na kuipa CHADEMA ushindi.
Nafurahi kuwa Zitto amekuja na kuandika mwenyewe hapa (for the record) kuwa ataheshimu maamuzi ya chama na kumsupport yoyote atakayechaguliwa na chama (hata kama ni yeye mwenyewe). Nimeanzisha dialoge hii ili tuweze kusemezana na kutafakari pamoja jinsi ya kuendeleza mapambano zidi ya Marehemu CCM. Na nnafurahi kuwa hilo limefanikiwa bila kutukanana wala kudhihakiana.
Aksanteni sana wote kwa michango yenu. Tumesemezana, tumetafakari pamoja, tumebadilishana mawazo na tumejifunza pamoja leo tarehe 22 September, 2012. Mimi nimejifunza, wewe umejifunza, Zitto amejifunza, pamoja tumejifunza jinsi ya kukabili kila njama ya CCM na jinsi ya kuihakikishia CHADEMA ushindi mwaka 2015. Hakika CHADEMA ni chama kilichokomaa! Kidumu Chama Cha CHADEMA.