Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,818
Mzee karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumbani kwenu
BABA: Hakuna kitu kama hicho
DOGO: Kweli baba kuna jini liko kwenye kabati lenu la nguo....Mzee kaingia ndani kamkuta
mkewe kalala kitandani kajifunika shuka gubigubi hadi kichwani. Kaenda kwenye kabati
kufungua mlango , akamkuta rafiki yake wa miaka mingi yuko uchi ndani ya kabati BABA: Aise unajua we **** sana, we rafiki yangu miaka yote hiyo halafu unamtisha
mwanangu eti wewe jini, hebu toka huko nenda kwenu kacheze michezo hiyo na
mwanao.
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumbani kwenu
BABA: Hakuna kitu kama hicho
DOGO: Kweli baba kuna jini liko kwenye kabati lenu la nguo....Mzee kaingia ndani kamkuta
mkewe kalala kitandani kajifunika shuka gubigubi hadi kichwani. Kaenda kwenye kabati
kufungua mlango , akamkuta rafiki yake wa miaka mingi yuko uchi ndani ya kabati BABA: Aise unajua we **** sana, we rafiki yangu miaka yote hiyo halafu unamtisha
mwanangu eti wewe jini, hebu toka huko nenda kwenu kacheze michezo hiyo na
mwanao.