Jini hili au

Chipyopyo

Member
May 17, 2010
18
0
Ni Jini Jamani??!!!

Ni hivi, nilikuwa natoka kazini nimesimama stand ya daladala nikisubiri usafiri kwenda home, ilikuwa kama saa tatu hivi usiku as usual tulikuwa wengi stand hivyo sikuwa na wasi kabisa.

Ilipita Range Rover Sport ikasimama kwa mbele kidogo na stand na alishuka binti ambaye kiukweli sikumfahamu ila alionekana kunifahamu vyema kuanzia jina na mpaka ninapoishi. Nasema hivyo kwa sababu, aliposhuka kwenye gari alikuja direct kwangu na kulitaja jina langu sahihi na kuniambia twende nikupe lift kwa kuwa mie napita kwenu then naelekea kwangu.

Kwa respect aliyonionyesha nilishindwa kukataa ila nilimwambia nipo na rafiki yangu na akakubali twende naye.

Ila niwe mkweli Jamani! kuna wanawake wameumbwa jamani!! Huyu binti ni miongoni mwa walioumbwa vyema na Sir God!

Kwenye gari alikuwa peke yake na mimi na msela wangu huku nikiwa nimekaa siti ya mbele tukistorisha. Nilijaribu kumdodosa ye ni nani na kanijuaje, kieukweli kabisa sikupata kumfahamu na simfahamu mpaka leo.

Alinishusha kwangu na mshikaji wangu, ye akaenda zake na sijamuona tena mpaka leo.
TATIZO lilonikumba ni kwamba, karibu kila siku huyu binti namuota kila mara ndotoni na huwa hizi ndoto huja mfano wa live hivii na ni almoast 5th months sasa.

Ninavyomuota ni anakuja kwangu, hunisalimia, kunikumbatia na kunibusu kisha huondoka zake akitabasamu na ni siku moja nilimuota amekaa kwa muda mrefuu sana tukipiga story, believe or not ukiniuliza story zenyewe sikumbuki ila tulikuwa palepale kitandani kwangu.

Marafiki na jamaa zangu wananiambia ni jini mahaba kanipenda, lakini je mbona hatu`do` kama inavyosemekana kuwa jini mahaba akikupenda mna`do` mpaka unakonda na kuchoka ile mbaya??

Msaada wenu wana JF kwa anayeweza kufahamu hii situation maana nishaanza kuwa na hofu sasa na siku hizi namuota hata mchana nikisinzia na nikisema ninywe pombe ili nisimuote, huja amekasirika na kunifokea kwa nini nalewa.
 
Unalolote nawala huna hofu!!mwenyewe unatamani ku do sasa hapo hofu inatoka wapi??Angalia njaa zingine zinaponza!!kama ndo jini mahaba sas lenyewe linataka kukudo hupo tayari??wewe siunapenda m do??Subiri ndani ya week hii!!rudi apa jf nausiposema itakuwa 2x3!!:playball:
 
Unalolote nawala huna hofu!!mwenyewe unatamani ku do sasa hapo hofu inatoka wapi??Angalia njaa zingine zinaponza!!kama ndo jini mahaba sas lenyewe linataka kukudo hupo tayari??wewe siunapenda m do??Subiri ndani ya week hii!!rudi apa jf nausiposema itakuwa 2x3!!:playball:

May be.
 
Ni Jini Jamani??!!!

Ni hivi, nilikuwa natoka kazini nimesimama stand ya daladala nikisubiri usafiri kwenda home, ilikuwa kama saa tatu hivi usiku as usual tulikuwa wengi stand hivyo sikuwa na wasi kabisa.

Ilipita Range Rover Sport ikasimama kwa mbele kidogo na stand na alishuka binti ambaye kiukweli sikumfahamu ila alionekana kunifahamu vyema kuanzia jina na mpaka ninapoishi. Nasema hivyo kwa sababu, aliposhuka kwenye gari alikuja direct kwangu na kulitaja jina langu sahihi na kuniambia twende nikupe lift kwa kuwa mie napita kwenu then naelekea kwangu.

Kwa respect aliyonionyesha nilishindwa kukataa ila nilimwambia nipo na rafiki yangu na akakubali twende naye.

Ila niwe mkweli Jamani! kuna wanawake wameumbwa jamani!! Huyu binti ni miongoni mwa walioumbwa vyema na Sir God!

Kwenye gari alikuwa peke yake na mimi na msela wangu huku nikiwa nimekaa siti ya mbele tukistorisha. Nilijaribu kumdodosa ye ni nani na kanijuaje, kieukweli kabisa sikupata kumfahamu na simfahamu mpaka leo.

Alinishusha kwangu na mshikaji wangu, ye akaenda zake na sijamuona tena mpaka leo.
TATIZO lilonikumba ni kwamba, karibu kila siku huyu binti namuota kila mara ndotoni na huwa hizi ndoto huja mfano wa live hivii na ni almoast 5th months sasa.

Ninavyomuota ni anakuja kwangu, hunisalimia, kunikumbatia na kunibusu kisha huondoka zake akitabasamu na ni siku moja nilimuota amekaa kwa muda mrefuu sana tukipiga story, believe or not ukiniuliza story zenyewe sikumbuki ila tulikuwa palepale kitandani kwangu.

Marafiki na jamaa zangu wananiambia ni jini mahaba kanipenda, lakini je mbona hatu`do` kama inavyosemekana kuwa jini mahaba akikupenda mna`do` mpaka unakonda na kuchoka ile mbaya??

Msaada wenu wana JF kwa anayeweza kufahamu hii situation maana nishaanza kuwa na hofu sasa na siku hizi namuota hata mchana nikisinzia na nikisema ninywe pombe ili nisimuote, huja amekasirika na kunifokea kwa nini nalewa.
aaaahh mkuu vipi???acha kutuzuga mazee hiyo ni bongo film kwa jina inaitwa ''AISHA''.....hakuna ulichoficha ni hivohivo yyaaani sasa we watuzarau mkuubwa....au hay basi tufanye kweli nimekubali sasa vip wataka usaidiwe???????:lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol:
 
Hilo linaitwa jini SOFTWARE wala sio jini MAHABA.
Jini SOFTWARE linataka love story tu, ila Jini MAHABA mikasi kwa sana
 
Sali na ukemee kwa imani yako yote...! Atatoweka...! Otherwise, unatuzuga au nawe umetamani kuonja, lakini njaa hiyo itakupeleka baharini...!
 
Ni Jini Jamani??!!!

Ni hivi, nilikuwa natoka kazini nimesimama stand ya daladala nikisubiri usafiri kwenda home, ilikuwa kama saa tatu hivi usiku as usual tulikuwa wengi stand hivyo sikuwa na wasi kabisa.

Ilipita Range Rover Sport ikasimama kwa mbele kidogo na stand na alishuka binti ambaye kiukweli sikumfahamu ila alionekana kunifahamu vyema kuanzia jina na mpaka ninapoishi. Nasema hivyo kwa sababu, aliposhuka kwenye gari alikuja direct kwangu na kulitaja jina langu sahihi na kuniambia twende nikupe lift kwa kuwa mie napita kwenu then naelekea kwangu.

Kwa respect aliyonionyesha nilishindwa kukataa ila nilimwambia nipo na rafiki yangu na akakubali twende naye.

Ila niwe mkweli Jamani! kuna wanawake wameumbwa jamani!! Huyu binti ni miongoni mwa walioumbwa vyema na Sir God!

Kwenye gari alikuwa peke yake na mimi na msela wangu huku nikiwa nimekaa siti ya mbele tukistorisha. Nilijaribu kumdodosa ye ni nani na kanijuaje, kieukweli kabisa sikupata kumfahamu na simfahamu mpaka leo.

Alinishusha kwangu na mshikaji wangu, ye akaenda zake na sijamuona tena mpaka leo.
TATIZO lilonikumba ni kwamba, karibu kila siku huyu binti namuota kila mara ndotoni na huwa hizi ndoto huja mfano wa live hivii na ni almoast 5th months sasa.

Ninavyomuota ni anakuja kwangu, hunisalimia, kunikumbatia na kunibusu kisha huondoka zake akitabasamu na ni siku moja nilimuota amekaa kwa muda mrefuu sana tukipiga story, believe or not ukiniuliza story zenyewe sikumbuki ila tulikuwa palepale kitandani kwangu.

Marafiki na jamaa zangu wananiambia ni jini mahaba kanipenda, lakini je mbona hatu`do` kama inavyosemekana kuwa jini mahaba akikupenda mna`do` mpaka unakonda na kuchoka ile mbaya??

Msaada wenu wana JF kwa anayeweza kufahamu hii situation maana nishaanza kuwa na hofu sasa na siku hizi namuota hata mchana nikisinzia na nikisema ninywe pombe ili nisimuote, huja amekasirika na kunifokea kwa nini nalewa.
Wee Chipyopyo, acha kuzuga!.
Katika hali ya kawaida, haiwezekani upewe lift ya demu bomba kwenye Range sport, japo hukusema ni ya rangi gani, itakuwa ni nyeusi!
mtoto kaumbika kweli na wewe uko fit, ukakaa mbele eti unapelekwa tuu nyumbani, wala usimdadisi yeye nani?!.
Halafu ufike ushuke bila kumg'anhania yeye nani?!
Hata kuomba contact usiombe?!.
Hii haijakaa vizuri?.

Kisa kinaweza kuwa cha kweli, ila siamini ilikuwa ni usiku wa kihivyo, lifti unaweza kuwa umepewa ila sio kweli mtoa lifti alikuwa na Range,
na huyo dada anaweza kweli alikuwa mzuri ila sio kihivyo unavyoeleza hapa.

Hivyo hii habari yako inaishia kuwa ni fiction japo nakiri hadhithi nzuri!

On the other hand, uwepo wa majini is just the atitute of mind ukijumlisha na kitu kinaitwa 'mind suggestibility', kujihisi umeona physical kitu kilichopo in your mind. Na humo humo kwenye majini, ndipo kwenye concepts za maghosti, mashetani, malaika etc etc.

Ukizama kwenye Eastern Sciences, utapata elightment na kufunuliwa kuwa kila kitu ni wewe na your will power 'qui' tanmka 'ki' ndio mambo yote, zaidi ya hapo ni hadithi tuu na simulizi.

Hata wale wafanya miujiza, wanatumia uwezo wao tuu kufungua uwezo wako, na ni uwezo wako ndio unaofanya mambo hata ikiwa ni kwa kupitia kwake ama hata kulitaja tuu jina lake!.

Hizo ndoto unazoota ni nothing, just your mindi na ukiamua akija tena huko huko kwenye ndoto, unaweza kuamua kumalizia kabisa na ukiamka utajisikia fresh!
 
NI jini kweli na next tyme uki do nalo kwenye ndoto lazima litafune korodania zako:mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2:
 
Msaada wenu wana JF kwa anayeweza kufahamu hii situation maana nishaanza kuwa na hofu sasa na siku hizi namuota hata mchana nikisinzia na nikisema ninywe pombe ili nisimuote, huja amekasirika na kunifokea kwa nini nalewa.
nenda kaonane na wachungaji....it will be alright:A S 8:
 
1.Mara nyingi unachokifikiria sana ndicho ukiotacho ulalapo.
2.Inawezekana una sifa zote za kufuatwa na jini ndio maana linakufuata.
3.Amua moja unalitaka au hulitaki.
4.Kwa taarifa yako jini ni shetani.Ukiamua kulitaka basi mambo yote ya kijini itabidi uyakubali.
5.ukiamua kulikataa,mtafute mungu kwa bidii zote,hawa wawili hawapatani hivyo kwa kumtafuta Mungu...unamfukuza jini.
NJUAVYO MIMI.
1.SI VEMA KUCHEKELEA URAFIKI NA JINI,ANAWEZA KUKUPA PESA NYINGI SANA OK, LAKINI WAWEZA USIOE MILELE NA USIWE RIJALI KWA MWANAMKE YEYOTE.
2.MASHARTI YAO NI MAGUMU SANA NA YA KIJINGA.
3.HAWAAMINIKI KABISA.
USHAURI WANGU.......ACHANA NAE KABISA.
 
Kwa hiyo umelimiss jini jini ..pole sana ..ila ka story kako dah unatamani ku-do nae kwenye ndoto..:becky:
pole
 
NI jini kweli na next tyme uki do nalo kwenye ndoto lazima litafune korodania zako:mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2:

Na atajuta likikamata mimba....jaribu kulala ukiwa umevaa kondomu ndugu yangu Chipyopyo uzuie mimba na Ukimwi...majini nayo yanao huo ugonjwa sasa usijetuletea mavirusi yao kwenye mzunguko wetu.....:pound::target:
 
Na atajuta likikamata mimba....jaribu kulala ukiwa umevaa kondomu ndugu yangu Chipyopyo uzuie mimba na Ukimwi...majini nayo yanao huo ugonjwa sasa usijetuletea mavirusi yao kwenye mzunguko wetu.....:pound::target:
chipoyoyo kweli we chipoyoyo!!
:lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::pound::pound::pound::pound::pound::pound::pound:
 
Na atajuta likikamata mimba....jaribu kulala ukiwa umevaa kondomu ndugu yangu Chipyopyo uzuie mimba na Ukimwi...majini nayo yanao huo ugonjwa sasa usijetuletea mavirusi yao kwenye mzunguko wetu.....:pound::target:

:becky::becky::smile-big:teh teh hee mpwa unanimaliza kwa kicheko na maneno yako.:becky::becky:
 
Liambie likuachie hiyo Vogue kwanza...au isijekuwa wewe na mshikaji wako mlikula mandumu siku hiyo mkapanda Vitz nyie mnadhani Vogue.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom