Anakua na kiburi,anajiona nae mkubwa,huwa anapenda kujipamba hasa akitumwa hata dukan tu,mavazi ya kitoto hataki tena anataka vinguo vya kuexpoz maungo yake,anapenda kukaa na wakubwa na kuckiliza story za kikubwa kwa ujumla anahakikisha anakua ktk hali ambayo kila mtu ajue yy co mtoto tena ameshakua!