Access Denied
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 655
- 209
Legeza jicho nitatoa hadi skul fiz!
Mimi sijali sana limetumiwa neno gani na kwa lugha gani bali naangalia jinsi lilivyotumika. Nachanganya ujumbe wa maneno na ule usiokuwa wa maneno ambao mara nyingi ndio unakuwa ukweli wenyewe yaani verbal and non verbal communication. Baada ya kuchanganya na zakwangu ndio nalainika au naona ndio yaleyale!
Huo mchakato wote unachukua chini ya sekunde moja
Harika mjinawa, kweri we ni nyikanavome!
wanawake wengi tumekuwa tukihaha ni jina gani nzuri tukiwaita wapenzi,hawara, au mume wakati wa kula tundi au tunataka mshiko au kupeleke sehemu ya maraha au kwenye kuombana misamaha majina hayo ni mume wangu,baba nanihh, sweet,honey.my luv,baby, dear,dady,na mengineyo.wakati huo tulio wengi tunatamka maneno ya kidhungu hata hatujui maana yake mnavyotesa dah!TUWAITAJE?
muhanga mie au? mie huwa napenda kuita jina lake tu, halafu mikono ulimi miguu na mwili unaendelea na kazi zake hadi mwili mzima unaitika.... hapo analegea kila kiungo hadi akili inalegea hapao unaweza kuambulia kidogo.. lakini wanawake tusisahau kuwa wanaume wanapotupa kitu, pesa, mapenzi mazito, msamaha... walio wengi si kwa kuwa eti tumewazingua kitandani ila ni kwa kuwa wanatupenda tu:smiling:
Aisee, sasa huyu naye sijui ameanzisha mada gani hapa. Kama huna cha kuandika, tulia kimya. Soma michango ya wenzako.
wanawake wengi tumekuwa tukihaha ni jina gani nzuri tukiwaita wapenzi,hawara, au mume wakati wa kula tundi au tunataka mshiko au kupeleke sehemu ya maraha au kwenye kuombana misamaha majina hayo ni mume wangu,baba nanihh, sweet,honey.my luv,baby, dear,dady,na mengineyo.wakati huo tulio wengi tunatamka maneno ya kidhungu hata hatujui maana yake mnavyotesa dah!TUWAITAJE?
wanawake wengi tumekuwa tukihaha ni jina gani nzuri tukiwaita wapenzi,hawara, au mume wakati wa kula tundi au tunataka mshiko au kupeleke sehemu ya maraha au kwenye kuombana misamaha majina hayo ni mume wangu,baba nanihh, sweet,honey.my luv,baby, dear,dady,na mengineyo.wakati huo tulio wengi tunatamka maneno ya kidhungu hata hatujui maana yake mnavyotesa dah!TUWAITAJE?
ni kweri mi ni nyikanavome; kumbe unatokea kulee, ahsanteHarika mjinawa, kweri we ni nyikanavome!
sexy beast
hahahaha mkuu kazi yake anaijua hadi hilo jina analitajaSexy beast afu unakibamia
Hahahahaha
Unaweza ukasusa game unajua
asa dadangu ujui kila ktu siku izi kina guarantee na xpire date?hata mi najiuliza kwa nini huwa hayaendelee