tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,134
- 280
Tangu mchungaji wa KKKT huko Samunge - Loliondo kuanza kutibu maradhi sugu jina lake limekuwa likitajwa au kuandikwa kwa kukosewa na hivyo kumwita majina yasiyo yake. Jina lake ni AMBILIKILE MWAISAPILE na siyo vinginevyo.