Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,709
Nimesoma siredi ya Gazeti ikiwauliza kuwa wanawake wanajisikiaje wanapoitwa DEMU.Wengi wameng'aka wakilichukia jina hilo.Kuna majina mengi sana hutumika kuwaelezea au kuwatambulisha,hebu semeni lipi kati ya haya kinawavutia kama halipo hebu tuambie ulipendalo.Huwa mnaitwa;dem,manzi,mzigo,chapisho,chuda,baloo,mashine,swetie,asali wa moyo,haney,my kapeti,my siling bodi,kago,mrembo.....Mengine mtaongezea....Hebu wadada semeni fasta tuwaiteje?