wanawake wengi
tumekuwa tukihaha ni jina gani nzuri tukiwaita wapenzi,hawara, au mume
wakati wa kula tundi au tunataka mshiko au kupeleke sehemu ya maraha au
kwenye kuombana misamaha majina hayo ni mume wangu,baba nanihh,
sweet,honey.my luv,baby, dear,dady,na mengineyo.wakati huo tulio wengi
tunatamka maneno ya kidhungu hata hatujui maana yake mnavyotesa
dah!TUWAITAJE?
ummu kulthum,mi niibie kwa kwa kuniita,"we mzee, panda kitandani"!.
Mr chop ma monie!!
Jina langu halisi mi ndo nalipenda niitwe sio majina ya kidhungu haya sweet sijui darling huo wote wizi mtupu!!!!!!!!!!!!!
Zogwale vipi umeoa au bado upoupo?Yaani ukiniita Darling tena ukiwa umekaa kitandani ndo unataka kunitoa pochi yaani hakuna ubishi!! Huku ukiwa umenishika mikono unaipapasa na miwngine mgongoni!! Nakupa ATM card na password. Angalizo kwa mke tu!!!
muhanga mie au? mie huwa napenda kuita jina lake tu, halafu mikono ulimi miguu na mwili unaendelea na kazi zake hadi mwili mzima unaitika.... hapo analegea kila kiungo hadi akili inalegea hapao unaweza kuambulia kidogo.. lakini wanawake tusisahau kuwa wanaume wanapotupa kitu, pesa, mapenzi mazito, msamaha... walio wengi si kwa kuwa eti tumewazingua kitandani ila ni kwa kuwa wanatupenda tu:smiling:Muhanga wangu
Jina langu halisi mi ndo nalipenda niitwe sio majina ya kidhungu haya sweet sijui darling huo wote wizi mtupu!!!!!!!!!!!!!
Mimi sijali sana limetumiwa neno gani na kwa lugha gani bali naangalia jinsi lilivyotumika. Nachanganya ujumbe wa maneno na ule usiokuwa wa maneno ambao mara nyingi ndio unakuwa ukweli wenyewe yaani verbal and non verbal communication. Baada ya kuchanganya na zakwangu ndio nalainika au naona ndio yaleyale!
Huo mchakato wote unachukua chini ya sekunde moja
sweet banana.....