Jinamizi la ajali bongo

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,833
155,781
je tutapona?
BASI.JPG
 
Mungu wangu!! Lini tena hii?
Vipi waliokuwa kwenye gari dogo (hasa kiti cha nyuma)?
Nini mazingira ya ajali? Au hilo dude "Super sonic" lilikuwa linaovertake kwa supersonic speed sehemu isiyoruhusiwa?
 
bwana wee high speed itatumaliza.
supa sonic lilikuwa kwenye spidi ya scud, likamshinda dereva,
akaone bora akapunguzie mwendo kwenye hilo gari dogo.
picha ilipigwa mwaka jana mwishoni mkoani Morogoro.
 
duh limepondeka...
ila BB mbona picha ni kubwa sana....? ipunguze mkuu...

i1527_1.JPG
 
Back
Top Bottom