Jini hili au

mtoa mada acha kutuzuga yaani umekutana na mtu unamjua halafu ujamuuliza mnajuana kivipi au ndio ulidata kuwa ndani ya Vogue? hii story kama tukikupandisha mahakamani ujitetee tunakushika uongo wallahi
 
Inawezekana ikawa ni jini. Maana majini yanauwezo wa kuvaa miili ili kutimiza adhma yao. Kwa sasa unasema hamshiriki tendo la ndoa lakini naona ndiko mnakoelekea. Nakushauri uende pale Tanganyika Parkers kuna kanisa linaitwa ufufuo na uzima. Hawa jamaa ni kiboko kwa mauzauza kama haya. It is a spitual problem and it has to be addressed as such. Kunywa pombe haitakusaidia, ni sawa na kuzima moto kwa petrol
 
We mjomba kastori kako kazuri japo ka uongo
Sasa wewe unatamani kuli-do jini m2 wangu....!!We noma!
We una kipaji cha kutunga films hebu watafute akina kanumba waigize itauzika balaa m2 wangu.
 
chipoyoyo kweli we chipoyoyo!!
:lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::pound::pound::pound::pound::pound::pound::pound:

Jamaa kama imekutouch flan hivi maana from no where na matusi juu! Its ok, ni mambo ya jamvini hayo!!!!

Ku-do nae sikumaanisha namtamani ila nilitaka kuweka picha halisi kuwa majini nielewayo mimi kuwa kama hilo ni jini story zinasema huwa likikutokea ndotoni ni lazima m-do.
Hivyo si kama nimelitamani au nataka ku-do nalo!!!!!!!!!!!!!
 
chipoyoyo kweli we chipoyoyo!!
:lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::pound::pound::pound::pound::pound::pound::pound:

Jamaa kama imekutouch flan hivi maana from no where na matusi juu! Its ok, ni mambo ya jamvini hayo!!!!

Ku-do nae sikumaanisha namtamani ila nilitaka kuweka picha halisi kuwa majini nielewayo mimi kama hilo ni jini story zinasema huwa likikutokea ndotoni ni lazima m-do.
Hivyo si kama nimelitamani au nataka ku-do nalo!!!!!!!!!!!!!
 
Mhemko tu umekuchanganyia na unamuwaza huyo demu uliyekutana nae kimahaba..siyo jini babu!!
 

mmh bwana we mbona unakitaidi sana kumpinga??????
ashakwambia demu alikuwa bombaaaaaaaaaaa we wabisha vp?
ilikuwa usiku wasema haikuwa usiku sana...........!!!!!!!
UYO ALIKUWA DADAKE SHEKHE YAHYA HUSSEIN U JUST GO N C HIM ATAKWAMBIA ALIPO .......AU kipindi cha magharibi nenda pale salenda bridge ukiwa unatazamia kusini mwa bahari afu anza kutamka jina ah kumbe ata jina huna basi anza kumvutia taswira then inama inuka km unafanya mazoezi ya mgongo vile uku ukiwa umevee suruali ya njano shati jekundu na viatu vya kijani hakikisha umejifunga mshipi wa chanikiwiti uku unatafuna karanga basi afta dk 5 utamwona uyooooooooooo anakuja safari hii atakuja na hummer then atakupa funguo na kukuelekeza pakwenda na usikatae atakapokuelekeza we uwe mtu wa ndiyoo,sawa
zingatia ushauri kwa matokeo bora na thabiti
byeeeeeeeeeeeeeee
 

mmh bwana we mbona unakitaidi sana kumpinga??????
ashakwambia demu alikuwa bombaaaaaaaaaaa we wabisha vp?
ilikuwa usiku wasema haikuwa usiku sana...........!!!!!!!
UYO ALIKUWA DADAKE SHEKHE YAHYA HUSSEIN U JUST GO N C HIM ATAKWAMBIA ALIPO .......AU kipindi cha magharibi nenda pale salenda bridge ukiwa unatazamia kusini mwa bahari afu anza kutamka jina ah kumbe ata jina huna basi anza kumvutia taswira then inama inuka km unafanya mazoezi ya mgongo vile uku ukiwa umevee suruali ya njano shati jekundu na viatu vya kijani hakikisha umejifunga mshipi wa chanikiwiti uku unatafuna karanga basi afta dk 5 utamwona uyooooooooooo anakuja safari hii atakuja na hummer then atakupa funguo na kukuelekeza pakwenda na usikatae atakapokuelekeza we uwe mtu wa ndiyoo,sawa
zingatia ushauri kwa matokeo bora na thabiti
byeeeeeeeeeeeeeee

taratibu wewe!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom