Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,906
- 22,050
Hili nijini linalofanya kazi ya kukutenganisha wewe na bosi wako
jini hili huhakikisha kwa bosi unaonekana kama choo kikubwa
habath
hili ni jini msaidizi linakaa chooni bosi wako akienda chooni kila akijisaidia anasikia
kinyaa kukuona.unaposali kwa ajili ya shida za maofisini usiache kulikemea hilai jini kwa jina la yesu
taja majina unajua hata shetan anaogopa akisikia jina la yesu kinachofanya wengi awajui anatumia nini
kutuumiza ndiomaana nimeamua kuingia deep kuyachakachua huko yalipojificha ili kuponya roho za watu
kwa wale washika majini muda umeisha sasa zamu yenu damu ya yesu lazima iwaangamize iwateketeze tumechokwa
kuitwa watumwa kwenye ofisi zetu
jini hili huhakikisha kwa bosi unaonekana kama choo kikubwa
habath
hili ni jini msaidizi linakaa chooni bosi wako akienda chooni kila akijisaidia anasikia
kinyaa kukuona.unaposali kwa ajili ya shida za maofisini usiache kulikemea hilai jini kwa jina la yesu
taja majina unajua hata shetan anaogopa akisikia jina la yesu kinachofanya wengi awajui anatumia nini
kutuumiza ndiomaana nimeamua kuingia deep kuyachakachua huko yalipojificha ili kuponya roho za watu
kwa wale washika majini muda umeisha sasa zamu yenu damu ya yesu lazima iwaangamize iwateketeze tumechokwa
kuitwa watumwa kwenye ofisi zetu