dazu
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 365
- 76
Baada ya kipigo cha Simba toka kwa TP Mazembe nimeanza kuhisi huenda na majina ya timu yana mchango katika ushindi hata kabla ya mechi, mfano jina kama TOUT POUISANT MAZEMBE ENGLEBERT linatisha hata kulisikia tu, mifano mingine ni katika kundi hilo ni ENYIMBA, HARAS EL HODOOD, MUFULIRA WONDEROUS, T P LINDANDA, SOFAPAKA; lakini majina mengine ni mepesi mno, mfano kulikua na timu inaitwa NAZARETH ikapanda na kushuka, AZAM pia naona ni jina jepesi. Tafakari